figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #11,561
Slovakia ina ndege 11 za Kisoviet aina ya MiG-29. So kasema 10 atampa Ukriane halafu moja iliyobaki itawekwa Makumbusho. Nchi nyingi wameanza kuacha kutumia Silaha za Urusi kutokana na kumuunga Mkono Ukraine, hivyo wanahofia kukosa vipuri. Wataanza kutumia Silaha za Magaribi.