Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wakuu, itoshe kusema Urusi wamekufa hadi tumelipiza kusasi na kuchoka. Tumeteka vifaru mara 18 ya vifaru vilivyokuwepo. Mifumo ya jeshi na silaha ns risasi ndo usiseme. Sababu Urusi wameshakili wanajeshi wao wanakufa, sina sababu ya kupost mizoga yao. Wapo wengi wametapakaa wengine wanapumulia pua moja. Unamuacha afe kwa amani
View attachment 2362909
Zile Drones za Iran, zimeanza kuwa tishio kwa Artilley zetu na wanajeshi wetu maeneo ambayo wamezi-deploy.

Inahitajika mbinu zaidi kulithibiti hili lisilete madhara kwenye frontline ya Ukraine.
 
Ukraine wameteka 2S19M2 Msta-SM2 152mm SPG za Urusi
20220921_131237.jpg
20220921_131247.png
20220921_131249.png
 
Ukraine imepokea mzigo kutoka Iran 🇮🇷. Ni risasi za 122mm, 152mm HE projectiles (kwaajili ya D-20 howitzers 2S3 Akatsiya SPG). Zimetengenezwa 2022 kwa Order ya Ukraine. Kuna siku nilipost picha ya Risasi za Iran watu wakawa hawaamin. Vita biashara
 
Unaambiwa hizi Six-wheel armored Toyota Land Cruiser zinazotengenezwa na SVI Engineering, ni teknolojia ya Afrika kusini ambayo inatumiwa na Marekani. Sasa haya Magari yapo Ukriane Frontline. Kikubwa ninkuangamiza drones za Urusi
 
Back
Top Bottom