LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Tukiachana na nuclear weapons, siwezi panga majeshi bora ya conventional weapons Urusi ikawepo kwenye top 4. Huwezi kuwa na jeshi la ovyo la ardhini na angani linaposhindwa kupigana na vijeshi vidogo kama Ukraine alafu unataka tukuite superpower kwenye majeshi. Ujerumani kwenye WW2 ilipigana na Poland, Ufaransa, Urusi, Marekani na Uingereza ikiwa pamoja na Commonwealth zake zenye nchi imara kama New Zealand, Australia na Canada, et. Hata South Africa ilishiriki dhidi ya Mjerumani, hao ndio walikuwa na jeshi la kupigana na maadui wengi sio hii Russia.

Huu uzi nimeutelekeza kwa siku tatu hizi baada ya kuona kile ninachokijua kimezidi kupwaya. Jeshi la anga la Urusi ndio la kufanya mashambulizi usiku ili lisidondoshewe ndege zake kweli? Juzi ndege 6 ziko confirmed kuangushwa, source zipo nyingi za kudhitibisha hilo na ndege ambazo hakuna uhakika hazijahesabika. Wiki ya pili sasa bado Ukraine imesimamisha S-300 zinafanya kazi. Ingekuwa Israel siku ya kwanza tu, trust me siku ya kwanza tu hakuna air defence system ungeona iko kazini!

Urusi inashindwa kulinda convoy zake, inapaki magari kibao mpakani kule Belarus ila inaogopa kuingia nayo mengi ziko Bayraktar TB2 zinayasubiri, hawana air cover wanaenda as if tuko 1980s. Urusi wana systems zao kama S-300 (S-400 si rahisi ikaletwa kufanya kazi ndogo hizi) ziko mbali uko kwao ambavyo wala Ukraine hana mpango wa kuishambulia Urusi hivyo zinatoa air cover mpaka pembeni mwa Ukraine ila nao wanaendesha ndege level za chini kukwepa radar.

Russia haina coordination nzuri ya airstrikes, artillery na troops. Hata airforce yao haina uzoefu na combat missions, Urusi wako busy na kuendesha ndege kwenye maonesho na kwenye mazingira rafiki wakati NATO wanakuwa na mazoezi magumu yanayofanyika kwenye maeneo tofauti duniani kama Mediterranean sea, Marekani na maeneo ya Ulaya. Marubani wa UK na US hukutana kufanya mazoezi magumu kila mwaka yanaitwa 'Red flags', hutumia makombora ya kisasa, ndege za kisasa na hutumia hali ya hewa mbovu kwenye mvua kubwa, fog na upepo. Last year mwishoni hapo kuna F-35 mpya ya Uingereza ilidondokea kwenye maji wakiwa kwenye mazoezi makali na Marekani. Marubani wa NATO wana simulation rooms za kisasa zinazofanana na mazingira halisi ya vitani, rubani anapewa simulator inayofanana kila kitu na ndege yenye hata VR anazoea mazingira, buttons, emergencies, maamuzi ya haraka. Hata movements za ndege, acrobatics na mitikisiko anapewa anachokosa ni ile hofu inayotofautisha mazoezi na reality. Russia hana kampuni ya kutengeneza modern simulators marubani wake wana disadvantage hapa. Marubani wa Russia wakifanikiwa sana wanatimiza masaa 100 ya kurusha ndege kwa mwaka wakati Marekani na members wakubwa wa NATO wa kwao wanazidi masaa 200 kwa mwaka.

Ndege za Urusi zingekuwa mbovu India isingekuwa inazitumia vizuri na kushinda angani, tena India iliwahi fanya mazoezi na members wa NATO wakakubali sana uwezo wake. India ndio airforce inayoongoza kupata ajari, wale jamaa hawakai miezi miwili bila ndege ya jeshi kuanguka, kamanda wa jeshi la anga alidai bora wafanye mazoezi kwenye mazingira magumu wafe kwenye wakati wa amani ila vita ikija wawe strong wafanye mission kwenye mazingira yote.

