Itakuwa tu ileile ya Fidel castro tunakomaa lakini tunaumia. Putin katishia hivi vikwazo vikiendelea anaachia nyuklia. Kusema ukweli jamaa anaumiawaliliona lkn ,imewabidi wakajipendekeza kwa maadui zao Iran,Syria ,Saudi Arabia ,maana hao hao malekani waliwawekeaga vikwazo vya kiuchumi,Sasa huu ndo muda wa hawa jamaa nao kupiga double standard [emoji1],hata hivyo haitatosha ,kum supless Russia kwenye volume ya mafuta aliyokuwa aki supply duniani.tushudie mafuta kupanda Bei zaidi !!
Na wanajipanga kuacha utegemeziNa ndio mana Biden kasema hivi
Biden understands that allies in Europe will not be able to join this ban;
wangekuwa wanaangalia wasingekuwa wanatapatapa hovyo sasahivi hasa macron na scholz kila cku wanaenda kupatanisha mzozo wa urusi-ukraine...wangekuwa na plan b wangekuwa wameshatulia makwao wanafanya mambo mengine...mzee baba ndugu zako walikurupukaJamaa anazan watu wanaamka ndoton na kusema tu Ban bila ya kuangalia mbele
Utegemee kutumia S 300 against aliyeitengeneza?Nilishasema na narudia tena,hayo ma s 300 and the likes ni matakataka yasiyo maana.
Hupo mkuu? Tangu jenerali Sulaiman aliwe kichwa uliiingia mitiniMkuu mapipa milion 60 ya mafuta yatasaidia basi mkuu?
Tujiandae kuishi maisha magumu tu hakuna namna.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
venezuela na iran hawajakubali bado kuuza mafuta weka source hapa tuoneMbambe ni mbambe tu, hawana namna ya kukataa, hadi venezuela amekubali naye, kwa hili likitekelezwa ipasavyo Putin atakuwa amepata pigo kubwa sana, japo na yeye amesema ikipigwa ban kwenye mafuta na yeye anazuia gesi kwa nchi za ulaya!!
Ndio najua .katka hawa donor wa mafuta,sio wote watamkubalia US.anyway si amesaini decree Leo ya zuio la kununua nishati kutoka Russia,picha halisi tutaiona baada ya wk 2 au 3.ma string sijui kajipangaje kwa haya yanayokuja kwenye wizara yake hapa tzMrusi ndo itamuumiza zaidi kwa sababu sio mrusi pekee anayezalisha mafuta,so nchi zingine zitafaidika zaidi pia kuuza...
jamaa kachafukwa kiukweli ,yaani ukweli ni kwamba Putin hayuko tayari kuona Russia yake inadidimizwa kinamna yeyote ile .Sasa sijui ata backup vipi hii impact ya zuio la bidhaa yake ya nishati.na naskia amehamisha makumi ya midege yake ya Vita ,ameipeleka Sudan imepaki pale na bado anaihamisha na midege mingine kuipeleka hukohuko Sudan ,huyu jamaa sijui ana plan gani aise .ila yy anadai ameipeleka Sudan ili kukabiliana kwa dharula yeyote itakayojitokezaItakuwa tu ileile ya Fidel castro tunakomaa lakini tunaumia. Putin katishia hivi vikwazo vikiendelea anaachia nyuklia. Kusema ukweli jamaa anaumia
Sijajua hata huku jamii forum, Kuna watu wenye upeo mdogo hivi.Ni kosa kubwa sana kuiita Iskander kuwa ni short range air defence system hakuna mtu anaweza kukuelewa katika hilo. At least unaweza kuchanganya kama mimi ukaiita Patsir ni short range badala ya medium range.
Iskander tactical ballistic missile ni la kupiga military installations kama airbases na linaweza wekewa nuclear warhead. Pantsir ni ya kulinda anga dhidi ya ndege, drones na missiles. Hii ni tofauti kubwa mno
Nilishaweka rudia post za nyumaNilitegemea ukanushe kwa kuweka "ukweli" wako lakini ukiishia tu kusema huu ni uwongo na hauweki huo ukweli wako binafsi nitaendelea kumwamini T14 Armata walau yeye katufafanulia.
Hizi story huwa mnatoa kijiwe gani?BREAKING NEWS
Majeshi ya Ukraine yameuteka mfumo wa ulinzi wa anga wa Pantsir-S1 System baada ya Mapigano Makali kwenye mji wa bandari wa Kherson.View attachment 2143625
We jamaa unajua hadi mipango ya miezi ijayo. Kwamba wao IRAN, na VENEZUELA hawajui kuwa watakuwa wanatumika katika huo mgogoro?.Hataweza kiuchumi.
Next week Iran na Venezuela wanaondolewa vikwazo vya kiuchumi na kuanza kuuza mafuta kwenye nchi za Ulaya.
Kama Iran watakubali basi Vikwazo vya Nishati kwa Urusi vitakuwa vikali kabisa,lakini kama wakikataa basi ni wazi Ulaya hawana mbadala wa mafuta ya Urusi kwa mda huu. Ndio maana wanaharakisha kuondoa vikwazo kwa Iran na Venezuela.
Kama Iran na Venezuela watakubali basi watakuwa wameisariti Urusi ambayo ilikuwa nao bega kwa bega pindi walipobanwa na vikwazo.
Hakuna kitu kama hicho Venezuela aliwekewa vikwazo na marekaniDeal likitiki Maduro ataula kuna uwezekano Venezuela akalamba kila mwezi zaidi ya dollar za kimarekani billion 5 hata na zaidi kama mrusi atawafungia ulaya Bomba la mafuta na gesi na vita ya Yukrein kuendelea. Kwasababu kuna uwezekano pipa moja la mafuta likafika dollars 300.
Enzi hizo za Hugo Chavez kabla ya vikwazo Venezuela hela ilkuwepo siyo mchezo hadi Chavez aliipa Haiti msaada wa dollars za kimarekani billion 2 nakuwasemehe wasilipe. Mungu amrehemu Hugo Chavez.
Colombia na Venezuela ni mahasimu na watani wa jadi ilivyo Kenya na Tanzania. Wakati wa neema kipindi cha Hugo Chávez wavenezuela walikuwa wanawacheka sana wacolombia kwasababu ya vita na hali ya kiuchumi nchini kwao. Baadaye Colombia ikatulia na uchumi kuimarika. Vikwazo vilipoanza Venezuela na uchumi kushuka wacolombia wakaanza kuwacheka Venezuela.
Sasa wanvenezuela watawaambia soon we'll be back.
IRAN hana mpango wakutengenza nyuklia na aliishalisema hili wewe ninani mpaka umlishie ama uwalishie manenohuo mkataba hatujui vipengele na mashariti yake yapo vipi ila fikra zangu zinaniambia kabisa kutokana nahali inavyoendelea sasa kule ukraine kama unalosema litatokea basi nauhakika 80% mkataba huo utakuwa in favour of iran nautakuwa nimkataba mbovu kwa marekani kusaini kuliko ule trump alioupiga chini nabila shaka utakuja kuleta balaa baadae sababu iran anadhamira za wazi kabisa zakutengeneza silaha za nyuklia toka kitambo na hata marekani analijua hilo ...tusiongee sana wakati hatujui nikipi kitakuwa kwenye mkataba huo ngoja tusubiri
Putin ataumia kiutu uzima atagugumia jdani kwa ndaniItakuwa tu ileile ya Fidel castro tunakomaa lakini tunaumia. Putin katishia hivi vikwazo vikiendelea anaachia nyuklia. Kusema ukweli jamaa anaumia