Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

A30B (Azov) bado wanapambana. Sema Urusi hawataki kusema yanayo wakuta
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna watu wanadhani Azov ni wanyonge. Wapo imara
Your browser is not able to display this video.
 
Azov mwenyewe
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi: Siberia
Your browser is not able to display this video.
 
Hapa ni Mariupol, na huyu ni Azov. Kuna watu wanajua Azov wapo kwenye handaki muda wote🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Kikosi cha Intelejensia cha Urusi kimemakatwa. Kwa ninavyowajua Azov, sidhani kama wataendelea kuwa na Uhai. Azov wanasema hawana Magereza, hawana chakula, so hawana cha kuwafanya mateka zaidi ya kuwaua sababu hawana sehemu ya kuwashikilia mateka. So ukikamatwa na Azov, muombe Mungu wako sala za Mwisho
 
Hatimaye leo, Jeshi la Urusi linalompiga Putin, wamepata Sare zenye nembo yao. Wanaiunga Mkono Ukraine. Wamefanikiwa kupata Wadhamini wa kuwapa Silaha na vifaa vya Teknolojia. Watapamba na Urusi Sambamba na Ukraine. Hadi sasa ni kazi kubwa wanaifanya Urusi kila mtu anaona. Hili jeshi lililomeguka Urusi, linajiita LEGION
 
Uwasi ni hatare kwa putin. Na jeshi likigawanyika nguvu ukata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…