Hapa tatizo ni training mbovu isiyokidhi, na washirika wa Urusi hawafanyi mazoezi pamoja. Russia inafanya mazoezi na India, China kidogo sana na watu wa kawaida kama Belarus. NATO wanaunganisha mbinu za wageni kama South Korea, Japan na Israel which I think ndio airforce inayojua sana air warfare kuliko hapa duniani. Israel imeanza operations Syria miaka zaidi ya 10 na sijawahi sikia imepoteza ndege hata moja. Leo hii Urusi ndani ya wiki mbili ana hasara kibao angani.
wewe utakuwa umeathiriwa na video za propaganda . Katika majeshi ya ardhin marekani ndio ya hovyo walikalishwa na talban hapa islamic state wamarekani wameshakaa alafu ukraine sio taifa dogo hapo ulaya ukiitoa ufaransa hakuna wa kuipiga ukrain kumbuka ni russians community
 
K

Kama tunadanganywa , basi nyie ndo mtuambie ukweli, kama Russia amepiga ban maraia wake waitoe ukweli kuhusu what is going on behind the enemy line , nini anataka kukificha ....!! YouTube imejamaa ndege zinazotunguliwa na vifaru vilivyoharibiwa , captured russian pilot and so on ...!! Huyo veteran ni Nani ? Ukraine ni nchi dhaifu Sana ukilinganisha na Urusi , hata hvyo wanadefend fiercely na kila mmoja anashangaa , dhidi ya taifa linalotuaminisha kuwa lipo vizuri upande wa millitary..!!
Kila mara mambo yanapokuwa magumu Kwa urusi tunaambiwa mara ooh urusi katuma mgambo tu na sio experienced fighter , mara ooh anafanya operations ndogo , mara ooh anatumia silaha za kizaman , mara hataki kutumia silaha nzito na blah blah kibao ...

Vyovyote itakavyokuwa ni mpuuzi tuu anayeweza kuamini jeshi la Urusi linaweza kustand against US in a full firefight ..!!

Urusi hawez kushawishi hata nchi moja ikatoa vikwazo Kwa US , Ila US ana uwezo huo , ndo utajua Nani mkubwa na nani ni Bwana mdogo .... Kifo cha Putin kinakuja taratibu
Kama wanaweza kupambana na Russia mbona wanakimbilia vikwazo na sio kupeleka jeshi kupambana??

Huoni mpaka Zeleweskyy ameanza kuiponda NATO na US kwa kuingia mitini wakati ndio walimjaza kichwa??
 
Hu amini kama Russia nao wanakufa?

Russia ajiandae kupigana miezi kama sio miaka
img_1_1646453922639.jpg
hii nimeichukua siku tatu zilizopita sijajua maendeleo ya juzi jana na leo
 
Urusi marubani wake wengine wanaendesha ndege wakiwa wamevaa makoti ya kiraia i think hawana sare za angani wala oxygen masks kwenda juu zaidi maana uko medium range air defence systems za Ukraine zitawaona. Na wanataka wakiangushwa wasiwe na sare za jeshi, najaribu kutafuta sababu. Ila flying wanakuwa vulnerable dhidi ya MANPADS, ndio maana wanajitahidi kushambulia usiku zaidi.

Alafu Urusi hawatumii precision guided munitions kila wakishambulia ni mwendo wa dumb bombs ambazo zina error probability kubwa ila zina gharama ndogo. Kuna marubani wawili nimeona wamebeba karatasi zenye coordinates yani ndege zao za zamani kina Su-25 hazina kompyuta za kuweza kuchakata target mpaka rubani afanye calculations manually.

Urusi hata mawasiliano mazuri kwenye field hawana wako blindfolded. Spetnaz naona hawajatumika sana ila VDV wameshiriki hasa kwenye kuchukua airbases karibuni na Kyev na wamepigwa kama wengine wakati ni special force ya angani.
 
