Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukraine imekataa ku retreat lakini ukweli Bakhmut inachukuliwa na Russia.

1. Offensive iliyofanywa na Wagner/Russia tarehe 5-8/04/2023 imefanya Robo tatu ya Bakhmut kuwa chini ya Wagner/Russia. Bado narudia kusema kuwa, kwa Bakhmut Ukraine imezidiwa mbinu za kijeshi na kwamba Bakhmut inachukuliwa soon na Russia.

2. Nimesema mara nyingi kuwa wagner/russia kwa direction ya Bakhmut si wa kubezwa kwa propaganda. They are real fighting to take Bakhmut at any cost. Kwa sasa sina shaka kabisa Bakhmut inachukuliwa soon.

3. Kuchukuliwa kwa Bakhmut kutai cost Ukraine na kuwavunja moyo wa-ukraine na wapiganaji. Kama mimi inaniuma kiasi hicho kwa wapiganaji na wa-ukraine wanapata maumivu kiasi gani kwa kuipoteza Bakhmut.

4. Bado nawalaumu USA & allies kwa kutusaidia kimafungu mafungu badala ya kutupa silaha kwa wakati unaotakiwa. Najua lengo lao ni kurefusha vita lakini wana waumiza waukraine.

Bakhmut ni sehemu ambayo warusi waliamua kuconcentrate fire power yao. Badala ya kuitawanya power kama walivyofanya mwanzoni, sasa wanaconcentrate power sehemu moja wanadeal nayo kisha wanasonga kwingine.
Hii ina faida na hasara zake. Faida ni kuwa unakuwa na chance ya breakthrough kwa kuweka relentless pressure. Hasara ni kuwa unapoteza watu wengi sana.

Mbinu ya vita ya wagner, ya hybrid warfare kati ya guerilla na conventional ni mbinu ngumu sana kuidefend, maana inaprovide stream ya wapiganaji wanaokuja kimafungu bila kuisha, at the same time wanakusanya taarifa za positions zenu na kuzirusha kwa watu wa mizinga.

Lakini kingine kinachowasaidia wagner ni kuwa Wanapigana kwa ajili ya Uhuru wao binafsi, yaani mtu anapigana ili miezi sita iishe awe huru kurudi uraiani badala ya kuozea jela. Hii component ya kununua Uhuru kwa kuvuja jasho vitani ni muhimu sana. Tofauti na askari wa jeshi rasmi la Urusi, hawa hawana cha kupigania zaidi ya kulinda roho zao tu.

Ukraine inahitaji Intelijensia kali, kubaini control na command centees za wagner na kuziharibu.

Ukraine Inahitaji kuwa on offensive kuwafuata waliko, siyo kuwasubiri waje.

Ukraine imsake Prigozhin kwa udi na uvumba, ikimdedisha huyu, itakuwa imefanikiwa kuondoa kiungo muhimu sana cha wagner
 
Bakhmut ni sehemu ambayo warusi waliamua kuconcentrate fire power yao. Badala ya kuitawanya power kama walivyofanya mwanzoni, sasa wanaconcentrate power sehemu moja wanadeal nayo kisha wanasonga kwingine.
Hii ina faida na hasara zake. Faida ni kuwa unakuwa na chance ya breakthrough kwa kuweka relentless pressure. Hasara ni kuwa unapoteza watu wengi sana.

Mbinu ya vita ya wagner, ya hybrid warfare kati ya guerilla na conventional ni mbinu ngumu sana kuidefend, maana inaprovide stream ya wapiganaji wanaokuja kimafungu bila kuisha, at the same time wanakusanya taarifa za positions zenu na kuzirusha kwa watu wa mizinga.

Lakini kingine kinachowasaidia wagner ni kuwa Wanapigana kwa ajili ya Uhuru wao binafsi, yaani mtu anapigana ili miezi sita iishe awe huru kurudi uraiani badala ya kuozea jela. Hii component ya kununua Uhuru kwa kuvuja jasho vitani ni muhimu sana. Tofauti na askari wa jeshi rasmi la Urusi, hawa hawana cha kupigania zaidi ya kulinda roho zao tu.

Ukraine inahitaji Intelijensia kali, kubaini control na command centees za wagner na kuziharibu.

Ukraine Inahitaji kuwa on offensive kuwafuata waliko, siyo kuwasubiri waje.

