Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kingine kinachowaumiza Warusi ni ukosefu wa vifaa vya kujikinga na baridi kali. Morali yao inashuka kila siku.

Nimesoma mahali, imesemwa kuwa mkuu wa vikosi vya Wagner anafikiria kuwachukua hadi wafungwa wa kike nao wakapigane msitari wa mbele. Anataka wakawe manesi, snipers na saboteurs
Mkuu, Ngoja wapelekwe huko halafu vijana wa Ukraine wawatolee usongo.
 
Supa-pawa hawezi kufikia hali hii
OOhooO!!? Toka huko porini we nanihii; huyo Supa poa unayemwita "supa-pawa" Ndo keshafikia hapo unaambiwa sasa. Usupapawa mbona alishautema kitambo siku nyingi.? Sikuizi huyo kwisha habari yake, anajua tu kutimua vumbi(mbio). Vijana wa Ukraine weshamtoa upepo.
 
Labda kama wanataka kuwatoa sadaka hao wafungwa wa kike. Hali ni tete sana Svatove, Kreminna na Bakhmut. Kwa news za leo na jana ambazo zime trend sana. Kuna heavy fighting, Russia wametega mabomu (mines) mengi sana na kufanya Ukraine forces wa advance taratibu.

Russia wanazidi kupeleka troops zaidi pamoja na kwamba wanauawa askari wengi (they are suffering loss) na majeruhi wengi. Wameamua kufa kiume kutetea hiyo miji mitatu. Maana wakifurushwa svatove na Kreminna. Miji ya Rubizhne, Severodonetsk na Lysychansk zitakombolewa kiulaini kwa kuwa Northwest supply route ya Russia itakuwa imekatwa kabisa.
Kama hali iliyopo ni tete kihivyo basi Mrussi akili zake zitakuwa zipo kule kwenye lile tundu la kutolea taka mwili. Hao wafungwa wa kike watakuwa weaker than wale waliokusanywa kutoka mitaani(Mobilised) ukizingatia jinsia yao na huko jela wanakotokea (afya zao zitakuwa duni) na bado hawana mafunzo ya kijeshi au ya Unesi. Huko ni kuwatoa kafara kwa kweli.
 
Licha ya kumobilize watu wengi wakapigane, Urusi inajikuta kwenye wakati mgumu kwa sababu
1. Hali yao ya kiuchumi imeanza kuyumba, hii ni baada ya nchi za west kukubaliana kuwa watanunua mafuta ya Urusi kwa bei watakayoipanga wao, hawatazidisha hata kama kuna shida kiasi gani ya mafuta. Hali hii imesababisha Urusi ikose mapato ya kutosha.

2. Silaha za Ukraine ni precision, yaani zikitumwa zipige sehemu zinapigw palepale, tofauti na mrusi ambaye makombora yake uoiacha yale machache ambayo ni guided , hana efficiency ya kutosha kwenye kupiga target.
2. Silaha za Ukraine ni precision, yaani zikitumwa zipige sehemu zinapigw palepale, tofauti na mrusi ambaye makombora yake uoiacha yale machache ambayo ni guided , hana efficiency ya kutosha kwenye kupiga target.
Hii nimeipenda. Mrussi hutupa makombora yake kwa mtindo wa kusia(Broadcast)i.e anabahatisha-bahatisha tu. Hutupa makombora mengi kwenye eneo kwa wakati mmoja ili walau kombora mojawapo libahatike kupiga target. Matokeo yake ni matumizi mabovu ya makombora jambo ambalo sasa limemsababishia kuishiwa silaha yeye na mamluki (Wagner) wake.
 
2. Silaha za Ukraine ni precision, yaani zikitumwa zipige sehemu zinapigw palepale, tofauti na mrusi ambaye makombora yake uoiacha yale machache ambayo ni guided , hana efficiency ya kutosha kwenye kupiga target.
Hii nimeipenda. Mrussi hutupa makombora yake kwa mtindo wa kusia(Broadcast)i.e anabahatisha-bahatisha tu. Hutupa makombora mengi kwenye eneo kwa wakati mmoja ili walau kombora mojawapo libahatike kupiga target. Matokeo yake ni matumizi mabovu ya makombora jambo ambalo sasa limemsababishia kuishiwa silaha yeye na mamluki (Wagner) wake.
Tusubiri huenda mwakani tukashuhudia mazungumzo ya kutafuta suluhu.
 
Kwenye mazungumzo,Ukraine atakuwa kwenye position nzuri zaidi kuliko kama mazungumzo yangefanyika kipindi kile majeshi ya Urusi yapo ktk viunga vya Kiev.
Kama atafanikiwa kurudisha maeneo mengi yaliyokwishatekwa huenda akawa na 'upper hand' ila kwa Sasa bado mapema.
 
Tusubiri huenda mwakani tukashuhudia mazungumzo ya kutafuta suluhu.
Naam; kama ikitokea hivo, basi Ukraine atakwenda kwenye meza ya mazungumzo akiwa kifua mbele kwani Mrussi hatoweza au hatathubutu kumnyanyapaa au Kumwona ni duni na Mrussi ataongea kwa heshima na adabu mbele ya Ukraine kwani sasa Mrussi anajua kitakachompata zaidi endapo ataonesha ujeuri wowote ule.
 
Back
Top Bottom