figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #1,921
Hii nchi ni nzuri mrusi anaitamani hasa kwa ajili ya kilimo maana ardhi yake ina rutuba sana. Sababu aliyoitoa ya kwamba anataka kujiunga na NATO ili wasogeze nuclear missiles ni uongo.Barabara nzuri. Hapa ni Donbas.. Warusi wanaanza kutafutana.
View attachment 2224877
Hivi hawaoni kama wanajiaibisha kwa hii vita? Yaani wamepigwa kama watoto wadogo.Kumbe wakati Warusi wanavuka mto Donets, baada ya kuona Vifaru vyao vibashambuliwa na nusu vinawaka moto. Wakakimbilia Msituni kujificha. Mkuu wa Kikosi cha 17th Tank Brigade kilichoweka mtego wa kuwanasa Warusi, akatoa amri Msitu wote upigwe moto pande zote.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Warusi wakatoka wenyewe Msituni wakachukuliwa kama PoW kitu ambacho Azov hawawezi fanya. Azov hawateki bali wanaua hata ujisalimishe
View attachment 2224878
Shida ni kwamba hawakujua kama Mmarekani anawajua kuliko wanavyomjua,kabla vita haijaanza kuna kamanda wao(Russia) alisema Marekani kwenye tech ya kijeshi na Idara ya Afya wako juu sana hawawezi kujilinganisha nao.Sasa urusi si ni taifa la hatari kijeshi na intelijensia si wampige mmarekani tu!?[emoji16][emoji16]
Mpaka kusema hivyo inawezekana ameshapima ukubwa wa jambo analotaka kulifanya. Turkey kwenye intelijensia wapo vizuri itakuwa tayari wameshausoma mchezo.Rais wa Uturuki anataka kutuma Nyambizi Mariupol kuwaokoa Azov Majeruhi. Je, atafanikiwa?
View attachment 2224920
Wameshafanya clearance ya mabomu ya majini na wana uhakika nyambizi za Warusi hazipo.Kwa kutumia black sea ataweza
Inaweza kuwa kweli kama Kharkiv umekombolewa atakuwa anapigwa kutokea kaskazini na kusini kwahiyo njia rahisi ni kurudi upande wa mashariki maana wakizubaa tu wanazungukw na hiki ndio kitu kibaya wanakihofia zaidi.nimesoma mahali izyum mambo sio mambo warusi mbioni kuukacha huo mji
Nimekuelewa mkuu. Wakitumia ndege zitadunguliwa maana Ukrain inamiliki anga lake. Kazi imeanza.Plan ilikuwa hadi jumatatu tuwe ndani ya Izyum. Ndo njia kuu, Tukiiteka sehemu nyingine Mterelezo tu sababu Warusi hawatapata sehemu ya kupitisha Vifaru, Vyakula na Risasi. Labda watumie ndege. Yaani Izyum ni kama Wami kwa watu wanaotoka Kilimanjaro kuja Dar. Hapo kwenye Point ndipo Izyum ilipo
View attachment 2225310
Kurudishwa nyuma kwa sehemu uliyokuwa umeishirikia kwa muda na umejijenga kijeshi ni udhaifu na mwanzo wa kuanza kumuogopa adui yako.Wanajipanga huku wenzao wanakuja pasipo kurudi nyuma.Wakuu, Warusi leo wameanza kuukimbia Mji wa Izyum. Eti wanaenda kujipanga upya Katika Wilaya ya Severodonetsk iliyopo Mkoani Luhansk. Umbali wa KM 130 kutoka Izyum. Naamini hadi Jumatatu Ukraine itakuwa imeukomboa Mji Mungu akipenda. Umeona wameogopa kupitia Njia ya Karibu ya km 128 Wilayani Borova coz kuna Mtego wa Ukraine, wameamua kuzunguka Svyatohirsk km 131. Ndo wanaondoka hivyo, hata wajipange vipi, Izyum hawaipati tena.
View attachment 2225366
Silaha zake ndizo zitatumika kumpiga.Ukraine imefanya kazi nzuri Izyum na kufanikiwa kukamata Wafanyakazi wa Jeshi la Urusi 390(Hawa ni Wapishi, Wahandisi, Mafundi, Madaktari) Vifaru vya kubebea Wanajeshi 11, Vifaru aina ya BTR-5 Vifaru aina ya BMP-11 Vifaru aina ya BMD-1 Vifaru aina ya MTLB-2, Artillery systems-4 Vifaru aina ya MLRS-1, Mortar-10 Malori ya Mizigo 8 Ndege zisizo na rubani (UAV)-5
Picha nitaweka kadili nitakavyo pata kutokea Izyum
Pole sana mkuu [emoji2][emoji2][emoji2]Daaah! Russia imeniabisha saana.