LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Warusi walijua watajipigia kiulaini tu, wanakutana na upinzani ambao hawakuutarajia
Kichapo kina kolea hadi anatishia nyuklia.
Screenshot_2022-02-27-18-46-17-898_com.instagram.android.jpg
 
Mzee sote tunaona. Hakuna upinzani wowote. Na lengo la Putin limetimia. Na amewaonya hao NATO atakayesogeza pua ataanza naye.
Hao NATO wamepleka misaada ya kijeshi ikiwemo ndege za kivita,vifaru nakadhalika kuisaidia Ukraine amewafanya nini?

Marekani naye kapeleka misaada kibao na Biden amemwambia Putin kwmba ameshamchorea mstari mwekundu asithubutu kuuvuka.

Ndo maana mzee Putin kabaki kutishia sijui nuclear utadhani anazo peke yake dunia nzima wakati hata hapo Ukraine tu wanazo achilia mbali NATO na Marekani.
 
Pro Russia wenzako wote wamekula kona kwa kukubali ukweli na hali halisi iliyopo grounds, ila wewe waziri wa habari wa type ya Al-Sahaf wa Iraq unaleta ngonjera.
Mzee NATO wapo wapi!? Nawasikia tu wanaongea kwenye TV hakuna hata mmoja aliyesogeza pua.
 
Naandika kwa herufi kubwa. KIUHALISIA PUTIN AMESHINDWA NA NI AIBU KUBWA SANA. RUSSIA SIO SUPER POWER KIHIIIIVYO KAMA ILIVYOAMINIKA. ILIKUWA TU OVERRATED. Hii vita imeonyesha udhaifu mkubwa sana kwa Russia.

Nimeshangaa sana kuona Russia hana sophisticated satellites kwa ajili ya Ku track vikundi vya adui zake, yaani amekuwa anatafuta adui kama vita vyetu vya kiAfirica vita vya kuviziana atakayekuwahi. Nimeshangaa eti amelalamika kuwa huenda USA anatumia Drone kuelekeza adui mipango ya vikosi vya Russia. Na kama ni kweli basi hiyo ni credit kubwa kwa USA
Hebu weka vigezo vinavyo kufanya uamini ya kwamba Urusi kashindwa.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Hao NATO wamepleka misaada ya kijeshi ikiwemo ndege za kivita,vifaru nakadhalika kuisaidia Ukraine amewafanya nini?

Marekani naye kapeleka misaada kibao na Biden amemwambia Putin kwmba ameshamchorea mstari mwekundu asithubutu kuuvuka.

Ndo maana mzee Putin kabaki kutishia sijui nuclear utadhani anazo peke yake dunia nzima wakati hata hapo Ukraine tu wanazo achilia mbali NATO na Marekani.
Mzee fuatilia taarifa za habari. Pesa alizo ahidi Biden $10b mpaka zipitishwe kwenye senate, wakija kupitisha tayari Ukraine itakuwa mikononi mwa Russia.
 
Hao NATO wamepleka misaada ya kijeshi ikiwemo ndege za kivita,vifaru nakadhalika kuisaidia Ukraine amewafanya nini?

Marekani naye kapeleka misaada kibao na Biden amemwambia Putin kwmba ameshamchorea mstari mwekundu asithubutu kuuvuka.

Ndo maana mzee Putin kabaki kutishia sijui nuclear utadhani anazo peke yake dunia nzima wakati hata hapo Ukraine tu wanazo achilia mbali NATO na Marekani.

Weka hayo maelezo ya Biden eti kamchorea mstari mwekundu mbona hajapeleka pua yake wakati rais wa Ukraine analia lia
 
Bado una ushabiki maandazi vita ipo katika ardhi ya ukrein hivyo muathirika mkubwa ni Ukrein sio Russia mbona USA +NATO na ubabe wao wote wameshindwa hata kutuma Askari hata mmoja kumsaidia ukrein hivi vitu bila objective ni ngumu kuona hata ukweli ulio wazi
Busara busara busara mkuu ukiwa mkubwa lzm uongozwe na busara
 
Marekani na NATO kwa ujumla wamemwingiza choo cha kike Rais wa Ukraine. Hakuna anayetia mguu kumsaidia zaidi ya kupiga makelele!
?engo la NATO ilikuwa ni:
1. Kutafuta sababu ili kuiwekea vikwazo vya kiuchumi URUSI. Lengo ni kuipunguza kasi ya maendeleo.
2. kufanyia majaribio silaha zao dhidi ya silaha za urusi.
Ukweli kwamba silaha zao za ulinzi wa anga zimeshindwa kuulinda uwanja wa Ndege uliopo Kiev lakini ukatekwa siku ya kwanza ya uvamizi, hapo ujue maji yamezidi unga!
Bro unaweza kuweka sabu za msingi za Russia kuivamia Ukraine?
 
