Makuwani
Senior Member
- Feb 17, 2014
- 197
- 187
Ungekuwa wewe ungechagua nini? madhara ya uchumi au umuache adui yako akupige upotee kwenye uso wa dunia?kuna mtu nilikuwa namwambia kuhusu hii vita Urusi atapata madhara makubwa ya kiuchumi kawekwa kwa mtego yeye hajui tu