Yanga inapaswa kuifunga simba nje ndani, mechi hizo mbili ndo zina key π ya kombe, droo au kufungwa na makolo lazima tuteme bungo. Simba imenunua marefa kushinda mechi zote.Mkono wa nyani unaweza rudia
Yanga wenye akili wako 2 tu kama na wewe ni yanga ni miongoni wa watu wasio kua na akiliNadhani Yanga hakuna wajinga kama ww
Lile Goal la Kengold ingekuwa Simba ungesemaje?Mwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.
Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.
Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.
Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
VAR hazipo za kutoshaMwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.
Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.
Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.
Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
kavulata jibu lile goli la Yanga kwa Kengold vipiiii?Lile Goal la Kengold ingekuwa Simba ungesemaje?
WanajisahaulishaπππMmesahau msimu juzi mlivyowaponza marefa wawili wakafungiwa. Uto tulieni asee.
Huwezi kujibu comment ambayo ina kiwango cha chini sana cha elimu, hili ni jukwaa la facts, watu wanapua uelewa, wanaharika na kuburudishana. Swali lako hili ni sawa na kusema gari likimgonga mtu ambae alikuwa na malaria kali anaenda hospitali hakuna kesi kwakuwa hata hivyo huenda angekufa tu kwa malaria hata kama asingegongwa. TFF ilipaswa kuahilisha mechi zote za Tabora na Fountain za mwanzo hadi wachezaji wao wawe sawa kwakuwa walikuwa wanalijua tatizo lao pamoja na ukubwa au udogo wake. TFF na Bodi ya ligi walikuwa well informed kuwa ni shida kidogo tu ilisalia kwa timu za Tabora na Fountain kumaliza matatizo yao ya uhamisho wa wachezaji, lakini harakaharaka simba ikapewa hawa mabwana wawili wagonjwa ili wajipigie na kupata pts. .Hao wachezaji waliowapata ni kina nani?
Wataje?Fountain Gate wana wachezaji gani wa kigeni ambao walicheza baada ya mechi na Simba.Unazungukazunguka tu.Jibu hoja.
Ni malalamiko tu. Hapo hamjafungwa, mkifungwa sijui itakuwaje.Sidhani kama kuna mwanayanga bado anaangalia mechi za simba kwa hayo madudu ya marefa, mechi zinaboa mno hakuna haki katika maamuzi ujinga mtupu, upendeleo umezidi, makolo shindeni mechi kihalali mnaharibu burudani ya soka na kushusha kiwango chenu kimataifa, ndo maana mko ligi ya mademu shirikisho.
Kitu kizuri Yanga tutachukua points 6 toka kwenu na kuwatuliza mzuka halafu stori za magazetini zitakuwa "simba mbio za sakafuni zimeishia ukingoni"
Hawa jamaa sipati picha timu yao ikishuka kiwango ikaanza kubutuliwa kama funza wanavyobutuliwa na jogoo mchangani. Maana hapa ni homa tu ya Simba kufanya vizuri ila bado timu yao ni nzuri, sasa pata picha wakianza kubutuliwa.Malalamiko yameanza mapema sana, sio mda utasikia "karia hafai". Naona mmeshaanza hadi kuwalaumu azam.
Yaani malalamiko yako automatic ππ
ingia wewe kama unaona rahisi, safari hi ni mwendo wa kuwapiga tu ndugu yanguMwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.
Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.
Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.
Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
Mgambo wanaruka na kukanyaganaππππMpaka mtapike damu...
Ubaya uvwela...
Mji mzima ni kruuu kruuu kruuuu ni vilio vya vyura.....hhahahπππMgambo wanaruka na kukanyaganaππππ
Yaani Hawa watu hawawezi kujihimili kabisa.
πππππMji mzima ni kruuu kruuu kruuuu ni vilio vya vyura.....hhahahπππ
Wamekua MAZUZU kweli kweli in Magoma's voice..πππππ
Zile supu sijui zinawapa wazimu?