Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kifaru cha Urusi kimepinduka tairi Juu, lakini Ukraine wanaendelea kuwamimimia Risasi. Hii Vita Urusi haitashinda. Tushawafukuza pakubwa
 
Jeshi la Urusi huwa halithamini wanajeshi wao wakiwa vitani ni kawaida sana kutokuwapatia mahitaji muhimu kama vile vyakula, maji na dawa. Ikitokea wamezingirwa wanawaacha wajifie tu.

Hata kipindi cha WW2 walikuwa hivyo hivyo waliua wanajeshi wengi sana kwa uzembe wa kijinga. Walivyofika kwenye nchi ya Ujerumani waliiba hadi nguo, viatu na vyombo vya ndani.Mjerumani alikuwa hawezi kula vyakula vya Soviet Union, wao ndio walikuwa wanavitafuta kwa udi na uvumba.

Ninadhani hawana discipline au mafunzo yao yana walakini.Kwa ubakaji wako vizuri. Hata hapo Ukraine wameshapaka wanawake wengi tu.
Upo sahihi. Nilichojifunza, Askari wa Uris hawaonei huruma wala hawaumizi kichwa kupambania zana zao za kivita. Wakitekwa kidogo wanatelekeza na kukimbia na V8
 
Haya mambo yanachanganya mkuu figganigga nikiwa hapa napata hope kwamba urusi atarudishwa nyuma nikienda kule uzi mwingine wamejaa warusi wa buza wanasema ukraine inazidi kumegwa sielewi yani.

Halafu mkuu ulisema Azov wakifika kesho jumatatu itakuwa ushindi mkubwa nini tathmini yako mpaka sasa.?
 
Huyu ni Torn Kadyrovets wa Chechen. Walijifanya kuwafuata Azov eti wawakamate kwa Mikono. Askari wa Urusi 6 wamekufa na hao wawili kujeruhiwa. Huyo wa kulia kwenye machela wanadai kafa pia ila sijaona picha yake wala sina uhakika. Hao wengi e wanapiga risasi Hewani ili Azov wasisogee huku wenzao wakitibiwa. Azov ni Shida.
 
Haya mambo yanachanganya mkuu figganigga nikiwa hapa napata hope kwamba urusi atarudishwa nyuma nikienda kule uzi mwingine wamejaa warusi wa buza wanasema ukraine inazidi kumegwa sielewi yani.

Halafu mkuu ulisema Azov wakifika kesho jumatatu itakuwa ushindi mkubwa nini tathmini yako mpaka sasa.?
Mkuu, mimi sio mchambuzi wa maswala ya Vita. Ila napost kunachoendelea au mafanikio ya Upande wa Ukraine tena Walio Frontline tu. Pia napost pale Urusi wanapopoteza. Sishindanishi majeshi. Hongera kama unapata habari za pande zote.

Ni akili yako sasa kuchanganua. Siwezi nikajua nani kamzidi mwenzie. Azov wameongea na Wanahabari, sijapata muda wa kusikiliza.

Ukweli ni kwamba hii Vita Urusi hashindi. Je, kwa nguvu alizonazo ulitegemea miezi miwili iishe kwa nchi ndogo kama Ukraine? Hapo ndo ujue Urusi si chochote si lolote. Wanapoa na kuharibu majengo na Miundombinu tu
 
Angalia hapa Urusi wanavyokimbizwa na Azov. Azov wangekuwa na Silaha nzito, wangelipua hilo jengo. Wenzao Urusi walikuja kusaidiwa na kifaru
 
URUSI: Moto unawaka tena Perm.
 
Ila LEGION wanajitahidi sana. Hapa ni Nchini Urusi mkoan Perm. Angalia Warusi wanavyo tafutana.
 
IMG_20220508_172325_077.jpg
IMG_20220508_172327_431.jpg
IMG_20220508_172329_294.jpg
IMG_20220508_172330_970.jpg
IMG_20220508_172334_530.jpg
IMG_20220508_172336_357.jpg
IMG_20220508_172338_282.jpg
IMG_20220508_172340_758.jpg
IMG_20220508_172342_616.jpg
IMG_20220508_172345_303.jpg
 
Upo sahihi. Nilichojifunza, Askari wa Uris hawaonei huruma wala hawaumizi kichwa kupambania zana zao za kivita. Wakitekwa kidogo wanatelekeza na kukimbia na V8
Kabisa mkuu. Mafunzo yao yana walakini au kukosa uzalendo wamechoshwa na vita. Halafu mzungu aibe sahani,tv chogo na nguo ni jinsi gani wana maisha magumu. Uchumi wao wameulekeza kwenye kujenga jeshi na siyo maisha ya watu.

Afrika huku hawana shida na hivi vitu vidogo vidogo huwa vinafanywa na vikundi vya militia groups na siyo jeshi la nchi. Aibu kwa jeshi lililoko Ulaya kuiba hadi chakula.

Nimelitafakari sana hili mkuu.
 
Kuna hiki kikundi kinamsaisia Urusi kinaitwa Chechen. Hawa ni raia wa Chechnya.Wao wanafanya propaganda na Uongo wa hali ya Juu. Mambo kama haya huwezi yafanya mbele ya Azov, wanakutuo roho. Hapa ni sehemu ambayo haina mapigano, ndo wanafsnya hivi ili wapost Social media. Wanapenda sifa balaa
 
Back
Top Bottom