Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Usihangaike na wajinga/wapumbavu

1. Hajui ung'eng'e hata hajaelewa kilichoelezwa kwenye sifa za series za Leopard 2. Kwa lugha rahisi unabishana na kilaza. Unapoteza muda wako tu.

2. Pro Russia wanawashwa washwa ndo maana wanakuja kwenye uzi kwa ligi. Daima mtu mjinga/mpumbavu huwa ni mbishi. Mtu mwelevu ni msikivu na hutumia muda mwingi kujifunza mambo kwa wengine.

3. Majority ya pro Russia ni vilaza na wajinga/wapumbavu, pia they are not informed about this war. Wanajazwa propaganda za kijinga wanazibeba.

4. Ukitaka kujua kuwa pro Russia ni wajinga/wapumbavu waambie wakupe ushahidi hawana. Ndiyo maana wamejaa matusi midomoni mwao na hiyo ndo huruka ya mtu mpumbavu. Huwa hawana hoja. Ndiyo maana kutwa nzima wanaimba ushoga ushoga. Sababu wameaminishwa eti Russia kaanzisha vita kupinga ushoga. It is to why I always say they are mentally retarded.

Hitimisho
1. Dawa ya mtu mjinga/mpumbavu ni kutobishana naye. Akianza kuwashwawashwa mnamchunia au ku mute. Watakuwa wanachungulia na kutoka maana uzi huu wanaupenda sana sababu ni uzi wa facts and evidence based. Siyo propaganda.

2. Kujibishana na pro Russia wajinga/wapumbavu ndani ya uzi huu ni kupoteza muda wako. Ukitaka kubishana nao nenda kwenye uzi wao uliojaa matusi. Hawana hoja ya kushawishi mtu bali wanalazimisha kumshawishi mtu kwa mambo ya propanda.
Huyu ndio anaesema pro Russia wana matusi ila yeye mstaarabu
 
Kwanza hadi ukutane nacho uso kwa uso ni kazi sana. Uko mlandizi chenyewe kinakupa shughuli huko huko!!

1. Hata kama awe nacho umbali wa mita 200 hakifanyi kitu. Kikipiga kifaru chake kinasambaratisha kabisa.

2. Kwa vyovyote vile Leopard 2, Bradley na tanks zingine ambazo zina firepower kubwa zikiingia frontline zinaanza kuwashugulikia vikiwa mbali

3. Hizo tank zinajilinda kwa mashambulizi ya ndege, ukileta ndege zako frontline kifaru kina uwezo wa kuishughulikia.
 
Yaani hawajui ni kwa nini Mrussi anatishia kutumia Nyukilia. Inawezekana Ukraine wameulizwa kama wamesikia jamaa walichosema, wakasema hivyo hivyo wapelekewe mzigo.

Matumizi ya nyukilia ni hatua ya mwisho kabisa kwenye vita, ila wao mapema tu wanakimbilia kusema watatumia Nyukilia kama Uingereza na Ujerumani watapeleka vifaa. Kama hawana hofu ni kwa nini wanasema kuwa watatumia Nyukilia?
Ukiona mtu anatishia kitu ujue uwezo huo hana. Ndiyo maana hata juzi Putin aliposema atajenga Kituo cha nyukiria Belarus wanaume wakasema mpaka sasa hawajaona hizo dalili ya nyukiria inayosemwa wala mpango wa Russia kutumia Nyukiria.

Mzee Biden alishamuonya Putin tangu mwanzo kwa maneno mawili tu. "Don't dare"
 
Ukiona mtu anatishia kitu ujue uwezo huo hana. Ndiyo maana hata juzi Putin aliposema atajenga Kituo cha nyukiria Belarus wanaume wakasema mpaka sasa hawajaona hizo dalili ya nyukiria inayosemwa wala mpango wa Russia kutumia Nyukiria.

Mzee Biden alishamuonya Putin tangu mwanzo kwa maneno mawili tu. "Don't dare"
Ni kweli Russia hawana mpango wa kutumia nyuklia

na kuhusu kujengwa kituo cha nyuklia beralus kauli hata mwezi haina west wana haha so vuta subira
 
Alishatumia kama mara nne. Kinzhal hypersonic missile zao sijsona ajabu zaidi ya kusema zina speed. Hazina range accurate. Haikawii kukata kona kurudi ilipotoka[emoji1787][emoji1787]
Miongoni mwa target zilizo fanikiwa

Nuclear energy operator Energoatom said the strike at the Zaporizhzhia plant had cut off the link between the facility and the Ukrainian power system

BBC
 
Duh! Pole yake Putin. Atakutwa na makorokoro yake anayojivunia na ktutishia eti ni nyuklia.
West ndio wana control na ku run Dunia.. kuanzia Politically, socially and economically ndio maana nchi ikiishiwa reserve ya pesa ya Dollar inakuwa imefilisika automatically lakini nchi haitakiwi kuwa na Rubble ya Russia sababu haina maana. USA na West wana nguvu kuanzia kwenye pesa yao.

Sitarajii kwa namna yeyote ile Russia kuwashinda mabavu West wakiamua full scale war kwa sasa ukizingatia zaidi ya nusu ya Professional army toka Russia imefyekwa na Ukraine pekee.
 
Mkuu nyuklia ilitumiwa hata na marekani kule japan
Na ndio ilimaliza vita ya pili ya Dunia na ndio iliifanya Dunia na huyo Mrusi wampigie magoti USA na kumtawaza kuwa Super Power.

But kwa sasa USA unadhani atakuwa ameadvance vipi kwenye hiyo nyanja ya manyuklia kama huko 1945 alikuwa nao mzigo wa heavy wa nuclear ilhali Dunia ilikuwa bado imesinzia?

USA Ana silaha ambazo Dunia bado haijashuhudia.

Asanteni
 
Hawa Warusi Vodka itawamaliza. Wamegongana daraja la Crimea 🤣🤣 gari tano aina ya 3-STS 'Akhmat hazina kazi
20230328_181249.jpg
20230328_181253.jpg
 
Na ndio ilimaliza vita ya pili ya Dunia na ndio iliifanya Dunia na huyo Mrusi wampigie magoti USA na kumtawaza kuwa Super Power.

But kwa sasa USA unadhani atakuwa ameadvance vipi kwenye hiyo nyanja ya manyuklia kama huko 1945 alikuwa nao mzigo wa heavy wa nuclear ilhali Dunia ilikuwa bado imesinzia?

USA Ana silaha ambazo Dunia bado haijashuhudia.

Asanteni
Hata Urusi anazo silaha ambazo dunia haijawahi shuhudia mkuu

Na kuhusu nyuklia nilimjibu anae sema kuhusu nyuklia kutumiwa na urusi
Thanks
 
Back
Top Bottom