daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Kheee VITA mnachaguliana SILAHA??Nuclear haitolewi hovyo hovyo kama biscuits mzee,ile ni last option tena iwapo na yeye amepigwa nuclear...
Picha za zamani sana hizoJamani hii ni kweli? Asee kama ni kweli russia hapana adhibiitiwe mapema hii ni htrView attachment 2131976
Keshavaa combat yuko mstari wa mbeleKumbe huyu former boxer Vitali Klitschko ndio Meya wa Kiev!?nimemsikia atoa tangazo kwamba atakayetoka usiku baada ya muda wa zuio atachukuliwa kama ni aduiView attachment 2132007View attachment 2132008
Mkuu silaha za Czech Republic sidhani kama zimefika wala kutumika. Hata za Poland zimetolewa jana zitakuwa zimeanza kutumika leo, Urusi wakitoa taarifa hawatoi evidence. At least Ukrainians wanaonesha video clips na picha sometimes.
Ikitokea any International community kama Red Cross ndio tutapata angalau picha ya nani ana casualties nyingi. Russia anaonesha weakness moja kubwa ni supplies na logistics. Akienda frontline harudi nyuma kwahiyo maiti na majeruhi wako uko uko. Hata resupply ya ammunition na chakula hana, wala hatengenezi corridors au pockets kwamba atakuwa anazileta hapo. Hajasecure supply lines maroli ya jeshi yakipita mitaani yanapigwa ambush na raia. Russia vita wameingia juzi ila washaanza kuwa exhausted na walijipanga miezi kibao. Nasema hivi kwa kuwa nalinganisha advancement ya juzi, jana na leo naona washachoka wakati Ukraine ndio wanazidi kupata nguvu. Sijui kama niko sahihi
NB: Wale wanaosema kuhusu Ghost of Kyiv na kills zake dhidi ya Russian Airforce sijathibitisha popote kwahiyo mpaka sasa nauita ni uzushi. Jikinge dhidi ya fake news na propaganda
Defensive ni pamoja na offensive,ni mpuuzi tuu nae.Kama ulimsikia Zelensky alikuwa clear kwamba the aim ya Ukranian amry ni defense sio offensive war maana wanajua hawana resource kupigana offensive war,Wanachokifanya ni kuwasubir Russia infantry wajae target then wanawashambulia,hadi sasa tactick yao ime work 100%,hayo mengine ya kushambulia Moscow unasema wewe,ila Generals wa Ukraine wameshachagua tactic yao 'defensive'.
Halafu punguza hasira Russia watashinda vita ila chamoto lazima wakipate,na pia wataonyesha ulimwengu kwamba russian infantry haipo kama tulivyoaminishwa mwanzo...Hakuna kitu ngumu kama kupigana na mtu mwenye spirit na yuko tiyari kufa kutetea alichonacho,hiki ndio kinawaua warusi
Hana cha spirit anajivunia nukes tuu kama N.Korea ila hawezi pigana huyo na powers wenye nguvu.Russia wanampa kichwa tuu, mara nyingi kwake ambacho kipo ni high spirit regardless how heavy casualties...!!! Tatizo hii vita yake ina different opinion among public tena humo humo Russia , hata Ile spirit na support ya raia kama WW2 haipo ...the same Kwa US against Vietnam or US against Afghanistan...!!!
Aisee,nilikuwa sijapata hio update,jamaa wana spirit ya ajabu sanaKeshavaa combat yuko mstari wa mbele
Hii chai tu kama chai zingineJamani hii ni kweli? Asee kama ni kweli russia hapana adhibiitiwe mapema hii ni htrView attachment 2131976
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ujue humu kuna wapumbavu sana. Eti URUSI imedanganywa na wameshaingia kwenye Mtago. Yaan mtu anayejua haya anaishi kwa MTOGOLE hana hata Jeans ya 50k mwilini. Amesoma shule ya kata na hata hajawahi kuiona hata Beaker ikiwa maabara. URUSI wana kitengo cha usalama KGB na wanauwezo wa kuhack hata uchaguzi wa USA afu useme wameingia vitani bila ANALYSIS this is JOKE.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa mjinga sana.
Huu utotoChanzo chao Kikuu ni Mabishano kuhusu Mwanasiasa wa Tanzania Freeman Mbowe kama ni Gaidi au siyo Gaidi.
Waweza kuta wamefanya mkadirio lakini kuapply kwenye field hauko effective by 100% lakini ni lazima wamefanya assesment ya threat.huwa hap tu nawaZ walifanya fanyaje calculus zao mana naona kama anaend kupoteza
Wamewaua Warusi 3500 dah[emoji28]View attachment 2132018
Kuwa makini kuna propaganda nyingi sana Ukraine wanacheza nazo kwenye mitandao.