kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Slava Ukraine [emoji1255]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Warusi wanajuta
View attachment 2569829
Slava Ukraine [emoji1255]Kazi nzuri ya The Joint Direct Attack Munition (JDAM)
View attachment 2570395
Slava Ukraine [emoji1255]Haya sasa, Leopard tank ishafika Frontline.. Imeanza kuwawinda Warusi
View attachment 2570405
Slava Ukraine [emoji1255]Huko Urusi Mkoani Sverdlosk watajua wenyewe. Vita haina macho.. Wanajiuliza inakuaje?
View attachment 2570422
Biden aliposema kuwa siyo Russia walimshukuru sana kitu ambacho siyo cha kawaida adui yako kukushukuru. 😂😂😂Hahaaa... Umenikumbusha November 2022 kuna Bomu lilitua Poland kwa bahati mbaya. Lile bomu lilikuwa la Ukraine, walikuwa wanatungua drones za Urusi, wakakosea target bomu likaenda moja kwa moja hadi Poland.
Zelensky kuwajambisha akasema Urusi wameanza kuishambulia Europe. Hiyo taarifa ilikanwa na Viongozi 12 wa Urusi kila mtu anasema sio wao.. Hahaaaa... Walijua ukishambulia Nchi yoyote ya NATO, wote wanaungana kukupiga. So Urusi walijua wamefanyiwa figisu. Walilialia sana
Putin analia lia kwamba anakabiliwa na vifaru vya ujerumani tena,utadhani wamemfuata nyumbani kwake,wakati wanasaidia kufukuza nyani waliovamia shamba la mahindi.Hapa ni Ukraine na hii ni Leopard tank 2A4
View attachment 2570431
Bwana@Ngoke amsikilize mwakyembe ili afanye maamuzi ya kuihama au kubaki kwenye nchi yake mwenyewe,haramu ni haramu na haki ni haki. Putini anataka kutumia hiyo njia kupata support ya ulimwengu.Ok,labda ikiwa Urusi hasapoti mpango huo, je hilo linatosha kumpa uhalali wa kuivamia Ukraine, kuua, kaharibu makaazi,...nk????
Kwanza unafurahisha kiasi chake yani kwanini isiwe tanzania ikawa na makampuni yake nje ili iwalipe wengine hua najiuliza tu kutoka nje kwa viwango vizuri na vya maana?Niambie kampuni yoyote ya kirusi iliyofanya kazi tanzania ikawalipa wafanyakazi wake vizuri wakawa na maendeleo,
Binafsi natumia sana kigezo hicho kupima uwezo na utu wa mtu.
Hata kwako nyumbani,huwezi kuniambia una uwezo mkubwa wakati house girl/boy wako ana mba kichwani.
Mkubwa kivip si mnasema ni super power wa mchongo gafla kawa mkubwa [emoji23][emoji23]Mkubwa akipigana na mdogo, na mdogo hata akiweza kufikisha saa nzima bado anapigana na mkubwa, basi mdogo anakuwa anashinda!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taarifa inasema Germany wamekubali kuwapa Ukraine hizo tanks. Wew unasema wametuma. Anyway Germany wamekubali kuwapa Ukraine tanks toka late January ila bado havijafika [emoji41]. 500km max range ni uwezo wa tank kutembea bila kujaza mafutaUjerumani imeshapeleka mzigo Ukraine na umepokelewa Jumatatu hiii. Ndiyo kifaru bora kwa sasa duniani.
Kilomita 500 ni kama Dar mpaka Karibu na Mwanga mkoani Kilimanjaro.
![]()
Chanzo Aljazeera!!
Vimefika. Pia Hispania imetuma Leopard 2 idadi ni 6. Vipo Ukraine. Pia na ureno imeleta mzigo wa Leopards[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taarifa inasema Germany wamekubali kuwapa Ukraine hizo tanks. Wew unasema wametuma. Anyway Germany wamekubali kuwapa Ukraine tanks toka late January ila bado havijafika [emoji41]. 500km max range ni uwezo wa tank kutembea bila kujaza mafuta
Wameamua sasa wapeleke mikokoteni frontline. 😂😂😂 Kazi ipoWatch Rusia's 'advanced' technologies in Bakhmut, Donetsk, Donbass
View attachment 2571106
Fanfa mfafanulie huyu maana ya "500Km Range" maana yake ni nini? Yeye anasema ni uwezo wa kifaru kutembea kilomita 500 bila ya kujaza mafuta.500km max range ni uwezo wa tank kutembea bila kujaza mafuta