Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

“The Ukrainians inflicted significant losses on the Russians, and they depleted their stocks of armored vehicles in a way that no one could ever imagine.🤣🤣🤣🤣
View attachment 2570319
Kama Bakhmut, Vuhledar na Avdiivka zimewatoa jasho hivo. Wataweza kweli kwenye counter offensive inayokuja. Wamewekeza nguvu kubwa wameishia kwenye meat Grainder. Ngoja tusubiri
 
AP23087414197070.jpg


Zelensky kwangu ndiye Kiongozi imara na madhubuti kwa kizazi hiki. Akiwa na miaka 45 tu anampelekesha Putin mwenye miaka 70 tofauti ya miaka 25 kati yao. Slava Ukriana!!
 
Russian kuanza kufanya mazoezi ya makombora ya masafa marefu ni kwa kuwa wanajua kinachowatokea huko Ukraine. Kwa ivo wanataka waambiwe waache mazoezi waingie kwenye majadiliano.
 
Russian kuanza kufanya mazoezi ya makombora ya masafa marefu ni kwa kuwa wanajua kinachowatokea huko Ukraine. Kwa ivo wanataka waambiwe waache mazoezi waingie kwenye majadiliano.
Mambo ya Vitisho yashapitwa na wakati. Watajua wenyewe.
 
Anayetishiwa ni USA na NATO siyo Ukraine tena.

Kama ni mwamba kweli kwa nini asirushe moja tu USA au kwenye NATO territory.?
Hahaaa... Umenikumbusha November 2022 kuna Bomu lilitua Poland kwa bahati mbaya. Lile bomu lilikuwa la Ukraine, walikuwa wanatungua drones za Urusi, wakakosea target bomu likaenda moja kwa moja hadi Poland.

Zelensky kuwajambisha akasema Urusi wameanza kuishambulia Europe. Hiyo taarifa ilikanwa na Viongozi 12 wa Urusi kila mtu anasema sio wao.. Hahaaaa... Walijua ukishambulia Nchi yoyote ya NATO, wote wanaungana kukupiga. So Urusi walijua wamefanyiwa figisu. Walilialia sana
 
Kuna miji ya Ukraine naipenda sana. Mji wa kwanza napenda ni Odessa na wa Pili ni Mariupol nyumbani kwa Azov Battalion.

Mariupol ishaanguka mikononi mwa Wavamizi lakini hadi leo Urusi wameshindwa kupenya Odessa yenye beach safi kabisa duniani na Bandari bora inayolisha Africa nzima.

Habari njema ni leo Wavamizi waliojimilikisha Mariupol wamepelekewa moto hadi wanajuta. ipo siku Mariupol itakombolewa kwa mara ya nne. si Mara ya kwanza Urusi Kuvamia Mariupol na Kuiba chuma. Ni mara nyingi na huwa inaambulia patupu. Mariupol Itakombolewa tu
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Huyu mbwa anaitwa Chichi. anaweza kutofautisha Mwanajeshi wa Ukraine na Urusi. Wanajeshi wakiwa kwenye handaki au muda wa Usiku, yeye ndo wa kwanza kujua Adui alipo. Anapendwa sana kwani hata mkijificha anajificha na habweki. Ana uwezo wa kuonesha askari aliye jeruhiwa alipo au kupoteza maisha. Ni msaada Mkubwa. Huyu ni tofauti na yule anayenusa mabomu
View attachment 2569787
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Back
Top Bottom