Ukraine imsake Prigozhin kwa udi na uvumba, ikimdedisha huyu, itakuwa imefanikiwa kuondoa kiungo muhimu sana cha wagner
Siyo Bakhmut pekee ambako Ukraine imezidiwa ki mbinu za kivita

1. Direction ya Svatove Ukraine ilipata mafanikio makubwa sana kabla ya msimu wa baridi na kubakiza kilometres ambazo hazizidi 12 kuingia mji Svatove. Mpaka sasa majeshi ya Ukraine yamerudishwa nyuma na maeneo mengi yamekombolewa.

2. Direction ya Kreminna, ukraine ilipata mafanikio makubwa kiasi kwamba ilitaka kuizunguka Kreminna kabla ya msimu wa baridi. Russia wamefanikiwa kuyarudisha mbali majeshi ya ukraine na kukomboa maeneo mengi. Hapa nako kimbinu za kijeshi wameizidi Ukraine.

3. Direction ya Lysychans'k Ukraine ilipata mafanikio makubwa na kuikaribia katika mji wa Lysychans'k, lakini warusi wamefanikiwa kuyarudisha nyuma majeshi ya Ukraine na kukomboa maeneo mengi.

4. Direction ya Bakhmut Ukraine ilipata mafanikio makubwa sana. Direction hii imekuwa worse kwa sababu Russia wamekomboa maeneo mengi sana. Japo wameyakomboa kwa kupoteza wanajeshi wengi lakini wamechukua eneo kubwa sana kuliko direction zingine. Direction hii ndo imeumiza wa-Ukraine kwa sababu hakuna aliyetarajia kuwa Soledar na Bakhmut zitachukuliwa. Soledar na Bakhmut ni millitary strategic city kwa lugha rahisi ni Millitary Hub. Kuchukuliwa Bakhmut ni pigo kubwa sana na kunatoa picha kuwa kuwatoa Russia Donetsk kunahitaji nguvu ya ziada na kwa maumivu makubwa.

5. Kwa kifupi Russia/wagner si wa kubeza kwa propaganda maana umahiri wao wa kupigana umeonekana, japo hauendani na super power tuliyehubiliwa miaka nenda rudi kuwa ukimgusa tu huchukui round.

6. Super power wa makaratasi na propaganda anabebwa na Wagner (Private company). Nje ya hapo ni mwepesi kama karatasi. Kwa vifaa vya kivita Russia ni wa kawaida sana. Ki mbinu za kivita pia ni mwepesi sana. Bila uwepo wa Wagner Russia angekuwa ameshafurushwa Ukraine.

7. Wagner wameithibitishia dunia kuwa wako vizuri katika mbinu za kivita. Pamoja na kwamba wamepukutishwa wengi lakini waliouawa wengi siyo wale wagner wazoefu ni wanajeshi wa Russia waliokuwa wanaswagwa kama kondoo wanapelekwa machinjioni.

8. Ukraine inahitaji kuja na strategy nzuri ili kukomboa maeneo yote. Kuletewa vifaa vizuri ni kitu kimoja. Bila kuwa na mikakati na mbinu nzuri unaweza ukajikuta counter offensive yako isifanikiwe.

9. Kuchelewa kwa vifaa kutaendelea kuiumiza Ukraine na kutoikomboa Ukraine kwa muda wanaotaka. Vita itaisha tu pale malengo ya USA, German na NATO yatakapofikiwa. Vita hii haiishi mwaka huu wala mwaka kesho.
 
Hawa ni 3rd Separate Assault Brigade zamani walikuwa wanafahamika kama SOF AZOV-Kyiv. Wanaongeza nguvu Bakhmut
20230410_131018.jpg
 
Ukraine imekataa ku retreat lakini ukweli Bakhmut inachukuliwa na Russia.

1. Offensive iliyofanywa na Wagner/Russia tarehe 5-8/04/2023 imefanya Robo tatu ya Bakhmut kuwa chini ya Wagner/Russia. Bado narudia kusema kuwa, kwa Bakhmut Ukraine imezidiwa mbinu za kijeshi na kwamba Bakhmut inachukuliwa soon na Russia.

2. Nimesema mara nyingi kuwa wagner/russia kwa direction ya Bakhmut si wa kubezwa kwa propaganda. They are real fighting to take Bakhmut at any cost. Kwa sasa sina shaka kabisa Bakhmut inachukuliwa soon.

3. Kuchukuliwa kwa Bakhmut kutai cost Ukraine na kuwavunja moyo wa-ukraine na wapiganaji. Kama mimi inaniuma kiasi hicho kwa wapiganaji na wa-ukraine wanapata maumivu kiasi gani kwa kuipoteza Bakhmut.

