SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

Kwa mara ya kwanza nashangaa mzigo wangu umekuja na speedaf afu nimepokea ofisi za kikuu AliExpress ziko sehemu Moja

Kikweli sijapenda taratibu zao mizigo ipo ovyo ovyo Ni rahisi mzigo potea Sana ,,

Imagine watu tofauti wanaingia ofisini kupiga stori

Bora posta mizigo inakaa ofisini unatumiwa no ya mzigo unaenda na ID yako unapewa control number unalipa Yani Ni safe Sana
 
samahani mkuu naomba nikuulize kama hutojali, mara ya mwisho natumia AliExpress ilikua mwaka septemba nafikiri, hebu nisaidie hao Speedaf wana replace posta au vipi na je AliExpress standard Shipping imekuga au.
AliExpress Mara ya mwsho November nilinunua ka kitu Cha tzs 4500 nikalipa au kuchagua yanwen economic air mail ..nikachukua posta



But mwezi huu nimenunua kitu nikachagua yanwen nakuja kuta unaletwa na cainiao super economy nikamwambia sikuchagua hio akasema yanwen is not available sijui ,, nikauliza Tena akasema yanwen can't ship nikamuuliza inakuja na meli au ndege akajibu ndege nikajibu sawa,


Siku 11 badae mzigo umefika


Nililipa 962tzs usafiri mzigo mdogo tu wa 3000tzs ...nashangaa nimepigiwa simu kienyeji nakuta Ni speedaf
 
Wangu aliship na cainiao super economy ..nimepigiwa umepelekwa office za kikuu AliExpress ..mzigo nimekuta una nembo ya speedaf
soma comment #66 hapo juu
ni vyema ku-chat na seller na kumuuliza juu ya courier atayemtumia, kama ni speedaf, posta, etc
 
Mrejesho kuhusu hio memory card

Me nataka nunua 32Gb kwa 5.5K
 
Wakuu mwenye namba ya wakala wa speedaf Bukoba anisaidie, Jamaa keshapokea parcel yangu na amesign kuonesha kwamba tyr nimechukua

Namba aliyoweka haipatikani leo siku ya tatu
Waki sign inaonesha nn huko AliExpress

Me nimechukua pale inaonesha mzigo tayari upo mkoani kwangu ngoja nione itakuaje
 
Msaada mwenye namba za speedaf hapo dar! Kuna mzigo wangu wanaupiga danadana tu, ulitakiwa kuja mbeya, ukaenda dodoma, umerudi dar... Ni zaidi ya mwezi sasa sijaupata huo mzigo
 
What's the speedaf phone number. I need it please.
 
Ni kwel mzigo nimepata.sema nimejifunza kitu.siku nyingine nikiona sio ali express standard shipping ambao ndio hao spedaf siagiz.mambo ya kupitia posta siyaamin. Sisi tunajijua.kule kupotea /kuibiwani rahis sana
kwani hao aliexpress standard shipping wakikutumia mzigo wewe huwa unapokelea office zipi??
 
upo mkoa gani??


mimi nipo moshi na huwa napigiwa Simu kwa wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…