Kama Bakhmut, Vuhledar na Avdiivka zimewatoa jasho hivo. Wataweza kweli kwenye counter offensive inayokuja. Wamewekeza nguvu kubwa wameishia kwenye meat Grainder. Ngoja tusubiri“The Ukrainians inflicted significant losses on the Russians, and they depleted their stocks of armored vehicles in a way that no one could ever imagine.🤣🤣🤣🤣
View attachment 2570319
Hii Mashine ndo inaitwa M777 howitzer❤️
Kombora limeelekezwa Bakhmut Mashariki na Wanajeshi wa Ukraine!!
Chanzo CNN.
Moshi mzito huo ni wa mafuta. Depot ya mafuta imelambwa.Melitopol.
View attachment 2569777
Wenyewe Russia wanasema hiyo ni kazi ya HIMARS .Moshi mzito huo ni wa mafuta. Depot ya mafuta imelambwa.
Mambo ya Vitisho yashapitwa na wakati. Watajua wenyewe.Russian kuanza kufanya mazoezi ya makombora ya masafa marefu ni kwa kuwa wanajua kinachowatokea huko Ukraine. Kwa ivo wanataka waambiwe waache mazoezi waingie kwenye majadiliano.
Tangu vita ianze walikuwa hawajaanza mazoezi ya kurusha hayo makombora.?Russian kuanza kufanya mazoezi ya makombora ya masafa marefu ni kwa kuwa wanajua kinachowatokea huko Ukraine. Kwa ivo wanataka waambiwe waache mazoezi waingie kwenye majadiliano.
Anayetishiwa ni USA na NATO siyo Ukraine tena.Mambo ya Vitisho yashapitwa na wakati. Watajua wenyewe.
Hahaaa... Umenikumbusha November 2022 kuna Bomu lilitua Poland kwa bahati mbaya. Lile bomu lilikuwa la Ukraine, walikuwa wanatungua drones za Urusi, wakakosea target bomu likaenda moja kwa moja hadi Poland.Anayetishiwa ni USA na NATO siyo Ukraine tena.
Kama ni mwamba kweli kwa nini asirushe moja tu USA au kwenye NATO territory.?
Slava Ukraine [emoji1255]Jana Urusi alivamia kwa drones 15. Kati ya hizo 13 ziliharibiwa
View attachment 2569340
Slava Ukraine [emoji1255]Kuna miji ya Ukraine naipenda sana. Mji wa kwanza napenda ni Odessa na wa Pili ni Mariupol nyumbani kwa Azov Battalion.
Mariupol ishaanguka mikononi mwa Wavamizi lakini hadi leo Urusi wameshindwa kupenya Odessa yenye beach safi kabisa duniani na Bandari bora inayolisha Africa nzima.
Habari njema ni leo Wavamizi waliojimilikisha Mariupol wamepelekewa moto hadi wanajuta. ipo siku Mariupol itakombolewa kwa mara ya nne. si Mara ya kwanza Urusi Kuvamia Mariupol na Kuiba chuma. Ni mara nyingi na huwa inaambulia patupu. Mariupol Itakombolewa tu
Slava Ukraine [emoji1255]Sikiliza Milio ya Makombora hapa. Ukraine leo wamekinukisha sana huko Melitopol.
View attachment 2569764
Slava Ukraine [emoji1255]Huyu mbwa anaitwa Chichi. anaweza kutofautisha Mwanajeshi wa Ukraine na Urusi. Wanajeshi wakiwa kwenye handaki au muda wa Usiku, yeye ndo wa kwanza kujua Adui alipo. Anapendwa sana kwani hata mkijificha anajificha na habweki. Ana uwezo wa kuonesha askari aliye jeruhiwa alipo au kupoteza maisha. Ni msaada Mkubwa. Huyu ni tofauti na yule anayenusa mabomu
View attachment 2569787