4. Bado nawalaumu USA & allies kwa kutusaidia kimafungu mafungu badala ya kutupa silaha kwa wakati unaotakiwa. Najua lengo lao ni kurefusha vita lakini wana waumiza waukraine.
Mimi naona wewe haikuumi,wewe ni mrusi kwa mgongo wa ukraine lakini kumbuka dhuruma haijawahi kushinda haki mahali popote,wagner hata kama wangefanya vizuri vipi,haiondoi ukweli kwamba wameivamia ukraine na wataitwa majambazi milele.
 
Mimi naona wewe haikuumi,wewe ni mrusi kwa mgongo wa ukraine lakini kumbuka dhuruma haijawahi kushinda haki mahali popote,wagner hata kama wangefanya vizuri vipi,haiondoi ukweli kwamba wameivamia urusi na wataitwa majambazi milele.
... jamaa kamwaga facts, wewe umekuja kimahaba zaidi. No matter ukweli ni mchungu kiasi gani ni bora usemwe kama ulivyo no matter unaumiza kwa kiwango gani. Tofauti ya madhalimu na wenye haki ndio hiyo.
 
Mimi naona wewe haikuumi,wewe ni mrusi kwa mgongo wa ukraine lakini kumbuka dhuruma haijawahi kushinda haki mahali popote,wagner hata kama wangefanya vizuri vipi,haiondoi ukweli kwamba wameivamia urusi na wataitwa majambazi milele.
"haiondoi ukweli kwamba wameivamia urusi ?? na wataitwa majambazi milele."
Hii hapo penye "bolded type" imekaaje mkuu?
 
Mimi naona wewe haikuumi,wewe ni mrusi kwa mgongo wa ukraine lakini kumbuka dhuruma haijawahi kushinda haki mahali popote,wagner hata kama wangefanya vizuri vipi,haiondoi ukweli kwamba wameivamia urusi na wataitwa majambazi milele.
So what ?
Ni mtu mjinga tu ndo anaweza ku argue ki- Layman kwa kiwango hicho. Mtu mwelevu hujibu hoja siyo porojo.

Kwa hiyo wewe ni m-Ukraine. This is ridiculous!!!

Your too low to argue with me.
 
... jamaa kamwaga facts, wewe umekuja kimahaba zaidi. No matter ukweli ni mchungu kiasi gani ni bora usemwe kama ulivyo no matter unaumiza kwa kiwango gani. Tofauti ya madhalimu na wenye haki ndio hiyo.
Facts zake kila siku ni hizo mji umechukuliwa mwezi wa pili huu. Huyo ni mrusi
 
Mimi naona wewe haikuumi,wewe ni mrusi kwa mgongo wa ukraine lakini kumbuka dhuruma haijawahi kushinda haki mahali popote,wagner hata kama wangefanya vizuri vipi,haiondoi ukweli kwamba wameivamia urusi na wataitwa majambazi milele.
Huyu Mimi nilishamsoma siku nyingi sana, Mara nyingi habari anazoposti ni za kitata fulani hivi, ni Mrusi pure.@fanfa
 
... jamaa kamwaga facts, wewe umekuja kimahaba zaidi. No matter ukweli ni mchungu kiasi gani ni bora usemwe kama ulivyo no matter unaumiza kwa kiwango gani. Tofauti ya madhalimu na wenye haki ndio hiyo.
Unajua maana ya ukweli?
Kama unajua maana ya ukweli,basi na mimi nimesema ukweli kwamba urusi kavamia ukraine,anaua watu wasio na hatia na kuiba mali za watu.
Mbona huwa hatuwapongezi majambazi kwa kupiga watu risasi ,kuwaua na kuwaibia pesa zao na kuondoka bila kukamatwa na polisi? Ukisifia tukio hilo la ujambazi kwamba jamaa wamafanikiwa, bila kupepesa macho na wewe tunakuita JAMBAZI.
 
So what ?
Ni mtu mjinga tu ndo anaweza ku argue ki- Layman kwa kiwango hicho. Mtu mwelevu hujibu hoja siyo porojo.

Kwa hiyo wewe ni m-Ukraine. This is ridiculous!!!

Your too low to argue with me.
Sasa mbona unajichanganya??
Nilidhani pale mwishoni ungeandika kirusi kumbe bado unaandika kiingereza!!!
Hivi huna habari kwamba mwingereza anamsuport ukraine?
Nimeishaelewa darasa ulilosoma,kwa mantiki hiyo nafunga mjadala na wewe.
 
Back
Top Bottom