Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Angalia hii ambushi ya dakika moja na nusu.. Vumbi limetimuka, Urusi hawaamini macho yao🤣🤣
 
Baba kaenda Ukraine kuiteka Kyiv ndani ya siku 3🤣🤣🤣
IMG_20220707_150651_093.jpg
 
Ghala 1 la Donetsk leo asubuhi liliposhambuliwa na HIMARS. Haikosei.
 
Wewe ulitaka Urusi waje waiteke Ukraine na Zelensky asipambane kulinda nchi sababu akilinda nchi anaonekana mbabe? Tuondolee ujinga. Mtu aje kwako abomomoe nyumba yako umuache ili usionekane mgomvi?
Wale wa Urusi wanapigania nchi au ubabe wa putin,nani muathirika Kati yao na putin
 
Urusi watakoma.

Hapa ni Belgorod nchini Urusi, wamerusha Iskander rocket kwenda Ukriane, likaogopa likarudi lilipotoka. Mashuhuda wanasema si mara moja inatokea
 
Marekani na washirika wa NATO tayari wamekabidhi HIMARS MLRS tisa na mifumo kama hiyo kwa Ukraine - Danilov

"HIMARS tisa na mifumo kama hiyo ya makombora tayari inafanya kazi nchini Ukraine, Warusi hawana ulinzi dhidi ya HIMARS na wana wasiwasi mkubwa," katibu wa NSDC alisema.
IMG_20220707_162902_128.jpg
 
Hapa ni Mto Belogorovka. Urusi wamepoteza 80% ya Vifaa na watu. Waliobaki wakataka kujisalimisha Azov wakakataa... Wakasema endelea kupambana na sisi hadi Mshinde🤣🤣🤣. Wameushikilia huu mji siku 4 tu. Kesho mtasikia kwenye vyombo vya habari. Urusi wamelia machozi ya damu. Ogopeni ambush ya Azov.. Hata sisimizi habaki
IMG_20220707_165851_463.jpg
IMG_20220707_165853_859.jpg
 
Mkuu,

Kuna baadhi ya picha unazoziweka zinatosha na kuogopesha sana unatakiwa kutoa tahadhari kwa sisi wasomaji wako.

Sijui lakini kwa nini sijui @moderators wamekuacha ufanye hivi vitu pasipo kukudhibiti.
 
Mkuu,

Kuna baadhi ya picha unazoziweka zinatosha na kuogopesha sana unatakiwa kutoa tahadhari kwa sisi wasomaji wako.

Sijui lakini kwa nini sijui @moderators wamekuacha ufanye hivi vitu pasipo kukudhibiti.
Huu uzi ni wa vita unategemea ukute picha za ufukweni mkuu...!


humu tegemea kukuta picha za kukuogopesha ..! That's why hajalazimisha mtu kuufungua...!
 
Hivi mnajua Donetsk Urusi tangu 2014 wanaleta chokochoko? Kipindi cha crimea waliitaka na Donetsk wanaikalia kimabavu, Leo kimewaka. Hapa ni Avdiivka. Hadi Crimea, hatuachi kitu
20220707_183904.jpg
 
Warus8 watajua hawajui. Siku ya jana na leo ni mbaya kwa Urusi.
 
Ngoja nisubiri kesho kuambiwa maiti ngapi za Urusi zimeokotwa kwa kazi ya leo. Kumbuka HIMARS imefanya kazi mchana Masaa nane. Usiku kazi inaendelea.
 
Urusi inadai inataka iachane na Ukraine, badala yake Wanataka Warudishe jimbo la Alaska la Marekani. Wanadai Alaska ni Urusi sio Mareka. Wameanza kuweka mabango kwa Alaska ni Urusi.
IMG_20220707_185438_373.jpg

Us-su-maritime.jpg
 
Back
Top Bottom