Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Urusi muda mwingine wanakera sana, hii vita watashindwa kwa ujinga wao wa kutotumia silaha nzito kumaliza hii vita.

Au Urusi hana hizo silaha nzito kama tunavyoaminishwa?

Anaruhusuje wanajeshi wake wanateketea kwa wingi hivyo?

Anaruhusuje eneo wanaloteka, linakombolewa tena?

Hii vita ukraine inakuwa magofu, imeanguka kiuchumi, watu wanakufa ila Urusi na yeye anapata hasara kubwa sana kupoteza idadi ya wanajeshi wengi, vifaa n.k.

Gap analotoa Urusi kwa ukraine kujipanga, kupokea misaada ya vita na mafunzo, litamcost sana Urusi.

Na sijawahi kuona vita ambayo unampa adui nafasi ya kujipanga halafu akurudishe tena nyuma.

Hii vita ni ya kijinga sana.
Ukiachana na Nuklia Russia asha tumia kila salah zote alizo nazo.nilicho jifunza kama Wanchi hawakutaki huwezi shinda vita yoyote hii imedhihilika Vietnam na Ukraine.
 
Propagandists wa Kirusi wanasambaza picha na video feki kuwa wamepiga HIMARS kumbe wamepiga gari ya kuvutia mizinga ya M777 ambayo ina kichwa kama HIMARS lakini ni tofauti



View attachment 2314130
HIYO YA JUU NDO WAMEPIGA

Lakini wao wanadai eti wamepiga hii ya Chini

View attachment 2314132
HII NDO HIMARS

Sasa angalia uso wa HIMARS ambayo ina Screw nne usoni zilizokaa horizontal, halafu linganisha na hii picha wanayosambaza eti HIMARS imepigwa.

View attachment 2314134
Utaona wazi hii picha ya gari iliyoharibiwa inafanana na ile picha ya gari la mwanzo lakini siyo HIMARS
Usiumize kichwa kuelezea. Warusi hawaelewi. Sisi tuwaondoe. Wanatamani HIMARS moja wailipue wapate Stori. Hawana cha kuongea.
 
Usiumize kichwa kuelezea. Warusi hawaelewi. Sisi tuwaondoe. Wanatamani HIMARS moja wailipue wapate Stori. Hawana cha kuongea.
Watatamani sana lakini tamaa yao hiyo ndo itazidi kuwafanya wapukutishwe na HIMARS hiyohiyo wanayoinyatia-nyatia. Bado kidogo watalipua Guta na kwa kuchanganyikiwa watasema ni HIMARS.
 
😂😂😂 Gololi zimeshazama tumboni.
Ulitakiwa wawe wameshakuwa mzoga.
Ndio tena kabisa. Wawe wameshakuwa mzoga. Nilisikitika sana kuona wanakata nyeti za wenzao. Shenzi sana hao jamaa.
 
Nasikia wavamizi wameanza kutaka negotiation na ukraine. Hali tete wamezamia mtumbwi wa vimbwengo wanaomba poo.
 
Watatamani sana lakini tamaa yao hiyo ndo itazidi kuwafanya wapukutishwe na HIMARS hiyohiyo wanayoinyatia-nyatia. Bado kidogo watalipua Guta na kwa kuchanganyikiwa watasema ni HIMARS.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Nasikia wavamizi wameanza kutaka negotiation na ukraine. Hali tete wamezamia mtumbwi wa vimbwengo wanaomba poo.
Hapana -Hiyo Hikubaliki. Wasubiri kwanza dawa iingie vizuri wasilete za kuleta apa.
 
Hiyo nafasi ya negotiation hawatakiwi kupewa kabisa. BIG NO NO.
Naunga mkonoooo: Wameona nini hadi waombe negotiations jioni hii? Majigambo waliyokuwa nayo asubuhi yameisha na mashavu yamewashuka? HAKUNA cha msalie Mtume hapo bwashee; ni kutembeza kichapo tuu kwa hao kenge mpaka kieleweke.
 
😀 Home-boy!, subiri kwanza vita iishe hata mm nitaku-accompany tukajizolee maskrepa ya vifaru na magari ya Fashisti.
😂😂😂😂 Ikungulyambiti nitakuwa agent wa scraper za Vifaru. 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
IMG_20220806_123238_814.jpg
 
Back
Top Bottom