Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mnamkumbuka Igor Mangushev? Ni Mwanajeshi wa Kukodi. Ana kikundi chake cha jeshi alichounda huko Urusi kuja kupambana Ukraine. Kikundi chake kinaitwa ENOT ambacho kinalipwa na Putin hadi Vifaa wanapewa.

Mara ya mwisho alionekana jukwaani kashikilia Fuvu la mtu na kudai ni kichwa cha Askari wa Ukraine ambaye alimuua huko Azovstal Mariupol. Na yeye leo kapewa za kichwa. Japo kawahishwa Hospital, akipona atajifunza
View attachment 2506190View attachment 2506191View attachment 2506192
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Mafunzo ya kutumia Vifaru aina ya Challenger 2 yanaendelea huko UK
20230205_004201.jpg
20230205_004158.jpg
20230205_004155.jpg
 
Mashujaa wetu wanaopoteza maisha Frontline wakiwa wanatetea na kulinda Nchi ya Ukraine. Wanazikwa kwa heshima zote. Hatuwaachi msituni Waliwe na Kunguru. Wanajeshi wa Ukriane wana sababu ya kufa. Je Urusi kwanini wanakufa?

We will never forget and never forgive.
RiP 🕯️ Heroes forever ❤️
 
Róbert Magyar aka Mr. Jaga Jaga, ni Mwanajeshi wa kujitolea kutoka Hungary anayeishi Ukraine kwa sasa. Ni Kamanda wa Kikundi cha 45th Special Tactical Air Reconnaissance(Wapelelezi wa kikosi cha anga. Wanatumia Drones mara nyingi kuona adui alipo na idadi na Silaha zao zina nguvu gani). Wakishagundua ndo wanawapa taarifa wazee wa HIMARS na artillery battery Units wanafanya mashambulizibkutokana na Longitude na Latitude walizopewa. Huku yeye akiangalia kwa mbali. Wakikosea anawaambia. Akisema jaga jaga inamaana wamelega target

Ujumbe wake kwa dunia ni : Leo Wavamizi hawatalala.
 
Back
Top Bottom