Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Maneno tu. Hata umoja wa Mataifa hauruhusu kuingilia mipaka ya nchi kimabavu. Mfano Uganda ije iteke Kagera, ifanye igizo la kupiga kura ishinde iseme Kagera ipo Uganda? Akili matope. Alikosea, Mrusi alitakakiwa awaachie Waukraine wenyewe wapiga kura na wahesabu wenyewe. Sasa kura zimepigwa Urusi, muangalizi Urusi, Msimamizi urusi, mhesabu kura Urusi, mtangaza matokeo Urusi, Mshindi Urusi. Dunia haiwezi kubali. Hata taahira atagundua kama ni uongo huu.
View attachment 2372981
View attachment 2372984
Mbele ya mtutu wa bunduki utakataa kupiga kura. Kumbuka kura zilikuwa za wazi.

Kumbuka wananchi wa hayo maeneo ni mateka wa Urusi. Ukiwa mateka unakuwa na sauti?
Na viongozi ambao Putin aliwekeana Saini nao ili hayo maeneo yajiunge na urusi hawajachaguliwa na watu Bali wamewekwa na Urusi.
 
Ukraine wakiikomboa Kreminna na Rubizhne watakuwa wamekata supply route ya kupeleka silaha Severodonetsk na Lysychans'k.

Wakifanikiwa hilo Severodonetsk na Lysychans'k wanazikomboa kiulaini.

Mbinu wanayotumia sasa hivi Ukraine ni kutohangaika na Warusi waliong'ang"ania kwenye miji mikubwa. Wanapambana kuzifikia main supply route zinazozunguka miji hiyo wazizibe kwanza ndo wanawashughulikia vizuri.

Hongera ukraine troops
Ngoja tuone hadi kesho jioni. Kwa nguvu iliyoongezwa, Kreminna inaweza kombolewa mapema. Warusi wameshalegea Donetsk.
 
Kinacho waponza Urusi ni kiburi. Wanaambiwa wajisalimishe wanajidai kukimbia. Frontline ya Ukraine ikisema jisalimishe wanakuwa na uhakika wa kuwazunguka na kuwazidi nguvu. Hawa wamegoma kujisalimisha wakajifanya kukimbia hawakufika mbali.

Ushauri: Mtu mwenye mtutu akikupa nafasi ya kujisalimisha fanya hivyo. Ona sasa
 
Frontline wakijilinda dhidi ya mvamizi.
IMG_20221001_112652_644.jpg
 
Ukraine wakiikomboa Kreminna na Rubizhne watakuwa wamekata supply route ya kupeleka silaha Severodonetsk na Lysychans'k.

Wakifanikiwa hilo Severodonetsk na Lysychans'k wanazikomboa kiulaini.

Mbinu wanayotumia sasa hivi Ukraine ni kutohangaika na Warusi waliong'ang"ania kwenye miji mikubwa. Wanapambana kuzifikia main supply route zinazozunguka miji hiyo wazizibe kwanza ndo wanawashughulikia vizuri.

Hongera ukraine troops
Hii mbinu tangu waanze offensive mission imekuwa ikitumika sana. Himars kazi yake ndio hiyo jamaa wako very strategic.

Aidha wanaripua depot za silaha au wana kata supply route kwa kuripua madaraja matokeo yake urusi wanakosa supply wana achia maeneo tu.
 
Kinacho waponza Urusi ni kiburi. Wanaambiwa wajisalimishe wanajidai kukimbia. Frontline ya Ukraine ikisema jisalimishe wanakuwa na uhakika wa kuwazunguka na kuwazidi nguvu. Hawa wamegoma kujisalimisha wakajifanya kukimbia hawakufika mbali.

Ushauri: Mtu mwenye mtutu akikupa nafasi ya kujisalimisha fanya hivyo. Ona sasa
View attachment 2373526
Tembeza risasi tu hawa mbwa hakuna haja hata ya kuwatangazia surrender.
 
Special Force wa Frontline ya Ukraine wameshafika Lyman tayari. Waone hivi, hawa ni Makomandoo.

Hope Jumapili ya kesho itakuwa siku ya furaha kwa Ukraine. Kumbuka Lyman imezungukwa tu bado haijakombolewa. Ukraine inatumia akili nyingi kuingia huu mji. Wanahakikisha Warusi hawatoki
 
Urusi Wanataka mazungumzo. Wanataka Ukraine iache kushambulia Lyman(To ceasefire) ili kunguza vifo.

Lakini jana Urusi waliambiwa wajisalimishe hawakutii. Walitaka wapetiwe petiwe.
View attachment 2373758
Mhh. Mrussi anataka(Demand) sio anaomba(Request)? Hiyo ni kauli ya kijeuri. Kama anataka mazungumzo basi lazima apewe masharti tena magumu. Laa, kama anaomba basi kwanza sharti ajisalimishe.
Naam. Nimewakubali sana Ukraine. Wanaijua lugha ambayo Mrussi huielewa haraka.
Kiburi kinamwishia Mrussi kwa kasi kubwa.
 
Back
Top Bottom