Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Nakubali sana information zako mkuu. Piga warusi hao safari hii Putin kaingia cha kike.
Na bado kwa hii supply ya siraha iliyofanywa na USA nadhani matokeo tutaanza kuona siku sio nyingi.
 
Nakubali sana information zako mkuu. Piga warusi hao safari hii Putin kaingia cha kike.
Na bado kwa hii supply ya siraha iliyofanywa na USA nadhani matokeo tutaanza kuona siku sio nyingi.
Kuna baadhi ya Silaha hazijaanza kutumika kwasababu bado wanafundishwa Jinsi ya Kuzitumia. Ni za kisasa zaidi na Teknolojia ya hali ya juu. Inadaiwa ndo Mtego wa Kwanza Ukraine wametega Ukaua sana tangu Vita ianze
 
Du!Ukraine wamefanya kazi kubwa hapo,Russia wamepoteza mno
Mkuu, samahani, kulingana na ripoti ya Jeshi/ Kikosi kilichohusika kwenye Shambulizi hili. Mkuu wa Intelejensia wa Kikosi cha 17th tank brigade ambacho ndo waliweka Mtego, Wamesema Vifaru vya Urusi vilivyoteketea au kutelekezwa ni 75. Na wanajeshi waliotekwa au Kuuliwa ni 1000. Hawajazungumiza Waliopona. Naweka hapa chini Video
 
Ukizoom utaweza kuona Urusi wanavyo tafutana. Hii ni kazi ya Kikosi cha 17th tank brigade. Askari wa Ardhini wa Ukraine. Picha imechukuliwa kwa Drone.
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia hapa Sniper Wali akisifia Bunduki yake. Anadai ni ya Kisasa Zaidi
Your browser is not able to display this video.
 
Asante Mkuu,nimeisikia hii taarifa jioni hii kwenye BBC,ni pigo mno kwa Russia
 
Ulishawahi kuwaona Azov(A30B)? Wanakuambia Hawajisalimishi wala kukimbia, wasema Watafia Azovstal. Wanasema hata Wakifa wao, hii Vita Ukraine watashinda. Na Mrusi hataitawala Mariupol.
 
Angalia drone ya Ukriane ilichokifanya Kherson. Kwa Teknolojia ya sasa, Urusi hawana pa Kujificha
Your browser is not able to display this video.
 
Sasa huyu Mkulima hiki kifaru atakitumia wapi? Sidhani kama kinafaa mambo ya Kilimo. Hiki ni kifaru cha Urusi aina ya TOS-1A thermobaric MLRS BM-1 launcher. MLRS maana yake ni Multiple Launch Rocket System. Bonyeza hapo[ ] kuzoom
Your browser is not able to display this video.

Ipo Full loaded🤣🤣
 
Hii ni TOS-1A MLRS ya Urusi Nyingine.
Your browser is not able to display this video.
 
Top 5 most powerful militaries in the world as at 24th Feb 2022
1. US
2. Russia
3. China
4. India
5. France

Top 5 most powerful militaries in the world as at 12th May 2022
1. US
2. China
3. India
4. France
5. Ukrainian farmers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…