Tukiachana na nuclear weapons, siwezi panga majeshi bora ya conventional weapons Urusi ikawepo kwenye top 4. Huwezi kuwa na jeshi la ovyo la ardhini na angani linaposhindwa kupigana na vijeshi vidogo kama Ukraine alafu unataka tukuite superpower kwenye majeshi. Ujerumani kwenye WW2 ilipigana na Poland, Ufaransa, Urusi, Marekani na Uingereza ikiwa pamoja na Commonwealth zake zenye nchi imara kama New Zealand, Australia na Canada, et. Hata South Africa ilishiriki dhidi ya Mjerumani, hao ndio walikuwa na jeshi la kupigana na maadui wengi sio hii Russia.

Huu uzi nimeutelekeza kwa siku tatu hizi baada ya kuona kile ninachokijua kimezidi kupwaya. Jeshi la anga la Urusi ndio la kufanya mashambulizi usiku ili lisidondoshewe ndege zake kweli? Juzi ndege 6 ziko confirmed kuangushwa, source zipo nyingi za kudhitibisha hilo na ndege ambazo hakuna uhakika hazijahesabika. Wiki ya pili sasa bado Ukraine imesimamisha S-300 zinafanya kazi. Ingekuwa Israel siku ya kwanza tu, trust me siku ya kwanza tu hakuna air defence system ungeona iko kazini!

Urusi inashindwa kulinda convoy zake, inapaki magari kibao mpakani kule Belarus ila inaogopa kuingia nayo mengi ziko Bayraktar TB2 zinayasubiri, hawana air cover wanaenda as if tuko 1980s. Urusi wana systems zao kama S-300 (S-400 si rahisi ikaletwa kufanya kazi ndogo hizi) ziko mbali uko kwao ambavyo wala Ukraine hana mpango wa kuishambulia Urusi hivyo zinatoa air cover mpaka pembeni mwa Ukraine ila nao wanaendesha ndege level za chini kukwepa radar.

Russia haina coordination nzuri ya airstrikes, artillery na troops. Hata airforce yao haina uzoefu na combat missions, Urusi wako busy na kuendesha ndege kwenye maonesho na kwenye mazingira rafiki wakati NATO wanakuwa na mazoezi magumu yanayofanyika kwenye maeneo tofauti duniani kama Mediterranean sea, Marekani na maeneo ya Ulaya. Marubani wa UK na US hukutana kufanya mazoezi magumu kila mwaka yanaitwa 'Red flags', hutumia makombora ya kisasa, ndege za kisasa na hutumia hali ya hewa mbovu kwenye mvua kubwa, fog na upepo. Last year mwishoni hapo kuna F-35 mpya ya Uingereza ilidondokea kwenye maji wakiwa kwenye mazoezi makali na Marekani. Marubani wa NATO wana simulation rooms za kisasa zinazofanana na mazingira halisi ya vitani, rubani anapewa simulator inayofanana kila kitu na ndege yenye hata VR anazoea mazingira, buttons, emergencies, maamuzi ya haraka. Hata movements za ndege, acrobatics na mitikisiko anapewa anachokosa ni ile hofu inayotofautisha mazoezi na reality. Russia hana kampuni ya kutengeneza modern simulators marubani wake wana disadvantage hapa. Marubani wa Russia wakifanikiwa sana wanatimiza masaa 100 ya kurusha ndege kwa mwaka wakati Marekani na members wakubwa wa NATO wa kwao wanazidi masaa 200 kwa mwaka.

Ndege za Urusi zingekuwa mbovu India isingekuwa inazitumia vizuri na kushinda angani, tena India iliwahi fanya mazoezi na members wa NATO wakakubali sana uwezo wake. India ndio airforce inayoongoza kupata ajari, wale jamaa hawakai miezi miwili bila ndege ya jeshi kuanguka, kamanda wa jeshi la anga alidai bora wafanye mazoezi kwenye mazingira magumu wafe kwenye wakati wa amani ila vita ikija wawe strong wafanye mission kwenye mazingira yote.

