LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu mi sikatai kuwa Urusi ni taifa kubwa kieneo pengine mara 10 ya Ukraine, sikatai kuwa Urusi ina jeshi kubwa na lenye nguvu zaidi ya Ukraine, pia sikatai kuwa Urusi ana silaha hatari zaidi ya zile za Ukraine. Ila ninachozungumzia hapa ni kwamba Urusi na wapambe wake hawakutegemea kuwa wangepata upinzani mkubwa kutoka kwa vikosi vya Ukraine kwani waliamini kuwa Ukraine ina jeshi dhoofu lisilo na ujuzi wala mbinu, lisilo na silaha wala uwezo wa kujilinda na kujitetea kwa namna yoyote ile. Urusi ilitegemea kuwa baada ya kuanzisha mashambulizi jeshi la Ukraine lingeweka silaha chini na kukimbia huku wakiacha jeshi la Urusi likivinjari katika ardhi yao, na ndio maana kabla mashambulizi hayaja anza Putin alianza kutangaza kuwa anataka wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini ili yeye aingie tu kiwepesi wepesi kama vile mume anaeingia kwenye chumba cha mkewe kula mzigo. Sasa kilichoshangaza wengi ni kwamba jeshi la Ukraine pamoja na udogo wa nchi yao, uhafifu wa vifaa vyao vya kijeshi na udogo wa jeshi lao lakini hawakutii wala kuogopa kauli ile. Ndio kwanza walionesha na wao kujiamini kwa lolote litakalotokea, na kweli kujiamini kwao kumewasaidia maana vita ambayo Russia alitegemea ataimaliza siku moja, leo ina week haijaisha huku Urusi yenyewe ikiwa haijadhibiti kikamilifu mji hata mmoja kati ya miji miwili mikubwa ya nchi hiyo. So hauoni kama mambo bado ni magumu kwa Urusi japo wanajeshi bora na silaha kubwa kubwa?

Wapi mrussi alisema hata kutana na upinzani kutoka ukraine? Ukraine usiichukulie poa ipo vzr kijeshi mzee
 
Amani na upendo ni jambo kubwa sana
Hali ilivyo na updates zinazoendelea kutolewa na media on ground hali ni mbali kuliko maelezo yanayotolewa
Tuwaombee zaidi ukrain Mungu aingilie kati roho na vita hii isimame
Kwa madhala na nchi inavyobomolewa .itachukuwa miaka mingi sana kujengwa upa
(Vita sio nzuri at all)

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
So sad
 
Ndio sio Nuke ila kwa kweli tusitake kuona nuke. Apewe tu.
Wengne tulijua tu hata asipopewa ataichukua tu kwa lazma na hilo bomu hapo ni trela tuu, movie kamili litakalotua kyiv... ndio maana wameambiwa waondoke kyv kufikia kesho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
 
Mkuu kuna video ya mlipuko mmoja huko ni balaa. Putin apewe tu hiyo Ukraine wasimjibu hata kama wanaweza.
ANAONDOA KWANZA VIGENGE VYAO VINAVYOWAPA JEURI, BUT ANAWAPA TARIFA BEFORE SO KAMA UNAKILI UNAONDOKA.

MBONA ANAFANYA FAIR SANA, TANGU MCHANA ALIWAMBIA ATAPIGA WAPI, SO NI MTU POA TU SEMA BINADAMU VICHWA VIGUMU​
 
Ze comedy haya inatosha muachie nchi tu anko vladimir mana ukija kustuka utakuja kukuta unaongoza panya na magofu tu mixer mende sio kwa vinu vizito vinavyoshuka hapo we kuna bomu limetua huko mpaka huku kibaha mwanalugali tumesikia
 
Kinachoniumiza ni miji inavyoharibiwa, plus hao watu wanavyokif!
,itachukua muda gani kujenga hiyo miji? Yaani mambo mengine siyo ya kufurahia kabisa Mungu asaidie hii mambo iishe
Na hilo liwe funzo kwa westernazi maana usa kafanya Libya iwe ka magofu ...
Mi nafurahi maana anaepasuliwa ni mzungu tena racist[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Putin baba we piga tuu si huku hayatuhusu asee
 
Kinachoniumiza ni miji inavyoharibiwa, plus hao watu wanavyokif!
,itachukua muda gani kujenga hiyo miji? Yaani mambo mengine siyo ya kufurahia kabisa Mungu asaidie hii mambo iishe
Huyo mungu wako akitaka kutuuzi ainyamazishe hii vita,watu tumepata vya kushuhudia alafu ww unasema vita iishe? Unafikili hao wanaopigana wajinga sana au unauchungu sana kuliko wenyewe,aisee kama huna cha kusema bora ukae kimya, maana nayo pia ni busara. Usituudhi sawa?
 
SI MLISEMA ANAVISIRAHA VYA KUNYWEA CHAI
SmartSelect_20220301-223612_Twitter.jpg
 
ANAONDOA KWANZA VIGENGE VYAO VINAVYOWAPA JEURI, BUT ANAWAPA TARIFA BEFORE SO KAMA UNAKILI UNAONDOKA.

MBONA ANAFANYA FAIR SANA, TANGU MCHANA ALIWAMBIA ATAPIGA WAPI, SO NI MTU POA TU SEMA BINADAMU VICHWA VIGUMU​
Hakuna haja ya kubishana nae. Sababu Ukraine hawezi tuma kombora likafika Urusi na kwa hivyo vitu vinavyoshushwa kutabaki majivu hapo.
 
Urusi hawamugopi kwasababu anajeshi imara, urusi inaogopwa kwasababu kiongozi wake ni fyatu anakimbilia nyuklia.
Marekani kapigwa sana ila hajawai THUBUTU kutishia nyuklia. Huyo boya katiwa kidogo katishia nyuklia.. Nazani unaona utofauti wa kati TIMAMU na ziro BRAIN.
Ukiondoa nyuklia kuna nchi nyingi hapa Afrika zinasimama nae.. I'm not talking this out of joke ninamaanisha.
Urusi haina uchumi wa kuweka kambi Kigoma kwa wiki 2/3 kuipiga burundi.
Kashindwa mpiga jirani yake wajeda wanaenda kwa mguu how comes aweze simama na Burundi umbali wote huo? [emoji4][emoji4]
Unipigana ngumi kidogo Unakimbili panga, ndiyo nini sasa?.
Niliwa pigana na rafiki yangu mmoja hivi ni mtu wa Togo aliniga ngumi Paap nikadondoka chini akanisubiri ninyanyuke ili tuendelee kupigana baada ugomvi kuisha nikamuuliza kwanini haukunivaa wakati nimeanguka pale chini!! Akasema:, ukiwa unajiamini katika kupigana uwezi fanya hivyo, nilisubiri usimame ili usione nimekuotea[emoji23][emoji23].. Matunda ya ugomvi ni kwamba until today we are friend.
Umeandika as if umekalia gunzi la muhindi.
 
Back
Top Bottom