Pale mikocheni.mizigo inaletwa mbona haina usumbufu. Hta posta nilipata bila shida sema unalipa kidogo.kwani hao aliexpress standard shipping wakikutumia mzigo wewe huwa unapokelea office zipi??
Nipo Dar mkuuupo mkoa gani??
mimi nipo moshi na huwa napigiwa Simu kwa wakati.
tena shukuru DHL hao unakutana na wale FedExMimi nimeagiza radio ya gari, dhl wanasema natakiwa kulipia ushuru...
Mkuu yawezekana ulipo kuna ofisi. Mimi Naishi Chalinze Pwani. Nilitumiwa sms na agent wa speedaf nikafuate mzigo wangu kibaha picha ya ndege karibu na bar moja inayoitwa corner bar, nilifika lakini na nilichukua mzigo nyumbani kwa ajent wala sio ofisini. Hawana ofisi huku kibaha wala Chalinze.Watu waongo sana...ofisi zap zipo mbona na watu tunachukua mizigo kila siku
Kwa sisi tuliopo nje ya Dar tuanaona changamoto za hawa jamaa. Huku hakuna ofisi, ama ukutane na ajent uchochoroni au nyumbani kwake. Kiofisi kwa kampuni kama hiyo haileti afya. Ipo siku watakimbia na mzigo Alafu tushindwe wa kumdai.Dar ofisi zao zipo mikocheni....kwa mikoa mingine sifahamu
Kampuni ndo inakua mkuu tuwape muda wataboresha huduma zaoKwa sisi tuliopo nje ya Dar tuanaona changamoto za hawa jamaa. Huku hakuna ofisi, ama ukutane na ajent uchochoroni au nyumbani kwake. Kiofisi kwa kampuni kama hiyo haileti afya. Ipo siku watakimbia na mzigo Alafu tushindwe wa kumdai.
Mkuu ipo safi haina shida. Inapiga kazi vizuri.Mrejesho kuhusu hio memory card
Me nataka nunua 32Gb kwa 5.5K
Yeah kweli kabisa. Wakijiimarisha watakuwa kampuni kubwa na bora sana. Nawaombea wafanye vizuri zaidi ya hapa.Kampuni ndo inakua mkuu tuwape muda wataboresha huduma zao
Yeah ni suala la muda tuYeah kweli kabisa. Wakijiimarisha watakuwa kampuni kubwa na bora sana. Nawaombea wafanye vizuri zaidi ya hapa.
Naomba picha yakeMkuu ipo safi haina shida. Inapiga kazi vizuri.
Hiyo hapoNaomba picha yake
Mi angenikoma hakiSpeedaf ni wapuuzi sana, niliagiza kioo cha redmi note 10 5g ndani ya siku 4 kilikuwa tz. Kesho yake tracking ikasoma Dodoma, baada ya siku 3 agent akawa amesign kuderivery mzigo. Kama siku 4 mbele mzigo ukawa signed na agent na namba yake ya simu ikaonekana. AliExpress wakanitumia delivery note ya mzigo kuwa nimeupokea wakati sijauona, nikaenda posta kuangalia kama ulifikia kwao nao hawakuuona.
Ile namba niliipigia zaidi ya wiki na haipatikani, nikawasiliana na muuzaji akanitumia namba ya makao makuu Tanzania ile namba hata haipokelewi.
Wakati nimekata tamaa nikaijaribu kuipigia ikapokelewa nikamuuliza kuhusu kupokea mzigo wangu akanielekeza niufuate nyumbani kwake na ni nje kidogo ya mji. Kiukweli alinikera huyo jamaa na hapo nyumbani kwake alikuwa na mizigo mingi ya watu wengine.
Shukrani Kuna maneno nilitaka ona
Redmi 10CShukrani Kuna maneno nilitaka ona
Hio yako Ina speed nzuri kwa video
Naona Ni A2 kwa v30
Yangu nimeagiza Ni A1 V10 speed yake Ni Hadi 10MB/s yako Ni 30MB/s
NB unatumia kwa simu gani
Kwa upande wangu nimepokea mizigo mingi kupitia Speedaf bila shida yoyote.Kuna parcel niliagiza May 2 leo May 16 nimepokea huku mkoani.Speed yao ni kubwa sana.
Kwa upande wangu nimepokea mizigo mingi kupitia Speedaf bila shida yoyote.Kuna parcel niliagiza May 2 leo May 16 nimepokea huku mkoani.Speed yao ni kubwa sana.
Bila shaka utaupata wiki ijayo kama umetumia Speedaf.Me nimeagiza jmos naona upo njiani
Speedaf ndo wale cainiao super economy?Bila shaka utaupata wiki ijayo kama umetumia Speedaf.