Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hivi ndivyo marafiki zetu wa Georgia wanavyokutana na wakimbizi wa Putin Wanaoikimbia Urusi kukwepa kupelekwa Ukraine. Wananchi Georgia hawawataki Warusi wakimbilie kwao

💬"Umemchagua Putin kwa miaka 20, umeidhinisha vita na Ukraine, Georgia, Syria na wengineo, na kwa muda wa miezi 7 unafurahia mauaji ya halaiki na mauaji ya watu wengi wa Ukraine. Sasa ishi nchi mwako ". Wanasema kwa mabango na Warusi wanayasoma.
IMG_20220929_102446_227.jpg
IMG_20220929_102449_430.jpg
IMG_20220929_102454_235.jpg
 
Hivi ndivyo marafiki zetu wa Georgia wanavyokutana na wakimbizi wa Putin Wanaoikimbia Urusi kukwepa kupelekwa Ukraine. Wananchi Georgia hawawataki Warusi wakimbilie kwao

💬"Umemchagua Putin kwa miaka 20, umeidhinisha vita na Ukraine, Georgia, Syria na wengineo, na kwa muda wa miezi 7 unafurahia mauaji ya halaiki na mauaji ya watu wengi wa Ukraine. Sasa ishi nchi mwako ". Wanasema kwa mabango na Warusi wanayasoma.
View attachment 2371313View attachment 2371314View attachment 2371315
Very Good move for delivering the message to Putin. Hongera Georgian
 
Huyu Mateka wa Urusi angalia anavyotia huruma, huwezi kiamini kama ndo yule anashinda Mtandaoni watu tunaopinga Urusi kuvamia Ukraine. Anaomba msamaha hadi analia🤣🤣. Swali anaulizwa Watoto wa Ukraine wamewakosea nini hadi mnawaua?
 
Ukraine wameukomboa mji wa Seredne karibu na Lyman
View attachment 2371626
Ndani ya wiki hii Lyman itakuwa imekombolewa. Warusi wameng'ang'ania hawataki ku retreat. Jamaa wanawazunguka sijui watatokea wapi. Ikishazibwa escape route ya Kreminna sijui watatokea wapi, labda waingie maporini. Huko ndo watakandamizwa vizuri na Drones. Tutarajie mizoga mingi Lyman ndani ya wiki hii.
 
Huyu ndo wanataka akapambane na Azov. 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2371627
Wako kwenye ku record move yao. 😂😂😂Siyo kwamba hajui kubeba silaha. Huyo ndo sterling wao 😂😂

Ukisikia maajabu ya dunia ndo haya. Au labda ndo wanapelekwa mafunzo bado hawajafuzu. mwaka huu tutashuhudia mengi
 
Hakika Putin kapanic. Mcheza ngumi za Dunia wa Urusi mstaafu, Nikolai Valuev miaka 49 atakiwa asitoroke. Kapelekewa Barua anatakiwa kwenda Vitani Ukraine. Ngumi za Tyson hazikumuua, anaenda kuuliwa na Vijana wasio na huruma AZOV. Nadhani Warusi wameanza kumchukia Putin kwa hii style ya kuwalazimisha kwenda Vitani.
 
Back
Top Bottom