Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Eti laki 9 Lini urusi umetuma wanajeshi laki 9 ...Putin amesema has not even started..hyo ilikuwa trailer tuWanajeshi wa Urusi laki 9 walishindwa kufika Kyiv waje wafike laki 3 ambao hawana mafunzo? Acha kujitoa Ufahamu. Wakiwa wanakufa picha nitakupostia hapa, usiache kugonga like. Wanaingia lini Ukraine? Nataka tuanze kuhesabu pamoja wakiwa wanakufa