uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Pongezi kwako pia reporter wetu uko vizuri,Mungu akubariki na Mungu ibariki UkraineMiamba hii hapa. Urusi wakiwaona wanatetemeka
View attachment 2514206View attachment 2514205View attachment 2514204
View attachment 2514195View attachment 2514196View attachment 2514197View attachment 2514198View attachment 2514199View attachment 2514200View attachment 2514201View attachment 2514202View attachment 2514203View attachment 2514208View attachment 2514207
Kamata wezii
Na hawa ni kikosi maalum, yaani elite infantry groupWanajeshi wa Urusi waliojisalimisha huko Vuhledar. Wamesema 50% wameuliwa na Majeruhi ni wengi. Ndo sababu wamejisalimisha. Wamesema kundi la 155th Guards Naval Infantry Brigade kutoka Vladivostok imeshateketezwa yote. Urusi itabidi iliunda upya kwa kuwapa wanajeshi,vifaa na mifumo mipya yakijeshi.
View attachment 2514146View attachment 2514147View attachment 2514148
PigaaaaKamata wezii
Na hakipo tena kwenye uso wa dunia. Vijana wa Ukraine wamekifutilia mbali kikosi hicho. Slava Ukraine.Na hawa ni kikosi maalum, yaani elite infantry group
Huyo mwanasiasa ni muflisi kisiasa. Anakumbuka shuka wakati kumekucha. Urussi ndo imeshalegezwa na kilichobaki sasa ni kupigwa kama ngoma.Wanasiasa wa Urusi akiwemo Aleksandr Yushchenko, wameanza kuchoka Vita. Wanasema kwamba wanatumaini Rais Putin hatafanya Mobilization nyingine, pia wanatumaini atafungua mipaka kwa Vijana wanaotaka kwenda nje ya Nchi. Pia wanatumaini mapema mwaka huu atamaliza wanachoita Operation ili Nchi ijikite katika kuinua Uchimi.
View attachment 2514141
Wangemteka kabisa,waombe dau ili wamkabidhi kwa zele mchezo uishe.Huyo mwanasiasa ni muflisi kisiasa. Anakumbuka shuka wakati kumekucha. Urussi ndo imeshalegezwa na kilichobaki sasa ni kupigwa kama ngoma.
1. Yule muuaji (Wagner) mwenyewe amekiri kwamba hii ngoma ni nzito - Mrussi itamchukua muda zaidi miaka 2 kufikia lengo lake.
2. Ukraine kila uchao anazidi kupata support ya kimataifa dunia nzima
3. Kipigo anachopata Mrussi kwa sasa si cha kawaida e.g. Brigade 155 Guards Naval infantry... yote Imeteketezwa
4. Zipo ishara za wazi e.g. wanasiasa kuchoshwa na vita kitu ambacho kitaua kabisa morale wa askari na mbaya zaidi morali kwa Raia wa Urussi.
Katika hali kama hiyo ni rahisi kuanzisha kundi la vuguvugu kuiondoa Serikali iliyopo madarakani(Mapinduzi).
****5. Zipo tetesi katika baadhi ya mitandao kwamba Putin aliyeko madarakani kwa sasa sio Putin Original. Huyu wamemwita Putin Double.
Tafadhali, mwenye abc za hii kitu atufumbue macho na kututanabahisha hii kitu inamaanisha nini.(Wameweka hata picha zao Original Putin na Putin Double ) e.g. Hiyo picha hapo juu ni Putin Double sio Putin Original.
Original Putin (left) and Putin’s Double (right)?
Atajikabidhi yeye mwenyewe dawa ikikolea.Wangemteka kabisa,waombe dau ili wamkabidhi kwa zele mchezo uishe.
Kupitia nyuso za mashujaa hawa unaweza kupata picha halisi ya mapigano,Miamba hii hapa. Urusi wakiwaona wanatetemeka
View attachment 2514206View attachment 2514205View attachment 2514204
View attachment 2514195View attachment 2514196View attachment 2514197View attachment 2514198View attachment 2514199View attachment 2514200View attachment 2514201View attachment 2514202View attachment 2514203View attachment 2514208View attachment 2514207
Kwa mujibu wa taarifa hii una maana;Wanajeshi wa Urusi waliojisalimisha huko Vuhledar. Wamesema 50% wameuliwa na Majeruhi ni wengi. Ndo sababu wamejisalimisha. Wamesema kundi la 155th Guards Naval Infantry Brigade kutoka Vladivostok imeshateketezwa yote. Urusi itabidi iliunda upya kwa kuwapa wanajeshi,vifaa na mifumo mipya yakijeshi.
View attachment 2514146View attachment 2514147View attachment 2514148
Vuhledar ipo mikononi mwa Ukraine, Warusi walikuwa wanajaribu kupiga operesheni kule kuitwaa. Wakakutana na resistance kali, Askari na vifaa vyao vizito vya kijeshi vikaangamizwa. Kwa hiyo Vuhledar sasa pako shwariKwa mujibu wa taarifa hii una maana;
1. Zaidi ya wanajeshi 3,000 wameuawa direction ya Vuhledar peke yake?
2. Full Brigade ina zaidi ya askari 3,000, kama Brigade hiyo imefutwa yote maana yake direction ya Vuhledar hakuna resistance tena?
3. Kama maelezo ya kifungu (2) ni sahihi, majeshi ya Ukraine yamekomboa miji ipi direction ya Vuhledar.?
4. Kama hakuna miji ambayo Ukraine imeikomboa direction ya Vuhledar, majeshi yetu hawahitaji tena kukomboa maeneo hayo na kwamba wamewasubiri wengine waje ndo waendeleze mapigano.?
Naomba kueleweshwa tu maana taarifa hii imenistua kidogo. Nikipata source nitafurahi sana.
Aisee! Hawa jamaa wanajuta kusonga mbele front... Maana Wana majeraha afu Bado wanapigwa tena msako.Angalia Warusi wanavyo teketezwa
View attachment 2514189
Naona kama hujaelewa hoja yangu, huenda ulisoma kwa haraka haraka. Naomba urudie kunisoma tena ndo ujibu hoja. Ikikupendeza ujibu kwa mtiririko wa maswali yangu.Vuhledar ipo mikononi mwa Ukraine, Warusi walikuwa wanajaribu kupiga operesheni kule kuitwaa. Wakakutana na resistance kali, Askari na vifaa vyao vizito vya kijeshi vikaangamizwa. Kwa hiyo Vuhledar sasa pako shwari
Na Kule Bakhmut , Intensity ya mashambulizi ya Warusi imepungua sana. Ukraine imepeleka re-inforcements za kutosha na Zelensky amesema wazi kuwa Ukraine haitoiachia Bakhmut!
Mkuu Sehemu ikiwa Vitani, hauwezi sema mumeikomboa kama hawajasurrender au kuretreat. Hata kama Brigade nzima wamekufa. Ipo hivi, Frontline akifa mtu analetwa mtu.Naona kama hujaelewa hoja yangu, huenda ulisoma kwa haraka haraka. Naomba urudie kunisoma tena ndo ujibu hoja. Ikikupendeza ujibu kwa mtiririko wa maswali yangu.