figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #1,481
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa umeingia leo humuMbozi uzi huu unachangiwa na mleta mada pekee???
Warusi wa Bongo wanauchukia huu uzi kama ukoma.Mbozi uzi huu unachangiwa na mleta mada pekee???
Azov ni bahari. Hiki kikosi cha jeshi kinaitwa Azov Regiment au Azov Battalion. Ni wanajeshi wa Ukraine wanaolinda Mwambao wa Pwani ya Bahari na Makao yao Makuu yapo Mariupol. Azov wanashirikiana na Kikosi kingine kinaitwa Marine Brigade. Wote ndo wanaolinda na kupambana na Jeshi la Urusi Mkoani Mariupo kwa Sasa. Jeshini kila Kikosi kina Jina lake. Mfano: Pale Mariupol Urusi wanatumia Vikosi Viwili. Kikosi kinachoitwa Somalia Battalion na Chechen units. Jina la Azov limetokana na bahari. Wakajiita hivyo. Wanaijua hiyo bahari kuliko chochoteAzov manake nini?