Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Habari njema, jeshi la Urusi limeanza kugawanyika. Kuna wanajeshi wanasema Putin anawagombanisha hivyo atoke madarakani. Naamini hawa ndo watamuua Putin. Putin alionywa mapema aachane na hii Vita. Sasa ona NATO washapenya hadi kwake. Hawa wanataka kumuondoa Putin madarakani.

Alama yao ya Vita ni 'L", na Bendera yao ni Blue na Nyeupe. Jina wanalotumia ni LIGION (THE FREEDOM OF RUSSIAN LIGION) Kila siku Wanajeshi wa Urusi wanajiunga na Ligeon. Wamesema Vita ya kumuondoa Putin inaanzia Donbas. Ukraine bado wana wasiwasi nao, hawataki kiwachanganya na Jeshi lao, ila wamewapa majukumu na wakawaonesha waanzie wapi kupambana. Silaha watapewa. Wakipigana kama Wiki mbili kwa mafanikio, tunaweza waamin na kushirikiana nao. Watuoneshe wameua nani kwanza
20220502_063348.jpg
20220502_063346.jpg
20220502_063343.jpg
20220502_062714.jpg
20220502_062701.jpg
20220502_062648.jpg
20220502_062606.jpg
 
Legion
 
Legion
 
Legion
 
Legion. Warusi kwa Warusi wanapambana. Sisi Ukraine tunawaangalia. Tunawashukuru Legion kwa kuamua kuingilia kati. 🤣🤣🤣
 
Hii bendera nu Wapinzani wa Putin walio ndani ya Jeshi. Walikuwa wanawaza watoke vipi. Tunatarajia hii vita ukiendelea mwezi mwingine, nusu ya Wanajeshi wa Urusi watakuwa huku
20220502_065147.jpg
 
Kama tutafanikiwa kuwagawa, Putin hana chake. Hii Vita itafika Moscow
20220502_062648.jpg
 
Kifaru cha Urusi aina ya T-72B huko Mashariki. Kipo mikononi mwa Ukraine
 
Hiki kifaru cha Urusi, kimelipuka hadi watu wakajiuliza kilibeba nini
 
Hiki kifaru ndo chaitwa MT-LBu kilichowekewa B-8M1 jet rocket
 
Legion wameanza kuungwa Mkono. Mijini watu wameanza kuwaunga mkono kwa kupeperusha bendera yao. Hapa ni Cyprus
 
Haw ni Wamarekani, wamejiunga na Legion
 
Back
Top Bottom