LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
That cannot deter Russia from attacking any NATO member mkuu. Kumbuka Russia baada ya kuichukua Ukraine itakuwa na position nzuri ya kutandika kila sehemu tena wakileta mchezo anawazimia gas na baada ya hapo maandamano makubwa na akiwatisha kuwa nuke basi hapo habari kwisha
 
Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.

Silaha kubwa zilizotumika leo: ukituma Mi-8s na Ka-52s unakutana na MANPADS na short range air defence systems, ukituma tanks ardhini unakutana na Uturuki au Poland wanazo German made Leopard 2 na ATM za kutosha. Ukija na Sukhoi na MiG haziko stealth hata bila ground radar Poland wakinyanyua AWACS mbili tu angani zinatoa mwongozo wa fighters zao kushambulia adui akiingia anga lao. Russia ikitumia artillery, self propelled howitzers na MRLS kama Smerch, Uragan hao members wa NATO karibia wote huwa wana counter battery radars. Kitu pekee ambacho Russia ana edge ni missiles hizo Kalibr zilizotumwa kama 160 hivi. Russian navy ilikuwa na meli zaidi ya 12 baharini na imeteka mji wa Maliupol na navy base ya Ukraine. Meli zinaleta shida kiasi, hakuna ASM za range kubwa ila landing crafts zitazuilika. Kuna nchi kibao hapo zinaweza hold more than a month zikivamiwa na Russia.

Ukraine sio level za Urusi na haina silaha za kutosha, wala sioni kama ina mobilization ya maana, kwanza jeshi ni 160,000 hivi ukiongeza na reserve wasiofika milioni moja. Hata hivyo Ukraine imefanya counter attack mida ya jioni, imepeleka mashambulizi kujaribu kuzuia airports za karibia na mji mkuu kutekwa. Naamini wakishindwa wataweka craters kwenye runways ili ndege za Urusi zisitue hapo.

Siwezi ilinganisha Russian na Marekani, ikitokea vita kati yao doctrine zao zinaonesha kabisa kwamba Russia atakuwa na defensive position na US atakuwa na offensive position. Hatotokea mwanajeshi yeyote wa Urusi aingie ardhi ya Marekani. Kwa mfano atapita wapi na kwa kutumia nini?
Kuhusu nuclear capabilities achana na idadi ya warheads sema nuclear delivery systems, preemptive strike capability na response. Hawazidiani sana idadi ya makombora na hawahitaji kutumia hata robo yake kumaliza vita.

Vita ya Russia vs USA haipo. NATO vs Russia haipo zitakuwepo operations za kuunga mkono au kumpinga third party
Kwahiyo tangu leo asubuhi mpaka sasa majeshi ya Urusi yako yanapiganania kuuchukua mji wa Kyiv wakati walikuwa wamebakiza kilomita 10 kuingia central district. Yani tangu asubuhi mpaka sasa hivi wanapigania kilomita 10?

Jana hapa nilisema performance yao sio nilivyotarajia kuna watu walininanga, leo Warusi wamepewa wapiganaji 10,000 wa ziada wa Chechen. Ukraine imepata msaada wa silaha kidogo kutoka Poland mida ya jioni. Sikuwa nafikiria kama jeshi la Ukraine na raia wake wanaweza hold their positions mpaka usiku wawe na Kyiv
 
Ukiachana na ile meli ya uturuki iliopigwa jana kwa kuzuia eti majeshi ya Urusi, leo meli ya Japan imepigwa kombora karibu na Black sea

2 more merchant ships hit by Russian attacks in Black Sea.

Japanese bulk carrier MV Namura Queen hit by a rocket at anchor off Yuzhne.

Moldovan chemical tanker MV Millennial Spirit hit and set on fire 12 miles to the south


Video: suvaribeyinnotdefteri https://t.co/p5BHZmUPIk
IMG_20220225_190242.jpg
 
Jamaa anapiga mahesabu ya mbali sana.
Putin ni mzoefu kila sekta kuanzia propaganda za vita baridi alikuwepo pia kafanya kazi Kama agent wa KBG taasisi ya usalama wa taifa urusi kiufupi Putin ni full package tishio kubwa zaidi kwa westerners na kiongozi wao USA
 
Hivi vyombo vya habari wa kimagharibi mara zote zimekuwa na kazi ya kiwatoa bongolala kwenye attention.

Acheni propaganda, tupeni taarifa za kinachoendelea kwenye battle field. Russia hajavamia Ukraine akitegemea msaada wa China, ninachojua ametoa angalizo kwa kiherehere yoyote atakaejaribu kumuingilia na ndiomaana huoni mjinga yoyote akijipendekeza.
8107FB6F-C9B3-4A08-B9DC-97733200E09E.jpeg

Breaking news baada ya jeshi la USA na ndege za vita kuingia Nato ime activate any time putin atajutia .wamkamate wamuue mambo ya vita ni ya zamani sana .from
Pandemic to putin
8107FB6F-C9B3-4A08-B9DC-97733200E09E.jpeg
 
Kila nikimsikiliza Putin nasema kimoyomoyo kuwa kuna Watu ni kama wanamiliki Dunia.
 
Tuzidishe tu maombi sana ili pasitokee WWIII ili tuweze kula kwa urefu wa kamba zetu tukinenepeana mashavu kama chempazee.
World war3 nadhani haiko mbali Sana lakini sidhani Kama itatokea Sasa zaidi tuendelee kuombea amani na moyo wenye huruma wanasiasa ambao ndyo chanzo Cha haya yote huku wahanga wakisa raia wasio na hatia
 
Kwahiyo tangu leo asubuhi mpaka sasa majeshi ya Urusi yako yanapiganania kuuchukua mji wa Kyiv wakati walikuwa wamebakiza kilomita 10 kuingia central district. Yani tangu asubuhi mpaka sasa hivi wanapigania kilomita 10?

Jana hapa nilisema performance yao sio nilivyotarajia kuna watu walininanga, leo Warusi wamepewa wapiganaji 10,000 wa ziada wa Chechen. Ukraine imepata msaada wa silaha kidogo kutoka Poland mida ya jioni. Sikuwa nafikiria kama jeshi la Ukraine na raia wake wanaweza hold their positions mpaka usiku wawe na Kyiv
Hakuna wameuzingira mji mkuu
Wakisubiri final order tu
Kumbuka ni ndani yasiku mbili wameshaufikia mji mkuu
Marekani Afghanistan alitumia siku ngapi kuikaribia Kabul.
Halafu Zelenski kaomba mazungumzo
 
Back
Top Bottom