VICHWA MAJI HUMU NI ASILIMIA 99%
Unashindwa kujua kuwa Russia Hatakiwi kutumia Full force, Wanajeshi haswa kwa sababu wakati wa vita unaweza kupata strong resistance kutoka kwa support anayopewa adui yako.

Pili kumbuka utazalisha maadui wapya, Nyumbani unakuachaje? Pia kwenye vita kuna vitu tunaita chambo, lazima utangulize watu wakusogeza Gurudumu kabla ya kutuma Strong one.

Hakupanga kuichakaza Ukraine kwa roho mbaya, Angeua watu wasio na hatia, Watu kutoka nchi mbalimbali wapo bado kule.

So Ukraine anatumia hiyo advantage ku promote kwamba amempiga M Russia in fact m Russia ni kama hajapigana tu

Wengi mliojaa humu kwa mfano mdogo tu, Mkienda sehemu za starehe mnatumia mpaka reserve kuwafurahisha marafiki na watu utakaokua nao siku hiyo, ukisahau kwamba kesho Familia itahitaji hizo pesa iweze kusonga.

The same Russia hajatumia Nguvu ya Vita Ya First Degree wakati Ukraine katumia First Degree na kachanganya na citizens na msaada juu.​

#BUNCH OF BOZOS
Povu kama lote Warusi wa Mama Samia
 
Mkuu silaha za Czech Republic sidhani kama zimefika wala kutumika. Hata za Poland zimetolewa jana zitakuwa zimeanza kutumika leo, Urusi wakitoa taarifa hawatoi evidence. At least Ukrainians wanaonesha video clips na picha sometimes.

Ikitokea any International community kama Red Cross ndio tutapata angalau picha ya nani ana casualties nyingi. Russia anaonesha weakness moja kubwa ni supplies na logistics. Akienda frontline harudi nyuma kwahiyo maiti na majeruhi wako uko uko. Hata resupply ya ammunition na chakula hana, wala hatengenezi corridors au pockets kwamba atakuwa anazileta hapo. Hajasecure supply lines maroli ya jeshi yakipita mitaani yanapigwa ambush na raia. Russia vita wameingia juzi ila washaanza kuwa exhausted na walijipanga miezi kibao. Nasema hivi kwa kuwa nalinganisha advancement ya juzi, jana na leo naona washachoka wakati Ukraine ndio wanazidi kupata nguvu. Sijui kama niko sahihi

NB: Wale wanaosema kuhusu Ghost of Kyiv na kills zake dhidi ya Russian Airforce sijathibitisha popote kwahiyo mpaka sasa nauita ni uzushi. Jikinge dhidi ya fake news na propaganda

Kuna na hawa ndugu hapa kwa kweli wamechoka kweli kweli:

IMG_20220227_191128_870.jpg


Hiiiiii bagosha!
 
Naandika kwa herufi kubwa. KIUHALISIA PUTIN AMESHINDWA NA NI AIBU KUBWA SANA. RUSSIA SIO SUPER POWER KIHIIIIVYO KAMA ILIVYOAMINIKA. ILIKUWA TU OVERRATED. Hii vita imeonyesha udhaifu mkubwa sana kwa Russia.

Nimeshangaa sana kuona Russia hana sophisticated satellites kwa ajili ya Ku track vikundi vya adui zake, yaani amekuwa anatafuta adui kama vita vyetu vya kiAfirica vita vya kuviziana atakayekuwahi. Nimeshangaa eti amelalamika kuwa huenda USA anatumia Drone kuelekeza adui mipango ya vikosi vya Russia. Na kama ni kweli basi hiyo ni credit kubwa kwa USA
Ukiachana na mashambulizi ya ndege na mizinga, Urusi ni alshab waliochangamka.
 
Back
Top Bottom