LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
kp kipanya44 kama msemaji wa Kiev anasemaje kuhusu hili la kuzingirwa kwa majeshi ya Ukraine huko Kursk?
 
Russia amekua na tabja ya kuripoti nusu ya idadi ya askari wa adui waliouawa na majeshi ya Russia hpia maeneo anayoteka na husema baada ya masaa 72. Ukraine ana tabia ya kuzidisha data mara mia mbili na huwahi kusema hata kabla ya tukio. Hivyo ndio maana huwezi kuta nabishana na KP . Data halisi ni makaburi ya wa ukraine
 
Hahaa huu mtego nimeulewa, Putin ni bonge la Prezidaa, akili mingi sana!!
 
Na kujisimika Afrika
Kwa mataifa mbalimbali
Hadi Ivory Coast na Senegal
 
.
 

Attachments

  • 19137964_gl3j2uw8aasfy_jpeg_jpeg1a8f23cd6ec590f94fbacef53a9441d6.jpg
    22.1 KB · Views: 1
⚡Ukraine was the second most powerful military in Europe by far in 2022.

Ukraine in 2022 had armored brigades that were the best in the world and would have been extremely difficult for a US Army equivalent to defeat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…