figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #12,661
Sikiliza Milio ya Makombora hapa. Ukraine leo wamekinukisha sana huko Melitopol.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mbwa anaitwa Chichi. anaweza kutofautisha Mwanajeshi wa Ukraine na Urusi. Wanajeshi wakiwa kwenye handaki au muda wa Usiku, yeye ndo wa kwanza kujua Adui alipo. Anapendwa sana kwani hata mkijificha anajificha na habweki. Ana uwezo wa kuonesha askari aliye jeruhiwa alipo au kupoteza maisha. Ni msaada Mkubwa. Huyu ni tofauti na yule anayenusa mabomu
View attachment 2569787
Hapana mkuu. Kwa mjibu wa Mkuu wa Territorial Defense Brigade wa Luhansk, kasema huyu Mbwa ni shepherd dogHiyo breed ya mbwa huyo inaitwa
“Belgian Malinois”, ni Military dog.
Ninao wa kutosha………….
Ukweli mtupu. Mimi ninadhani watu wafuatilie historia ya Russia kuanzia huko nyuma.Ni mtu mjinga tu anayeweza kupingana na ukweli kuwa;
1. USA ndo mbabe wa dunia hii kiuchumi, Kijeshi na maswala ya kiusalama (Intelligence & security services).
2. Kiuchumi peke yake Russia hayupo kwenye top 10 ya nchi Tajiri Duniani. Kwa mwaka 2022 tu, GDP ya USA ni zaidi ya mara 14 ya GDP ya Russia. Yaani USA GDP ni USD 20.89 Trillion against USD 1.48 Trillion for Russia.
3. Ni mtu mjinga au mwendawazimu anayeweza kuamini kuwa Russia anaweza kupigana na nchi zote tajiri tena zinazomzidi kiuchumi na akashinda vita. Yaani USA, Canada, UK, Japan, Italy, German and France.
4. Hakuna anayebisha kuwa ukilinganisha Military power (Firepower index) ya USA na Russia tofauti yao siyo kubwa. Mtu anayeiangalia vita hii kwa kulinganisha firepower index na kumwona Russia ni wa pili baada ya USA na kuamini kuwa hicho ndo kigezo cha Russia kushinda vita hii nitamwona kuwa ni mjinga ambaye hajaelimika na hajui maana ya vita. Kwa kulitambua hilo mzee Biden alizishawishi nchi zote za EU kuisaidia Ukraine siyo kwa bahati mbaya. Ni issue ya kimahesabu tu.
(i) Mosi, ili vikwazo vyovyote atakavyowekewa Russia vifanye kazi lazima nchi anazofanya nazo biashara zikatae kupata huduma yake ili akose pesa. Hilo limefanikiwa kwa 100%
(ii) kuunganisha nguvu kutamdhoofisha Russia kiuchumi na uchumi wake usinyae. Hilo sasa ndo linalomfanya Putin ahahe kumbembeleza China afanye naye biashara.
(iii) ku prolong vita hii ni mbinu ya kumtesa Russia ili ashindwe ku finance vita sababu uchumi wake utakuwa umesinyaa.
(iv) kuunganisha nguvu kwa mataifa haya kushughulika na Russia ni mbinu ya kumpunguzia nguvu ya kijeshi. Russia inaenda kuanguka kama USSR.
5. Kumaliza vita hii mapema ni kama unamhurumia Russia. USA na German wanalijua hili. Ndiyo maana hawataki kumpa Ukraine silaha nzito za kumaliza vita hii mapema. Vita hii haitaisha mapema kama wengi wanavyoamini. Ni lazima Russia aishiwe nguvu za kijeshi ndo itaisha vita hii. Wanachofanya USA ni ku minimize demage kwa Ukraine. Lakini vita hii haishi mwaka huu ni mpaka Putin atepete kijeshi ndo itaisha.
6. Kama Russia atatoa silaha nzito za kukabiliana na Bradley, challenger na Leopard 2, then USA na German wataleta silaha nzito zaidi. Kiufupi mgonjwa (Russia) atapewa dozi kulingana na hali ya wakati husika.
