figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #5,501
Nimepata Video nzuri Uwanja wa Vita. Urusi walikuwa wanapambana na Ukriane Umbali wa Hatua Ishirini. Walio chini ya Daraja ni Ukraine, walio juu ya Daraja hapo kwenye michanga ni Warusi. Urusi wamepelekewa moto hadi wakakimbia. Picha imechukuliwa na drone