Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka Ukraine asisasaidiwe wakati urusi ana askari wa north Korea wakipigana nae bega kwa bega??Lakini situli kubaliana Ukraine peke yake ndo alikuwa anaitoa jasho Urusi na ni super power uchwara?
Na Ukraine hapambaninna urusi pekee..,Kuna north Korea., Belarus.,china., Iran na wengineoKumbe URUSI hapambani na UKRAINE pekee........
Ni kweli ila cha kushangaza masuper power wa ukweli sasa hivi wapo wanatafuta kisingizio vya kuikimbia vita dhidi ya super power uchwara.Ulitaka Ukraine asisasaidiwe wakati urusi ana askari wa north Korea wakipigana nae bega kwa bega??
Ukweli utabaki kwamba urusi ni super power wa mchongo tu.., pamoja na back ya Iran..,china., Belarus., north Korea,bado Ukraine amemudu kuliteka eneo la urusi na kulikalia kimabavu!
Ukraine apewe maua yake🥰🤩😍
Sema super power uchwara amepata rafiki wa kumuhurumia Asje akapotea mazima🏃🏃Ni kweli ila cha kushangaza masuper power wa ukweli sasa hivi wapo wanatafuta kisingizio vya kuikimbia vita dhidi ya super power uchwara.
Si ajabu Putin alikuwa akimweka mita 100 mbali naye kwenye ile meza ndeefu - kwa sababu ya unafiki wake.Huyu jamaa mwanzo wa vita alijifanya mpenda amani sana,Kila siku anawasiliana na Putin kumsihi asiivamie Ukraine
Uzuri amesema intelijensia ya ufaransa itaendelea kuisaidia kievu..,ndio mjue kabisa hii vita bado tunayo sana..,na urusi anazidi kupoteza huko pokrovsk, kumbuka bila kukamata pokrovsk Donetsk ataisikia tu ndotoniHuyu jamaa mwanzo wa vita alijifanya mpenda amani sana,Kila siku anawasiliana na Putin kumsihi asiivamie Ukraine
Naiwaza Afghanistan na kilichotokea Marekani na makoloni yake,Ulitaka Ukraine asisasaidiwe wakati urusi ana askari wa north Korea wakipigana nae bega kwa bega??
Ukweli utabaki kwamba urusi ni super power wa mchongo tu.., pamoja na back ya Iran..,china., Belarus., north Korea,bado Ukraine amemudu kuliteka eneo la urusi na kulikalia kimabavu!
Ukraine apewe maua yake🥰🤩😍
Tatizo unafikiri wafaransa wanawaza upumbavu kama weweHuyu jamaa mwanzo wa vita alijifanya mpenda amani sana,Kila siku anawasiliana na Putin kumsihi asiivamie Ukraine
USA alikuwa mbali na nyumbani katika vita ya Afghanistan..ni aibu kubwa urusi anapigana na jirani aliyeko mlangoni mwake lakini bado anamtoa kamasi😁😁Naiwaza Afghanistan na kilichotokea Marekani na makoloni yake,
halafu naisoma komenti ya kirat, naishia kusema hiiiii in magufuli voice
Mimi nilikuwa naona kabisa Biden ataondoka atacha vita ikiendelea maana alikuwa Hana Mpango wowote wa kusuruhisha na kushinda haweziAjabu ni kuwa na nyinyi Leo mnaendeleza huo ujinga kwa kufurahishwa na trump😍🤩
Mnaweza kuona miaka 4 mingi lakini mambo yanaweza kwenda hivihivi mpaka muhula wa Trump ukaisha kisha akaja kiongozi mwingine pro-kyiv haswa,nani alitegemea Biden ataondoka Whitehouse na kuacha vita hii ikiendelea!?., nadhani hakuna binadam wa kawaida alitegemea hili!