Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Sure! Muingereza alijitahidi sana kumzuia Mjerumani asivuke kuingia kwenye kisiwa chake, alipigwa vibaya sana baharini hadi akaamua kurudi nyuma na kutangaza operation Barbarosa (Eastern Front to Russia).

West Europe aliyejitahidi ni Muingereza, uingereza kitu kikubwa kilichomsaidia ni intelijensia ya kujua na kugundua Mjerumani anapanga kufanya nini.

Bila US kuingia kwenye hizo vita dunia ingegawanywa vipande 3,sehemu ya Mjapan Pacifi yote hadi US.

Pili Third Reich Europe yote.Headquarters ilikuwa inaandaliwa kuwekwa pale Czechoslovakia, Fourth Reich ingekuwa Afrika makao yake makuu yalikuwa yawe South Africa.

Tatu angetawala Muitaliono (Benito Mussolini) akiwa karibu na rafiki yake Mjerumani maeneo ya kusini mwa Europe,North Afrika hadi Uarabuni. Kwahiyo Marekani alitibua mipango yote.

Ujue jinsi ambavyo Makamanda wa Hitler walikuwa wanamuogopa US siku Hitler ametangaza vita na US walipigwa na mshangao wengine wakaanza kusema the war is lost. Hapa ni baada ya Japan kuipiga US pale pearl harbour 1941.
Civil war among the US states ilimpa uzoefu mkubwa sana Marekani when it comes to war they precisely know what it means about war! Wengine wanabahatisha tu linapokuja suala la vita; I mean real bloody battle. Sorry, nazungumzia modern age wars not vita vya farasi na majambia vya enzi za Genghis Khan!
 
Wanajeshi wa Marekani 4,700 wa Vikosi vya anga, wanaojiita aka "Screaming Eagles", wamepelekwa Mpakani mwa Ukraine na Romania kuangazia kinachoendelea Ukriane. Wameweza kuizunhuka Snake Island.. Na wamepaisha ndege zao anga la Odessa. Pia Wanaendelea na Mazoezi Romania. Wanasema wamepata nafasi ya kuwasoma Warusi. Vita ya Anga Ukraine imefika patamu.
View attachment 2394220
Imekaa uzuri hii
 
From Mylove Kherson. Good morning. Wanajeshi wetu washaingia mji wa Mylove💪💪💪. Warusi Magaidi, wanaretreat miji ya Charivne na Chkalove
20221023_070932.jpg
20221023_070956.jpg
20221023_070943.jpg
 
Natamani leo tuangazie baadhi ya Silaha. Hii Vita ya Ukraine umekuwa kama Uwanja wa kuonesha na kuringishiana Silaha mpya mpya za Kisasa. Mimi nimependa kila nchi inavyoonesha Umwamba wake. Marekani, Iran, Ufaransa, Ujerumani, Urusi, china, Israel, Poland nk. Twende kazi. Kila mtu atuoneshe Silaha iliyo mvutia. Mimi naanza na 11-Barrel Naval Gatling Gun ya China. Hii inaangusha ndege, Missiles n.k. Ni air defense system
 
Tutazungumza kuhusu Silaha zote lakini Silaha best kwangu katika mtanange huu wa Ukraine vs Urusi ni

1. Namba moja ni Javellin. Hii kitu imevitafuna vifaru vya Urusi kama bigjii

2. HIMARS- Hii ilibadili situation ya Ukraine kutoka kuwa kwenye defensive na kuanza kuwapelekea Moto Warusi

3. Bayraktaar - Hii ilisaidia sana kuthibiti advances za Mrusi kuelekea Kiev mwanzoni mwa vita

images.jpeg

Javellin
 
Back
Top Bottom