Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

IMG_20220628_133321_957.jpg
IMG_20220628_133324_523.jpg
 
Urusi ni Vibaka wakubwa. Wanajeshi wao sijui wanafundishwa nini. Kwanini wezi hivi?
 
HIMARS zipo Frontline kama kawa
View attachment 2275449
Sijui ni kwanini wanakuwa wanayatembeza kwa pamoja ila mimi ningeona ni bora yawe yanakaa mbari mbari ili Adui asije akayalenga yote kwa pamoja

Au usikute wanayarusha mpakani mwa Poland alfu wakisha maliza yanaenda kulala poland[emoji16][emoji16]

Na urusi awezi Rusha ata jiwe Poland

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sijui ni kwanini wanakuwa wanayatembeza kwa pamoja ila mimi ningeona ni bora yawe yanakaa mbari mbari ili Adui asije akayalenga yote kwa pamoja

Au usikute wanayarusha mpakani mwa Poland alfu wakisha maliza yanaenda kulala poland[emoji16][emoji16]

Na urusi awezi Rusha ata jiwe Poland

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Moja ni rahisi kuteka. Sababu inakuwa haina backup. Wamarekani wanazilinda sana hivyo kuzilipua inawezekana lakini kwa mbinde. Juzi nliona zilifanya kazi Usiku. Ni sawa na Urusi inavyolinda Meli zake, zipo unaziona tatizo ni kuzifikia. Hata haya Magari hivyo hivyo.
 
Leo nimebahatika kupata Video ya Frontline ya Kikosi cha LEGION, Waasi wa Urusi wanaotaka kumuondoa Madarakani Putin pia wanaisaidia Ukraine kujilinda dhidi ya Mvamizi. Hapa Walikuwa wanashambuliwa na Mortar kutoka Vikosi cha Urusi mpakani mwa Ukraine na Urusi.
 
Moja ni rahisi kuteka. Sababu inakuwa haina backup. Wamarekani wanazilinda sana hivyo kuzilipua inawezekana lakini kwa mbinde. Juzi nliona zilifanya kazi Usiku. Ni sawa na Urusi inavyolinda Meli zake, zipo unaziona tatizo ni kuzifikia. Hata haya Magari hivyo hivyo.
Sawa nimekupta mkuu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom