LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ndoto nyingine ni operation maalum ya saa 72 kuwaondoa wanazimamboleo 🏃 🏃 🏃 🏃
 
Mkuu yule wa kwanza si kaisha ondoka madarakani au kuna mwingine?
Huyu wa sasa ndio kichaa anampeleka puta sana.
Lile genge la akina Joe Biden na NATO lao jambo ni moja - kujifanya wanaisaidia Ukreni kuidhoofisha Russia, huku wao wakitafuta mwanya wa kuichuna rasilimali zake.

Trump na swahiba wake Putin nao wana lao jambo - kuidhibiti Ukraine na NATO ili wamgawane jamaa na rasilimali zake.

Kwa hiyo kimsingi kila anayejifanya kuitetea Ukreni, anafanya hivyo kwa sababu tayari pua yake imenusa utajiri wa nchi hiyo.
 
Kipanya naona umeandika kwa hisia kabisa,, pole sana, afu naona unaandika leo comment zako kwa hisia zako kabisa,, sio kama siku za nyuma kukopi na kupest habari kwenye vyanzo uchwara na kutupostia humu,, leo hata kile kiposta chako cha wamekufa wangapi urusi ujatupostia.
 
Mkuu, mwacheni tu huyu jamaa asee. NATO hawajamlipa hela yake ya posho tangu Novemba mwaka jana, wakati tayari kafanikiwa kuwachinja askari kibao wa Urusi.
 
🇩🇪 Diplomacy fails when negotiating partners are humiliated in front of the whole world, German President Frank-Walter Steinmeier harshly criticized US President Donald Trump

➡️"The scene in the White House took my breath away. I would never have thought that we would ever have to defend Ukraine from the United States," Steinmeier said in an interview with the German news agency dpa.

➡️"We must not allow Ukraine to have to accept submission," Steinmeier added.

➡️He also expressed his belief that Germany, after holding snap elections a week ago, "urgently needs a strong government" to overcome the crisis.
 
Up to 150 Ukrainian militants eliminated in Russian strike on testing ground
Russian forces used an Iskander missile system, the Russian Defense Ministry said
MOSCOW, March 1. /TASS/. Russian forces, using an Iskander missile system, have carried out a strike on a testing ground of the Ukrainian armed forces in the Dnepropetrovsk Region, eliminating up to 150 militants, including up to 30 foreign instructors, the Russian Defense Ministry said.

"The crew of an Iskander-M missile system has delivered a strike on the Novomoskovsky military testing ground in the Dnepropetrovsk Region where servicemen from the Ukrainian 157th mechanized brigade were being trained. As a result of the strike, up to 150 Ukrainian nationalists, including up to 30 foreign instructors, were eliminated," the ministry said.
 
1 Mar,
Trump wants to stop ‘meat grinder, ’ Zelensky needs money to continue — Musk

WASHINGTON, March 1. /TASS/. US President Donald Trump during a meeting with Vladimir Zelensky in the White House insisted on halting the Ukraine conflict while Zelensky wanted money for it to continue, American entrepreneur Elon Musk who is in charge of the US Department of Government Efficiency (DOGE) said.

"Trump pushed for a ceasefire that would have stopped the meat grinder. Zelensky wanted it to continue with the money," he said in a commentary on the X social network.

On February 28, Zelensky arrived at the White House for a meeting with Trump. Their televised exchange, with reporters present, unraveled into a shouting match, with Trump scolding Zelensky for being disrespectful to the US, and Vice President JD Vance noting that Zelensky had not ever said a "thank you" for all the support provided to Kiev. A news conference scheduled to follow the meeting was canceled, and Trump posted a statement on the Truth Social media platform saying that Zelensky was disrespectful and not ready for peace.
 
Halafu kuna wapuuzi wanamsifu huyo comedian wakimuona ni shujaa eti kwa kile alichokifanya...

Yaan unaomba msaada halafu unanipangia mimi nikusaidie vipi na hauna mpango wowote wa mimi kunufaika kivyovyote vile baada ya kukusaidia wewe? Ni raisi kichaa tu ambaye hana huruma na kodi za raia wake ndio atatoa misaada ya aina hiyo.
 
Zelensky’s presidency is over – Scott Ritter

The White House meeting with Donald Trump was “a setup” to discredit and remove the Ukrainian leader, the former US Marine Corps intelligence officer has told RT

Ukrainian leader Vladimir Zelensky’s presidency is over, former US Marine Corps intelligence officer Scott Ritter has told RT. Zelensky’s five-year term in office concluded in May 2024, but he has refused to hold new elections, citing martial law. According to Ritter, Washington is “fed up” with Zelensky, who US President Donald Trump recently labeled a “dictator without elections,” and is moving to unseat him.

***************************


Vladimir Zelensky is done as the leader of Ukraine

journalist and former CIA analyst John Kiriakou told RT, commenting on the verbal spat between Zelensky and US President Donald Trump at the White House on Friday.

The meeting became heated when Zelensky resisted Trump’s demand to negotiate peace with Russia, leading the latter to accuse him of ingratitude and an unwillingness to end the conflict. Consequently, Zelensky left the White House prematurely, without signing an agreement that would have granted the US rights to Ukraine’s natural resources. The planned joint press conference was canceled.

“For all intents and purposes, Zelensky is done. I wouldn’t be surprised if in three months Zelensky is living in London or some such place,” Kiriakou said on Friday. He noted that Zelensky
 
Nadhani Sasa na kuanzia Leo hakutatokea wajingawajinga wengine kama Viongozi wa Nchi kuichokoza Urusi kwa kutengemea ulinzi kutoa kwa USA.
Ni kwamba USA haiko tayari Leo wala kesho kuingia vitani kwa sababu ya viji nchi vingine mfano ki Ukraine.
Vita ya USA na Russia ikitokea ni Kwa sababu wao kwa wao watakua wamechokozana wenyewe kwa wenyewe.
Na tayari Trump keshaweka msimamo kua kama nchi za Ulaya zitaamua kuisaidia Ukraine Kwa kupeleka majeshi yao kujifanya kulinda amani basi USA haitahusika na Sheria ya NATO haitafqnya kazi hapo.
 
Watamsisitizia Zele arudi kwa Trump kichwa chini na asikilize kile atachoambiwa na kusaini mkataba wa madini.
 

Trump adviser describes how Zelensky was kicked out of White House​


The Ukrainian leader’s team was “stunned” when they were told to leave, according to Mike Waltz

1 Mar, 2025 22:32

 
Nafikiri kuna mahala nimesema huko juu kwamba Zele hana uzoefu wa hii michezo ya kidiplomasia, na sasa yazidi kudhihirika.

Alotakiwa kukifanya juzi ni kusaini mkataba na si longolongo.
kabisa, kaleta longo longo, halafu sasa anaanza kuandika magazeti ya appreciation huko twitter, nadhani it's either yeye ama washauri wake walimdanganya, sahivi anataka kurudi Washington kusign, it's too late.

sasa Trump atakachofanya, ni kuongeza vipengele vya kumbana zaidi kwenye mkataba, then he will be kicked out of presidency
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…