Hapa tatizo ni training mbovu isiyokidhi, na washirika wa Urusi hawafanyi mazoezi pamoja. Russia inafanya mazoezi na India, China kidogo sana na watu wa kawaida kama Belarus. NATO wanaunganisha mbinu za wageni kama South Korea, Japan na Israel which I think ndio airforce inayojua sana air warfare kuliko hapa duniani. Israel imeanza operations Syria miaka zaidi ya 10 na sijawahi sikia imepoteza ndege hata moja. Leo hii Urusi ndani ya wiki mbili ana hasara kibao angani.
Hizi ni Opinions, ni vizuri zikawepo.
But not facts.....
 
Ha ha ha ndo maana nikakwambia hizo ni propaganda utakuta rubani ana helment ya piki piki
Urusi marubani wake wengine wanaendesha ndege wakiwa wamevaa makoti ya kiraia i think hawana sare za angani wala oxygen masks kwenda juu zaidi maana uko medium range air defence systems za Ukraine zitawaona. Na wanataka wakiangushwa wasiwe na sare za jeshi, najaribu kutafuta sababu. Ila flying wanakuwa vulnerable dhidi ya MANPADS, ndio maana wanajitahidi kushambulia usiku zaidi.

Alafu Urusi hawatumii precision guided munitions kila wakishambulia ni mwendo wa dumb bombs ambazo zina error probability kubwa ila zina gharama ndogo. Kuna marubani wawili nimeona wamebeba karatasi zenye coordinates yani ndege zao za zamani kina Su-25 hazina kompyuta za kuweza kuchakata target mpaka rubani afanye calculations manually.

Urusi hata mawasiliano mazuri kwenye field hawana wako blindfolded. Spetnaz naona hawajatumika sana ila VDV wameshiriki hasa kwenye kuchukua airbases karibuni na Kyev na wamepigwa kama wengine wakati ni special force ya angani.
 
Tukiachana na nuclear weapons, siwezi panga majeshi bora ya conventional weapons Urusi ikawepo kwenye top 4. Huwezi kuwa na jeshi la ovyo la ardhini na angani linaposhindwa kupigana na vijeshi vidogo kama Ukraine alafu unataka tukuite superpower kwenye majeshi. Ujerumani kwenye WW2 ilipigana na Poland, Ufaransa, Urusi, Marekani na Uingereza ikiwa pamoja na Commonwealth zake zenye nchi imara kama New Zealand, Australia na Canada, et. Hata South Africa ilishiriki dhidi ya Mjerumani, hao ndio walikuwa na jeshi la kupigana na maadui wengi sio hii Russia.

Huu uzi nimeutelekeza kwa siku tatu hizi baada ya kuona kile ninachokijua kimezidi kupwaya. Jeshi la anga la Urusi ndio la kufanya mashambulizi usiku ili lisidondoshewe ndege zake kweli? Juzi ndege 6 ziko confirmed kuangushwa, source zipo nyingi za kudhitibisha hilo na ndege ambazo hakuna uhakika hazijahesabika. Wiki ya pili sasa bado Ukraine imesimamisha S-300 zinafanya kazi. Ingekuwa Israel siku ya kwanza tu, trust me siku ya kwanza tu hakuna air defence system ungeona iko kazini!

Urusi inashindwa kulinda convoy zake, inapaki magari kibao mpakani kule Belarus ila inaogopa kuingia nayo mengi ziko Bayraktar TB2 zinayasubiri, hawana air cover wanaenda as if tuko 1980s. Urusi wana systems zao kama S-300 (S-400 si rahisi ikaletwa kufanya kazi ndogo hizi) ziko mbali uko kwao ambavyo wala Ukraine hana mpango wa kuishambulia Urusi hivyo zinatoa air cover mpaka pembeni mwa Ukraine ila nao wanaendesha ndege level za chini kukwepa radar.

