Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hahahaa...
Your browser is not able to display this video.
 

Aina ya vifaru ambavyo Ujerumani inapeleka Ukraine kwa sasa.

Hata kama hakuna mfumo wa ulinzi wa anga kifaru hiki kinaangusha ndege yeyote.
👏👏👏
 
Kikosi cha anga cha Ukraine, 80th Air Assault Brigade kimeharibu kifaru cha Urusi aina BTR-80 APC huko Donbas
 

Aina ya vifaru ambavyo Ujerumani inapeleka Ukraine kwa sasa.

Hata kama hakuna mfumo wa ulinzi wa anga kifaru hiki kinaangusha ndege yeyote.
👏👏👏
Nimeona. Hizi Gepard" anti-aircraft system ni nzuri, ila Ujerumani ina Gepard nzuri zaidi. Hizi zimetengenezwa 1970 japo zimeboreshwa. Sema kuna Helmet 5,000 wametoa, ni moto wa kuotea mbali. Risasi haitoboi. Marekani ndo Wametoa Vifaa vya Kisasa vya 2020.

Ujerumani haitaki kuingia moja kwa moja kwenye hii vita ili kulinda Uchumi wake. Usiwaamini. Uingereza na US wanatosha. Sema Ukraine wamekuwa overdosed na zana za kivita ambazo hawajui tumia. So tunategema intake ya kwanza wanajeshi 10,000 wakimaliza watasaidia wenzao. US na UK walete wanajeshi wengi wa kufundisha. Mwisho wa siku silaha zinakaa store.. Mfano Jumapili tumepoteza Silaha nyingi Donbas. Ukrainian hawajui jinsi ya kuzitumia. Urusi ilipopiga Ambushi wakaziacha Store. Hasara
 
Bora wafanye hivyo maana wanajeshi wengi wa Ukraine wanauwezo wa kutumia vifaa vya Kisovieti tu.
 
Urusi wameprlekewa moto, wakatelekeza kifaru chao
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine wameteketeza Vifaru vya Urusi aina ya BTR-3 APC

Urusi wamekimbia wakaacha viatu na vyakula mezani..hahahaaa
 
Drone ya Ukraine ilivyo fuatilia kifaru cha Urusi kabla haijakisambaratisha kilipo jificha
Your browser is not able to display this video.
 
Russia wanajifanya kutumia Magari ya kiraia ili drone za Ukraine zisitambue. Tukawashitukia
Your browser is not able to display this video.
 
Drone ya Ukraine ilivyo chakaza Vifaru vya Urusi japokuwa wwlivificha kwa kuvivalisha majani

Hapa ni Mkoani Zaporizhzhia. Vifaru vilivyo haribiwa ni Viwili aina ya BMP-2 IFV na kingine ni MT-LB
Your browser is not able to display this video.
 
Vifaru vya Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa jinsi Ujraine wanavyo shambulia kwa akili nyingi, ni uhakika hata Crimea itarudi tu. Urusi walisema Ukraine haona Silaha ya kutua kwenye hiki kisiwa. Sasa mifumo yote imeharibika
 
Kumekucha Urusi:

Hifadhi nyingine ya mafuta inateketea kwa moto Mkoani Belgorod. Hivi karibuni Waziri wa Ulinzi wa Ukraine aliawaambia Urusi kwwmba nchi Urusi hakuna ulinzi wowote japo wanajiona wana ulinzi.
 
ZALA KYB loitering munition ya Urusi imekwenda na maji mkoani Luhansk


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…