Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukraine wamesema wanamobilize Mbu laki tatu. Ambao watasambazwa kwa kutumia drone thidi ya maadui. Mbu watakuwa na Uwezo wa kunyong'onyesha adui atakayeng'atwa na kumfanya aishiwe nguvu kwani ni Mbu waliobeba maradhi. Ukraine inaanza vita ya Kibailojia. Wanajeshi wamesha fundishwa na Tangazo kimetolewa
20221109_081920.jpg
 
Ukiacha Mbu, pia wana Nyuki ambao wamefundishwa Mambo ya Vita.. Kwahiyo inategemeana na Wakati na Sehemu. Hapa ni Nyuki wa Ukraine waliofundishwa kutengeneza nembo ya Taifa la Ukraine. Jeshi la Nyuki
Lesser_Coat_of_Arms_of_Ukraine.svg.png

Nembo ya Ukraine.
 
Ukiachilia mbali Mbu na Nyuki, Ukraine wamefundisha Popo.. Ambao nao wapo tayari kwa Vita. Wapo Popo wa Kutosha. Ila kwa sasa watatumia Mbu zaidi ya 300,000. Watalenga sehemu Maalum ambazo zimeshaainishwa. Mbu wenye njaa haswa
20221109_094414.jpg
 
Ndio maana tunatakiwa kuwaheshimu sana wanajeshi e.g. Hapa Tz ni JWTZ kwani wao huenda huko Frontline (Hatarini - killing zone) kwa niaba yetu, wanajitolea maisha yao(Uhai) kwa niaba yetu - Tuwaheshimu na tuwapende hao waliojitoa muhanga kutetea mustakabali wa Uhai wetu.
Ila wamechagua na wanajua kufa kupa kutokana na uchaguzi wao.

Uzalendo hutokea endapo nchi imevamiwa
 
Sio tatizo.. Ndani ya Mikoa 28 ya Ukriane, Urusi iliteka mikoa 13, hii wamebaki na mikoa minne tu. Tatizo silioni. Kama tuliwafurumusha mikoa 9, hata hii tutaweza. Ukraine ilikuwa nchi ya amani. Crimea wakawachia Urusi bila vita mwaka 2014, Urusi wakanogewa sasa wanataka mikoa 5. Tutafia hapo na hawatachukua kitu
Na hiyo mikoa hawajaichukua yote, kuna sehemu nyingi bado mapigano yanaendelea
 
Ukraine wamesema wanamobilize Mbu laki tatu. Ambao watasambazwa kwa kutumia drone thidi ya maadui. Mbu watakuwa na Uwezo wa kunyong'onyesha adui atakayeng'atwa na kumfanya aishiwe nguvu kwani ni Mbu waliobeba maradhi. Ukraine inaanza vita ya Kibailojia. Wanajeshi wamesha fundishwa na Tangazo kimetolewa
View attachment 2411089
very dangerous,hio sio plague ya dunia imeannza hivo???
 
Ukraine wamesema wanamobilize Mbu laki tatu. Ambao watasambazwa kwa kutumia drone thidi ya maadui. Mbu watakuwa na Uwezo wa kunyong'onyesha adui atakayeng'atwa na kumfanya aishiwe nguvu kwani ni Mbu waliobeba maradhi. Ukraine inaanza vita ya Kibailojia. Wanajeshi wamesha fundishwa na Tangazo kimetolewa
View attachment 2411089
....Watakuwa selective kwa Russians tu?
 
Ukraine wamesema wanamobilize Mbu laki tatu. Ambao watasambazwa kwa kutumia drone thidi ya maadui. Mbu watakuwa na Uwezo wa kunyong'onyesha adui atakayeng'atwa na kumfanya aishiwe nguvu kwani ni Mbu waliobeba maradhi. Ukraine inaanza vita ya Kibailojia. Wanajeshi wamesha fundishwa na Tangazo kimetolewa
View attachment 2411089
Sijaelewa hao mbu watapewa maradhi maalumu ya kumyong'onyesha adui au ni mbu tu hawahawa?na je kwa sheria za kimataifa inaruhusiwa?
 
Sijaelewa hao mbu watapewa maradhi maalumu ya kumyong'onyesha adui au ni mbu tu hawahawa?na je kwa sheria za kimataifa inaruhusiwa?
Hawa ni Mbu wametengenezwa maabara. Mbu, nyuki, Popo na ndege wadogo wadogo, wote wametengenezwa maabara. Wamefundishwa mambo mengi ya kivita. Mimi sijawahi shuhudia Mbu wa kutumwa wakiwa frontline. Tusubiri tuone..
 
Kwisha sisi Tena hayo maumbu yafike Afrika!💀Kuna mengine ya aina yako Nakuru Kenya sehemu flani,yakikushambulia yanaacha mayai baada ya siku moja unaanza kutokeza minyongororo yanatambaa kwa ngozi unaliwa hai Kama cancer🙈sijui ilikuwa experiment ya hao mabeberu??waaah dunia hatari!!!
 
Hawa ni Mbu wametengenezwa maabara. Mbu, nyuki, Popo na ndege wadogo wadogo, wote wametengenezwa maabara. Wamefundishwa mambo mengi ya kivita. Mimi sijawahi shuhudia Mbu wa kutumwa wakiwa frontline. Tusubiri tuone..
Ok, asante
 
Back
Top Bottom