Russia haina coordination nzuri ya airstrikes, artillery na troops. Hata airforce yao haina uzoefu na combat missions, Urusi wako busy na kuendesha ndege kwenye maonesho na kwenye mazingira rafiki wakati NATO wanakuwa na mazoezi magumu yanayofanyika kwenye maeneo tofauti duniani kama Mediterranean sea, Marekani na maeneo ya Ulaya. Marubani wa UK na US hukutana kufanya mazoezi magumu kila mwaka yanaitwa 'Red flags', hutumia makombora ya kisasa, ndege za kisasa na hutumia hali ya hewa mbovu kwenye mvua kubwa, fog na upepo. Last year mwishoni hapo kuna F-35 mpya ya Uingereza ilidondokea kwenye maji wakiwa kwenye mazoezi makali na Marekani. Marubani wa NATO wana simulation rooms za kisasa zinazofanana na mazingira halisi ya vitani, rubani anapewa simulator inayofanana kila kitu na ndege yenye hata VR anazoea mazingira, buttons, emergencies, maamuzi ya haraka. Hata movements za ndege, acrobatics na mitikisiko anapewa anachokosa ni ile hofu inayotofautisha mazoezi na reality. Russia hana kampuni ya kutengeneza modern simulators marubani wake wana disadvantage hapa. Marubani wa Russia wakifanikiwa sana wanatimiza masaa 100 ya kurusha ndege kwa mwaka wakati Marekani na members wakubwa wa NATO wa kwao wanazidi masaa 200 kwa mwaka.

Ndege za Urusi zingekuwa mbovu India isingekuwa inazitumia vizuri na kushinda angani, tena India iliwahi fanya mazoezi na members wa NATO wakakubali sana uwezo wake. India ndio airforce inayoongoza kupata ajari, wale jamaa hawakai miezi miwili bila ndege ya jeshi kuanguka, kamanda wa jeshi la anga alidai bora wafanye mazoezi kwenye mazingira magumu wafe kwenye wakati wa amani ila vita ikija wawe strong wafanye mission kwenye mazingira yote.

Hapa tatizo ni training mbovu isiyokidhi, na washirika wa Urusi hawafanyi mazoezi pamoja. Russia inafanya mazoezi na India, China kidogo sana na watu wa kawaida kama Belarus. NATO wanaunganisha mbinu za wageni kama South Korea, Japan na Israel which I think ndio airforce inayojua sana air warfare kuliko hapa duniani. Israel imeanza operations Syria miaka zaidi ya 10 na sijawahi sikia imepoteza ndege hata moja. Leo hii Urusi ndani ya wiki mbili ana hasara kibao angani.
Jana raisi wa Ukraine aliwapiga vijembe NATO kuwa ni dhahifu na waoga kisa wamegoma kulifunga anga la Ukraine sasa mkuu kama wana uwezo wa kukilinda kwa nn wanaililia nato ilinde anga lako?

Leo waziri wa Ulinzi wa Ukraine amesema eti wamesha tungua ndege 88 za Urusi je kwa maoni yako ni kweli?

Mm kwa maoni yangu mm naona njia aliyo tumia Russia ya kufanya Ambush kwenye miji mingi kwa wakati mmoja ndio imempunguzia makali.

Wasinge wahi kwenda Kiev wange ipiga miji ya mashariki kwanza.

Ila miji mingi kwa sasa wame fanikiwa kuizingira.

Mm siwezi kuhiukumu Urusi kwa sasa hasa ukizingatia hakuna taifa lolote kwenye karne ya 21 ambalo limeweza kupigana vita na taifa lingine likashinda ndani ya siku 10 kama mnavyo razimisha Urusi ifanye.
Kwa maana dunia imebadilika sana.


