Utawasikia eti -"Leta picha......."Uungwana ni vitendo, bora amekiri kwa kuusema ukweli. Lakini wale warusi wa kwa mtogole wenye mrengo wa kiimani, hata ukimchinja hawezi kusema kweli, maana wanasukumwa na imani ya kidini siyo facts
Hivi imekuwaje mgogoro wa Urusi na Ukraine baadhi ya wanaJf mmeugeuza kuwa ni vita kati ya Uislam na Ukristo?Uungwana ni vitendo, bora amekiri kwa kuusema ukweli. Lakini wale warusi wa kwa mtogole wenye mrengo wa kiimani, hata ukimchinja hawezi kusema kweli, maana wanasukumwa na imani ya kidini siyo facts
Read and understand the message context before you comment.Hivi imekuwaje mgogoro wa Urusi na Ukraine baadhi ya wanaJf mmeugeuza kuwa ni vita kati ya Uislam na Ukristo?
Maana ninachojua ni kuwa Urusi na Ukraine wote kwa wingi wao ni wakristo Waorthodoksi na wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zisizo za kidini.
Yaani sijaelewa. Nielimisheni.
Mkuu; amewazungumzia sisi mashabiki - soma vizuri mkuu ".....Lakini wale warusi wa kwa mtogole......" na hiyo ni kawaida ya ushabiki. Uwe na amani mkuu.Hivi imekuwaje mgogoro wa Urusi na Ukraine baadhi ya wanaJf mmeugeuza kuwa ni vita kati ya Uislam na Ukristo?
Maana ninachojua ni kuwa Urusi na Ukraine wote kwa wingi wao ni wakristo Waorthodoksi na wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zisizo za kidini.
Yaani sijaelewa. Nielimisheni.
Sawa imekubalika. Subiri kwanza amalize kazi huko halafu tutakuletea. We andaa ndafu tu manake yule ni mzee wa Heshima kubwa.Nasema, nileteeni hapa HIMARS nimuone, ametesa sana warusi. Kwani HIMARS ni nani mpaka atese hivo warusi. Nileteeni HIMARS nimuone, Kaua watoto na wajukuu wa Urusi. 😂😂😂
Pigzhin amekuwa mwoga kiasi kwamba hajathubutu kwenda nyuma ya nyumba za Waukraine kuhakikisha bali amebaki kubwabwaja eti nyuma yake ni kama kuna defensive line ya Waukraine.Pigzhin yule mkuu wa kikosi cha mamluki cha Wagner akiri kwamba ngoma huko Bakhmut siyo nyepesi. Asema kuwa Kila Nyunba ya Waukrian nyuma yake ni kama kuna defensive line ya Waukraine
Ni sauti ya yule bibi wa Sabaya. Ombi lake lilikubaliwa kama ulivyokubali ombi langu 😂😂😂😂Sawa imekubalika. Subiri kwanza amalize kazi huko halafu tutakuletea. We andaa ndafu tu manake yule ni mzee wa Heshima kubwa.
Mkuu; amewazungumzia sisi mashabiki - soma vizuri mkuu ".....Lakini wale warusi wa kwa mtogole......" na hiyo ni kawaida ya ushabiki. Uwe na amani mkuu.
Nimeelewa ndio maana nikacomment vile. Najua vizuri tu kuwa kuna watu huhusisha dini katika huu mgogoro na hilo ndilo swali langu kwa mashabiki wa pande zote wanaohusisha dini maana huwa siwaelewi.Read and understand the message context before you comment.
Huo ndo uungwana. Ubarikiwe mkuu 💃Nimeelewa ndio maana nikacomment vile. Najua vizuri tu kuwa kuna watu huhusisha dini katika huu mgogoro na hilo ndilo swali langu kwa mashabiki wa pande zote wanaohusisha dini maana huwa siwaelewi.
Ila turudi katika uzi.
Amani.
Napita tu.
Aisee..Hawajui kuwa supplies route imekatwa na Ukraine siyo Russia.
Hawajui kuwa HIMARS ananusa maghala ya silaha au magari yaliyobeba silaha, anayateketeza.
Kukatwa kwa supplies ndo kunakowafanya warusi wa retreat.