Hitimisho
1. Russia alishanasa kwenye mtego wa USA & NATO hataweza kujinasua na kuangushwa kijeshi na kiuchumi.
2. Vita hii haitaisha mwaka huu. Hii ni vita ya muda mrefu mpaka Russia adhoofike ndo vita itaisha.
... now you are coming to your common sense; na sio kuleta habari za ushoga kwenye thread takatifu kama hii; thread inayohusu ukombozi wa taifa; kupigania maisha; kuwatetea wanaoonewa na kusetwa na ibilisi unawezaje japo kuwaza kuleta ujinga kama ule ulio-post pale juu?Tuwaombee Ukrain, Nato na USA haya mengine ni changamoto tu
Urusi ni mvamizi hafai na pia hana msaada wowote na sisi
Urusi anao uwezo wa kuwa supper power kama tu ataimarisha uchumi wake, uwezo huo anao kama ataamuwa.Ukweli mtupu. Mimi ninadhani watu wafuatilie historia ya Russia kuanzia huko nyuma.
Huyu jamaa anapenda kuwa the Super power in the World lakini huwa anakutana na pingamizi la West na US.
Umoja wa Kisoviet ulisambaratishwa na US na West,ulikuwa na nguvu sana kipindi kile, baada ya kusambaratishwa ukashindwa kuzisaidia nchi za Africa na Ukomunism ukadhoofika. Alijitahidi kuwa karibu na China, North Vietnam na North Korea.
Kwahiyo Russia kuwashinda hawa jamaa unahitajika muujiza wa kweli au akubali kumaliza vita kwa njia ya mazungumzo.
Vita ya pili ya dunia alimshinda Mjerumani na kuitawala Ujerumani Mashariki kwa support ya West na US ila sasa hivi hawezi maana hawapo upande wake.
Kama kuimarisha uchumi ni suala la maamuzi,kila mmoja angeweza kuimarisha uchumi wake.ili kwa mpalange pafanane na masaki,ila nijuavyo mimi si rahisi kihivyoUrusi anao uwezo wa kuwa supper power kama tu ataimarisha uchumi wake, uwezo huo anao kama ataamuwa.
Niambie kampuni yoyote ya kirusi iliyofanya kazi tanzania ikawalipa wafanyakazi wake vizuri wakawa na maendeleo,Russia ni masikini kwenye vinywa vya west na wale tulio lishwa propaganda lakin si kweli unajua Russia kaekewa vikwazo vingapi kwenye hii operation yake na bado west ndio wanalalamika kila kukicha hili hulioni na bado uchumi wa Urusi unaendelea kukua
Vipi kuhusu mji wa mariupol alio ujenga baada ya kuuchukua
Acha mzaha ndugu
Is it simple like that.Urusi anao uwezo wa kuwa supper power kama tu ataimarisha uchumi wake, uwezo huo anao kama ataamuwa.
Umemaliza mkuu [emoji120][emoji120][emoji120]Kama kuimarisha uchumi ni suala la maamuzi,kila mmoja angeweza kuimarisha uchumi wake.ili kwa mpalange pafanane na masaki,ila nijuavyo mimi si rahisi kihivyo
Ila watu tumetofautiana aisee, sijui ni mahaba au uelewa nashindwa kung'amua.Is it simple like that.
Kwa uelewa wako kumbe hajaamua akiamua uchumi wake unapaa hadi anawapita USA, China, Japan na wengine !!!!!
Ama kweli akili ni mali siyo wingi wa nywele na makamasi.
These are the people whom we can waste our time arguing with them. [emoji849][emoji849]
Ni kuamua/ kukata shauri la kukuza uchumi...............usipoamuwa kufanya jambo you gona do nothing about it. Simple like that. Iko hivyo hata kwa level ya mtu mmoja.Is it simple like that.
Kwa uelewa wako kumbe hajaamua akiamua uchumi wake unapaa hadi anawapita USA, China, Japan na wengine !!!!!
Ama kweli akili ni mali siyo wingi wa nywele na makamasi.
These are the people whom we can waste our time arguing with them. 🙄🙄
Usipoamuwa hutatenda, simple like that.Kama kuimarisha uchumi ni suala la maamuzi,kila mmoja angeweza kuimarisha uchumi wake.ili kwa mpalange pafanane na masaki,ila nijuavyo mimi si rahisi kihivyo
Wamebeba wafuvu yaliyojaa urojo tu. Wana akili za kulia ugali na kwenda haja tuIla watu tumetofautiana aisee, sijui ni mahaba au uelewa nashindwa kung'amua.
Yaani mtu awe super power kwa kuamua tu ndani ya madakika kama mpira.