Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

mkuu nilikosea hapo juu samahani samsung mpya hakuna 42, kuna 40 na 43,......40" 800000, .... 43" ni 900000.......lg zipo 42" ni 850000 na 43" ni 900000
abdul pole na kazi usichoke kwa maswali yetu...
naomba specification za hio lg43''
 
Mimi ninahitaji antena ya nje(kubwa) ya Star times na cable yake nipo Arusha mjini.
Mawasiliano:0713260027
 
wakuu kwa sasa tuna wawakilishi wetu dar na tanga hivyo unaweza kupata tv yako bila ya waswas wowote walio maeneo hayo, karribuni mujinunulie flat screen kwa bei nafuu kabisa, lg, samsung, hisense, tcl nanyengunezo, contact 0718919725, 0777650286, tupo mtendeni zanzibar
Mkuu hao wawakilishi wenu wa Tanga wapo maeneo gani? au mawasiliano yao? Pia kwa Tanga zinapatikana kwa bei sawa na Zanzibar ama?
 
Back
Top Bottom