Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Warusi wenyewe wameondoa bendera yao katika jengo la utawala wa mji wa Kherson, wanaogopa aibu kwa bendera yao kushushwa na kukanyagwakanywaga pindi majeshi ya Ukraine yatakapofika hapo, na Yanakaribia.