Lakini pia kingine ninacho kiona hata Urusi ikifanikiwa kuiteka Ukraine haitaweza kuitawala maana raia hawawataki naye ataishia kukimbia kama Marekani nchini Afghanistan.


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Hizi ni Opinions, ni vizuri zikawepo.
But not facts.....
Umeongea vizuri. Opinions zangu zimehishimiwe kama ambavyo tuliheshimu opinions za waliosema Urusi itaitwaa Ukraine ndani ya siku tatu, zikapita ikaja report wanadai ya siri ilisema serikali ya Urusi inataka hii operation iishe kabla ya tarehe 2 mwezi huu nayo imeisha.

Si vizuri tukaheshimu tu, tukubali au tupinge kwa hoja
 
Muda wowote kuanzia sasa urusi inaweza kuuteka mji 4 kwa ukubwa wakati huo huo baada ya coca cola kusema hawafanyi biashara warusi wameanza kumwaga soda hizo chooniView attachment 2140724
Naomba kuuliza hapa coca wanakataa Fanya biashara urusi je ikitokea urusi akaanzisha kampuni ya soda yenye radha sawa na coca na akaiita jina la coca atakuwa kafanya kosa
 
Umeongea vizuri. Opinions zangu zimehishimiwe kama ambavyo tuliheshimu opinions za waliosema Urusi itaitwaa Ukraine ndani ya siku tatu, zikapita ikaja report wanadai ya siri ilisema serikali ya Urusi inataka hii operation iishe kabla ya tarehe 2 mwezi huu nayo imeisha.

Si vizuri tukaheshimu tu, tukubali au tupinge kwa hoja
Kuniambia Marubani wa Russia hawana Uniform or hawavai Uniform za jeshi kwangu ni tatizo tayari hilo......
Mie wote niliowaona wanavaa nguo za blue, sijui hao wasio na Uniform.
 
Jana raisi wa Ukraine aliwapiga vijembe NATO kuwa ni dhahifu na waoga kisa wamegoma kulifunga anga la Ukraine sasa mkuu kama wana uwezo wa kukilinda kwa nn wanaililia nato ilinde anga lako?

Leo waziri wa Ulinzi wa Ukraine amesema eti wamesha tungua ndege 88 za Urusi je kwa maoni yako ni kweli?

Mm kwa maoni yangu mm naona njia aliyo tumia Russia ya kufanya Ambush kwenye miji mingi kwa wakati mmoja ndio imempunguzia makali.

Wasinge wahi kwenda Kiev wange ipiga miji ya mashariki kwanza.

Ila miji mingi kwa sasa wame fanikiwa kuizingira.

Mm siwezi kuhiukumu Urusi kwa sasa hasa ukizingatia hakuna taifa lolote kwenye karne ya 21 ambalo limeweza kupigana vita na taifa lingine likashinda ndani ya siku 10 kama mnavyo razimisha Urusi ifanye.
Kwa maana dunia imebadilika sana.


Lakini pia kingine ninacho kiona hata Urusi ikifanikiwa kuiteka Ukraine haitaweza kuitawala maana raia hawawataki naye ataishia kukimbia kama Marekani nchini Afghanistan.


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Ukraine sio mwanachama wa NATO usijiulize maswali ya wazi na majibu makubwa yapo. Ukisikia nchi imewekewa No Fly Zone maana yake aliyeweka hiyo anakuja kuhakikisha kama imetekelezwa. NATO hapo atatakiwa arushe ndege zake angani kushambulia ndege za Russia na ikibidi ashambulie airbases zinazotumika kurusha ndege hizo.

Achana na kumsikiliza Zelenskiy anayejiliza na mwenye deko sana, hili deko sijui kwa kuwa Myahudi anapenda kulazimisha mambo yaliyopo. Ukraine kila siku anapewa 'non-lethal weapons' kwa sababu hawataki ugomvi uamie kwingine
 
Back
Top Bottom