Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hadi sasa hivi ndivyo Vifaa Urusi wamepoteza. Takwimu za 29 Machi 2022
20220329_125447.jpg
 
Hatimaye Urusi Wameungama kwamba wamepoteza Vifaru 300 tangu Vita uanze. Vifaru ambavyo Ukraine wameteka au kuharibu, ni vifaru aina ya:19 T-90As, 18 T-80BVMs, 48 T-80Us, 70 T-72B3 Obr. 2016s na 31 T-72B3s.

Vifaru vilivyoteketezwa ni 1019, Vifaru vilivyopata uharibifu mdogo ni 38, Vifaru vilivyo telekezwa ni 233, na Vifaru vilivyo tekwa nyara ni 760

Screenshot_20220329-161759.png
 
Kuna hawa Warusi Wameuawa bahati mbaya. Kwa atakaye wajui atoe taarifa kwa familia zao
20220329_164624.png
20220329_164654.png
 
Ila Warusi hawataisahau siku ya leo 29 Machi 2022.
 
Leo timu ya waruasi leo mtananisamehe. Napost picha zinazowauma ili muwe na adabu
Hapa ni leo Kharkiv
20220329_165947.png
 
Wanajeshi wa Urusi tunawakamata kama Kuku wa kisasa
 
Warusi wanalalamika baridi, njaa, wenzao wamekufa..
 
Huyu dogo baada ya kuzidiwa, akapost Instagram akiwaaga Warusi wenzie. Hata hivyo hajauawa. Wametekwa nyara tu
 
Leo tarehe 29 Machi 2022, karibia na Mji wa Kharkiv, Jeshi la Ukraine limemuua Colonel Denys Kurilo. Katika brigedia ya 200th ya Urusi, zaidi ya Wanajeshi 1,500 wameua.
20220329_172313.jpg
 
Kifaru cha Urusi aina ya A 9P149 Shturm-S ATGM
 
Kumbe yule Kamanda, colonel Sukharev alishakukufa tangu tarehe 18 Machi 2022. Warusi wametangaza wenyewe. Sisi tulisema wakasema ni propaganda.
20220330_101318.jpg
 
Haijajuliakana huyu mkulima kaokota kifaa gani🤣🤣anakipeleka kwake atajua mbele ya safari

UPDATE

Imejulikana. Ni IMR-2. IMR ni Inzhenernaya Mashina Razgrazhdeniya (Clearing Engineering Vehicle).
 
Jeshi la Urusi baada ya kuona Vifaru vyake vinachukuliwa na Ukraine, wameamua kutumia Pickups. Mwaka huu 2022 Ukraine ndo nchi inayoongoz kuwa na Vifaru vya Urusi kwenye Soko la Dunia la Silaha.

Nazo tutazibeba🤣🤣🤣

View attachment 2167324
Niliwaambia. Tuneanza kujichukulia haya magari. Tumeanza na baba lao Tigr-M
 
Urusi haiwapi chakula wanajeshi wake wote?Hawa wamekutwa wamekufa bila jeraha wala uvimbe wowote. Daktari kasema walikufa sababu ya baridi na Njaa.
20220330_104850.jpg
20220330_104853.jpg
20220330_104901.jpg
 
Back
Top Bottom