Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

"..............Ukraine inataka mazungumzo ya jinsi Urusi itaondoka Ukraine na kulipia gharama za Uharibifu......."
Excellent. Hilo ndilo la msingi sana. i.e. Mrusi akubali kuAcha vita, ku Ondoka Ukraine, kuLipia gharama za uharibifu then ndio mazungumzo yafanyike.Hizo ndio conditions for enabling the discussions. Tofauti na hapo, kipondo kikali kiendelee. Apigwe kama ngoma.
Yumkini huyu jamaa amechanganyikiwa mazima. Juzi kati hapo kajaribu kusema eti wakubaliane na Ukraine akae katika mikoa 4 aliyoteka kwa muda wa miaka 7 halafu ndo aondoke. Leo ameenda kulia-lia kwa nchi za Magharibi Wamshawishi Ukraine akubali mazungumzo. Kesho atasema nini?-hatujui. Huyo mpuuzi mpuuzeni.
Hamuijui Russia vizuri ninyi!Hizo propaganda mfu mnazojifariji nazo hazitawasaidia
 
Sijawahi kuona sehemu yeyote ambayo Russia alitoa timeframe ya SMO yake!
Amiri Jeshi Mkuu unaanzisha vita bila ya kuwa na mipango kuonesha hiyo vita angalau kwa makadirio itachukua muda gani??

Basi kumbe Puttin ni Amiri jeshi Mkuu wa ajabu sana!!
 
Amiri Jeshi Mkuu unaanzisha vita bila ya kuwa na mipango kuonesha hiyo vita angalau kwa makadirio itachukua muda gani??

Basi kumbe Puttin ni Amiri jeshi Mkuu wa ajabu sana!!
Tutajuaje kama anajua au hajui?Hilo only Putin na Timu yake ya usalama ndio wanajua!Maana hawajawahi kutoka hadharani na kusemea Hilo la muda!
 
Hamuijui Russia vizuri ninyi!Hizo propaganda mfu mnazojifariji nazo hazitawasaidia
Tuletee hizo propaganda hai za kirusi ili tulinganishe na tuamue. Usitupangie kama ambavyo sisi hatukupangii kwenda kupapaswa makalioni.
 
Tuletee hizo propaganda hai za kirusi ili tulinganishe na tuamue. Usitupangie kama ambavyo sisi hatukupangii kwenda kupapaswa makalioni.
Mnachojua ni matusi!Siwezi kushuka level Yako na kuanza kujibizana matusi na wewe!Jioni njema!
 
Back
Top Bottom