Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hivi ndo Vifaru vya Urusi aina ya T-72b hapa ni wakati tunaukomboa mji wa Sloboda karibu na Chernihiv 31 Machi 2022. Vinawaka kama mabua
 
Vifaru vya Urusi aina ya BMP-2 na T-72B3/Obr 1989 of Mkoani Kyiv
 
 
Nawasaidia wale wasiojua kutofautisha Vifaru
20220331_232943.jpg
20220331_232946.jpg
 
Tarehe 31 Machi 2022: Hapa kuna Vifaru aina ya T-72B na T-72B Obr. 1989 tanks, gari aina ya Iveco LMV "Rys" na Vityaz DT-30, Vifaru aina ya ZU-23-4 "Shilka" SPAAG, T-72 variant, gari aina ya Comms truck(CT) nk Vikiwa vimetekwa vingine kuharibiwa na kuna Vingine Urusi walitelekeza. Urusi wamepoteza pakubwa.
20220401_050853.jpg
20220401_050851.jpg
20220401_050849.jpg
20220401_050833.jpg
20220401_050828.jpg
20220401_050826.jpg
20220401_050817.jpg
20220401_050808.jpg
20220401_050802.jpg
20220401_050737.jpg
20220401_050734.jpg
20220401_050731.jpg
20220401_050721.jpg
20220401_050719.jpg
20220401_050716.jpg
20220401_050714.jpg
20220401_050701.png
20220401_050649.jpg
20220401_050644.jpg
20220401_050632.jpg
20220401_050629.jpg
20220401_050622.jpg
20220401_050618.jpg
20220401_050550.jpg
20220401_050547.jpg
20220401_050543.jpg
20220401_050538.jpg
 
Wenzetu walikuwa ambushi. Bomu likasambaratisha gari. Ila waloharibu gari hawakubaki salama
 
Hawa Warusi wamevurugwa. Wamekuwa kama Mbogo. Hawa wameenda kwenye zizi la Mtu na kuua ng'ombe wote🤣🤣. Huu mchezo hautaki hasira. Hapa ni Kherkyiv
20220401_115523.jpg
 
Leo 01 April 2022, tumekomboa mji mdogo wa Velyka Dymerka uliombo Mkoani Kyiv.
 
Warusi wanaondoka kwenye kinu cha nyuklia cha Chernobyl.

Hiki kinu walikichukua kwa mbwembwe kumbe hawajui kudhibiti mionzi. Wameamua kuondoka na kuwarudishia Waukraine. Inadaiwa Wanajeshi wengi waliokuwa wanalinda hiki kinu Mionzi imewaathiri. Huu mtego hawakuuona mapema. Ukraine walijifanya kukimbia kumbe wameweka mtego. Leo Urusi wanapiga simu njoo mchukue kinu chenu🤣🤣🤣. Unaingia kwenye nyumba ya mtu kichwa kichwa.
GettyImages-1366270531_x8hsm7.jpeg
 
Figaniga hivi kumbe jeshi la Chechens linawasaidia Ukrein mimi nilizani wapo upande wa Russia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kundi la Komando Adam Osmayev, anayeongoza Batalioni ya Dzhokhar Dudayev anaisaidia Ukraine. Mwingine ni Komando Sheikh Mansur Battalion au Muslim Cheberloevsky na kikundi cha Kitatar hawa wanasaidia Ukraine. Yaani wanaipiga Urusi( Tunawaita Askari wa kujitolea)

Halafu kuna hawa Chechen wanaoongozwa na Kiongozi wa Chechnya Ramzan Kadyrov, ambaye wanadai ni dikteta na Kibaraka wa President Vladimir Putin, yeye na watu wake Wanamsaidia Putin

Ili kuwatofautisha wakiwa Vitani, Wale wanaosaidia Ukraine wanavaa Rebo ya njano au Bluu. Na wale wanaosaidia Urusi wanavaa rebo Nyeupe au Nyekundi au Nyeusi
20220401_153608.png
20220401_153734.png
 
Kundi la Komando Adam Osmayev, anayeongoza Batalioni ya Dzhokhar Dudayev anaisaidia Ukraine. Mwingine ni Komando Sheikh Mansur Battalion au Muslim Cheberloevsky na kikundi cha Kitatar hawa wanasaidia Ukraine. Yaani wanaipiga Urusi( Tunawaita Askari wa kujitolea)

Halafu kuna hawa Chechen wanaoongozwa na Kiongozi wa Chechnya Ramzan Kadyrov, ambaye wanadai ni dikteta na Kibaraka wa President Vladimir Putin, yeye na watu wake Wanamsaidia Putin

Ili kuwatofautisha wakiwa Vitani, Wale wanaosaidia Ukraine wanavaa Rebo ya njano au Bluu. Na wale wanaosaidia Urusi wanavaa rebo Nyeupe au Nyekundi au Nyeusi
View attachment 2171820View attachment 2171821
Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako mzuri Mana wewe ni mtalamu wa mambo ya kijeshi,Hivi hizi lebo wanazovaa wakiwa vitamin vipi haziwezi kutumiwa na adai kuhadaa wapinzani wao? Kwa mfano batolion yenye wanajeshi elfu 3 vipi kiongonzi ambae ni brigedia anawezaje kuhakikisha kwamba wapiganaji wake wanafahamika kwenye uwanja wa vita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako mzuri Mana wewe ni mtalamu wa mambo ya kijeshi,Hivi hizi lebo wanazovaa wakiwa vitamin vipi haziwezi kutumiwa na adai kuhadaa wapinzani wao? Kwa mfano batolion yenye wanajeshi elfu 3 vipi kiongonzi ambae ni brigedia anawezaje kuhakikisha kwamba wapiganaji wake wanafahamika kwenye uwanja wa vita.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lingine Tena mkuu ni kwa nini Hawa Chechens wanapenda Sana vita Yani ni kama vita kwao ni jambo ambalo wanalifutahia Sana.Na ni kwa nini hawa jamaa ni waisalamu wakati najua hiyo nchi ilikuwaga kwenye shilikisho la kisovieti hivo basi nilitegemea wangekua waothodox kama walivo Warusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom