Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Urusi wamekutana na Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni
 
Huyu katoka Urusi kaja Ukraine kuua kizazi cha Ukraine, kafa yeye🤣🤣
IMG_20220722_133320_257.jpg
 
Pro Urusi wananilalamikia inbox eti siwafuniki sura wauaji wa Urusi. Kaja kuua kafa yeye.. Niwaheshimu wa nini? Ngoja niwafunike sura mfurahi mnitumie soda
IMG_20220722_162016_846.jpg
 
Hawa Warusi walevi, wanatoa alama za barabarani eti zina rangi ya Ukriane. Hizo rangi zipo nchi. Nzima, utaziona tu. Urusi hawana raha. Hii inaitwa usiyempenda kaja
 
Baada ya kuwaua Warusi, sasa vijana wasio na kanuni wanajipongeza
 
Angalia ghala la Silaha za Urusi huko Rakovka baada ya kuharibiwa. Wavamizi wameamua kukimbia
 
Hapa ni Zaporozhye penye mtambo wa nuclear. Ukraine imeshambulia kwa drine za kamikaze ambapo hiyo camp ya mahema, silaha za anti-aircraft na gari la BM-21 "Grad" vimeharibiwa.
 
Back
Top Bottom