Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20221230_133310.jpg
20221230_133300.jpg
20221230_133247.jpg
20221230_133237.jpg
20221230_133225.jpg
20221230_133219.jpg
20221230_132924.jpg
20221230_133222.jpg
 
Darasa analopewa hapo na Ukraine linamtosha - amejua kwamba alikuwa hajui.
Mtu mzima hukubali jambo kwa ishara ukimbana.

Putin anashindwa kusema tu lakini matendo yake kwa Siku za hivi karibuni ni kwamba anakiri alikosea kutoa amri ya kuivamia Ukraine.

Kilichobaki ni kule kujitutumua kuwa ana uwezo wa kuikoromea U.S na NATO lakini kashajua kina ni kirefu hawezi kuogelea.
 
Putin hatothubutu tena kuvamiavamia majirani hovyo
Sasa hivi hata vi nchi vidogo kama Estonia au Latvia hawezi kuvamia au kuvikoromea.

Ataendelea tu na nchi ambazo ni makoloni yake kama Belarus, Armenia na vile vi nchi sita (6) vinavyoishia na "...stan" au "...jan"
 
Naomba sifa ya ATACMS
MGM-140 Army Tactical Missile System (ATACMS) is a surface-to-surface missile. Makombora ya Masafa mrefu. Yakifika, Urusi wataanza kuondoka wenyewe. Makombora haya yapiga shabaha kwa usahihi umbali wa km 300. Pia inaweza kutumika kwenye M270 Multiple Launch Rocket System (MLRS) na HIMARS. Lina uzito wa kg 1,670.
p0ae7h1t.jpg
cn3xnewz.jpg
f2ntl69z.jpg
atacms_camera002_beauty001.jpg
atacms_camera001_beauty001.jpg
atacms_camera005_beauty001.jpg
 
MGM-140 Army Tactical Missile System (ATACMS) is a surface-to-surface missile. Makombora ya Masafa mrefu. Yakifika, Urusi wataanza kuondoka wenyewe. Makombora haya yapiga shabaha kwa usahihi umbali wa km 300. Pia inaweza kutumika kwenye M270 Multiple Launch Rocket System (MLRS) na HIMARS. Lina uzito wa kg 1,670.
View attachment 2463851View attachment 2463852View attachment 2463853View attachment 2463854View attachment 2463855View attachment 2463856
Duh! Zaidi ya Uzito wa metric Tani moja na nusu, likianguka mahali tu kishindo chake si ni balaa aisee. Ole ni kwa Mrussi ambaye ndio mlengwa.
Asante kwa ufafanuzi.
 
Ndo utakuwa mwisho wa hii Vita.
Amina kaka. Lau ikitokea hivyo tutamshukuru sana Mungu kwani hakuna vita nzuri hata siku moja;
Japo sina undugu na Ukraine, lakini najua thamani ya binadamu na huko wapo binadamu wenzangu kama mm. Haipendezi wakateseka kutokana na uamuzi wa mtu mmoja kuanzisha vita - kitu ambacho kingeliweza kuepukika. Inasikitisha na kuhuzunisha sana kunapokuwepo kwa vita isiyo na sababu za kimsingi. Eti sitaki jirani yangu awe rafiki na fulani. Ndicho anachadai Putin.
 
Amina kaka. Lau ikitokea hivyo tutamshukuru sana Mungu kwani hakuna vita nzuri hata siku moja;
Japo sina undugu na Ukraine, lakini najua thamani ya binadamu na huko wapo binadamu wenzangu kama mm. Haipendezi wakateseka kutokana na uamuzi wa mtu mmoja kuanzisha vita - kitu ambacho kingeliweza kuepukika. Inasikitisha na kuhuzunisha sana kunapokuwepo kwa vita isiyo na sababu za kimsingi. Eti sitaki jirani yangu awe rafiki na fulani. Ndicho anachadai Putin.
Uonevu tu. Hata Marekani wanapakana, mbona hamletei kibesi? Ukraine ina ardhi yenye rutuba, anaitamani sana. Kilimo kinakubali.. Ndo maana ni nchi ndogo ila inalisha Dunia kuanzia mafuta ya alizeti, ngano nadi viazi vya chips. Ina chuma pia tena cha pua
 
Back
Top Bottom