figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #1,261
Ilitegemewa iwe hivo tu na ndani ya wiki watakuja wamekimbia wote ,.Hongera sana Azov. Mtu mmoja kama Elfu mmoja. Wanajeshi wengi wa Urusi Wamekufa Mariupol kuliko walivyokifa Kherkyiv na Bucha. Inaonekana Urusi imekataa kuongeza Wanajeshi baada ya Kuona Mzigo wa Marekani Umefika Mariupol.
View attachment 2195523
Ngoja tuone Usiku wa leo itakuaje. Marines na Azov bado hawapo Sehemu nzuri japo jana walifanikiwa kutoka sehemu walipokaa wiki nzima.Ilitegemewa iwe hivo tu na ndani ya wiki watakuja wamekimbia wote ,.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukriane imechakzwa vibaya saana ,Mariapol imeshachukuliwa,nazipenda Ukraine but tulie tuuu hatuna namna ,,,Askari wa UKrane watatekea wote Mariapol Maskini😭😭😭😭😭
Unaota weweUkriane imechakzwa vibaya saana ,Mariapol imeshachukuliwa,nazipenda Ukraine but tulie tuuu hatuna namna ,,,Askari wa UKrane watatekea wote Mariapol Maskini😭😭😭😭😭