figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #13,041
Majeshi ya Ukraine yakisafisha mahandaki ambapo Urusi Wamejificha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee'huuuu.Kufa ni mipango ya Mungu sio Matakwa ya binadamu. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kutupa uhai na kuiona leo. Kila binadamu ana misukosuko. Mrusi anapigwa balaa. Soon tutakuwa active.
Nipo gado na updates za kuwaeleza jinsi Urusi anakung'utwa zinaendelea.
Mwezi wa kumi sasa Urusi anapambana kuiteka Bakhumut lakini anatoa kamasi tu.
Dah! Hicho kweli ni kitimtim. Mrusi bado ameng'ang'ana?? Bado Hajakumbuka kurudi kwao Urusi. Ngoja aendelee kunyeshewa. 💪 🔨💉Angalia Urusi wanavyo pelekewa moto. Haponi mtu🤣🤣
View attachment 2602601